mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Na wafanyakazi wa serikalini wanatembea kifua mbele maana na wao pia wanajisikia ni matajiri sababu tangu alipoingia madaraka mpk leo wanapandishwa madaraja na annual increment ni uhakika,huku walimu wanao-graduate vyuoni kila mwaka akiwaajiri nao pia wanajisikia ni matajiriiii bila kusahau kada nyingine zinazo graduate kila mwaka amezimwagia ajira kwa maelfu nao pia ni matajiriiiiiiiiiiiii.