Mwenyekiti Lazima Aje Huko Ila Ule Moshi Pale RuangwaAje na mtwara na lindi sio kila kitu huko tu hata huku ni Tanzania
Wanawaza kununua meli kwenda Comoro wakati usafiri wa kwenda Mafia - Nyamisati au Dar hakuna, Tanga - Pemba nako hakuna usafiri wa uhakika hata Unguja to Pemba ni changamoto....
Sasa unaposubiria kama kuna daraja si ungekua umeshavuka huo muda wa kusubiri.Kusema kuwa kuvuka hapo yanatumika masaa 2 ni uwongo wa hali ya juu. Nimevuka mara nyingi.
Ukipandisha gari lako MV Misungwi, inachukua kama dakika 15 mpaka 25. Na MV Sengerema huchukua daki 25 mpaka 30. Labda kama hayo masaa mawili wamejumlisha na muda wa kukaa foleni ikitokea kuna magari mengi au kivuko kimojawapo kikawa kimeharibika.
Ndugu muda ni Mali kwa nijuavyo, kwamba watu watakaotumia daraja hilo ni wa wilaya mbili tu?Sawa nijambo nzuri sana kupata maendeleo ila hicho nikipaumbele cha kanda ya ziwa kuna tatizo makubwa la kuvuka hapo kweli kiasi kwamba nchi itumie karibu 700bn......ambozo ingeziweka kwenye kilimo au afya na elimu hizo wilaya zingefaidika kuliko dalaja la kuvuka mgambo wakati kuna vivuuko zaidi ya vitano hapo busisi na Kamanga vipo vivuko.....
Mbona tulimpa Mzanzibar awe Waziri wa Ujenzi kama Ujenzi siyo suala la Muungano? Au ndiyo maana alimtoa haraka haraka?Unguja Wana serikali yao, ya kwao hayatuhusu. Nadhani ujenzi sio wizara ya muungano
Kwani imewahi kuwa zamu ya kanda ipi?hii ni zamu ya kanda ya ziwa,
hii ni zamu ya kanda ya ziwa,
Inafaa iitwe mv Chibolo!
Jina linafaa sana hilo
Hiyo meli mpya ingeitwa Mv Bukoba
Labda Dunia ya Mzee Mgaya.Bwashee hiyo inaitwa uzinduzi wa ujenzi wa meli na ni jambo la kawaida sana huko duniani!
Mzee mgaya sioLabda Dunia ya Mzee Mgaya.