Heci
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 3,485
- 5,818
Nimemuelewa Sana alichokiandika, hicho ndicho kinaitwa makorokochoUmekielewa ulichokiandika lakini? Au umekopi ujumbe wa mtu Fulani mahali ukaja kupaste hapa.
Nimemuelewa Sana alichokiandika, hicho ndicho kinaitwa makorokochoUmekielewa ulichokiandika lakini? Au umekopi ujumbe wa mtu Fulani mahali ukaja kupaste hapa.
Yaliyojiri wakati wa hafla jiwe la msingi ujenzi wa meli mpya, chelezo na ukarabati wa meli Ziwa Victoria za Mv Victoria na Mv Butiama
Hiyo quote sio yangu nashangaa umeitoa wapi, hebu angalia vizuri ulipoitoaChelezo ni kitu gani
Wewe ndio mwenye mawazo ya mwendawazimu usiyejua kwamba zahanati zinajengwa nchi nzima, miradi mikubwa inafanikishwa nchi nzima.Anachokiamini ni uwendawazimu!!
Mtu mwenye akili timamu hawezi kung'ang'ania kununua mindege kienyeji wakati watoto wanakosa nafasi kwa kutokuwa na madarasa kuendelea na masomo!
Kuvuka wanamaanisha muda unaotumia kutoka upande mmoja, say kigongo kwenda Busisi, ndio walichomaanisha, hawaongelei process ya kuvuka, pale kukaa masaa ma2 ni kweli kabisa unaweza kaa especially siku za weekends foleni ni kubwa mnoKusema kuwa kuvuka hapo yanatumika masaa 2 ni uwongo wa hali ya juu. Nimevuka mara nyingi.
Ukipandisha gari lako MV Misungwi, inachukua kama dakika 15 mpaka 25. Na MV Sengerema huchukua daki 25 mpaka 30. Labda kama hayo masaa mawili wamejumlisha na muda wa kukaa foleni ikitokea kuna magari mengi au kivuko kimojawapo kikawa kimeharibika.
Tumeshangaa 100% ccec kupewa tenda ya billion 700 mkoa wa mwanza, wakatimkoa jirani Yale tabora wamewaliza wafanyakazina nssf? Maajabu hayaKumbe wanadeni nssf
Hiyo quote sio yangu nashangaa umeitoa wapi, hebu angalia vizuri ulipoitoa
Tumeshangaa 100% ccec kupewa tenda ya billion 700 mkoa wa mwanza, wakatimkoa jirani Yale tabora wamewaliza wafanyakazina nssf? Maajabu haya