Hilo jaji alipo apo kulinda HESHIMA YA MAHAKAMA. Bali Ni lishahidi upande wa uovu wa kina kingaiMpaka Jaji anasema ana mashaka Shahidi anapewa madesa, Wakili Matata akamwambia Shahidi amuangalie Jaji kila anapojibu ili kumtoa mashaka Jaji , hahahaha, dah, huyu jaji huyu, kweli wa mchongo
Ana wivuYaani unashangaa mtu mwenye hadhi kama Mbowe kuwa na walinzi wanne tu? Yaani hauuoni umuhimu wa Mbowe kuwa hata na zaidi ya hao walinzi wanne? Au kisa umeona ni makomandoo?
Nimesha gundua we ni shabiki tu huna hoja, kabisa hapo kabatali alicho ongelea kina mashiko.Kumbe Kibatala ni dhaifu kiasi hiki- INFERIORITY COMPLEX
Peter Kibatala: Hatari ninayoona hapa Kwamba Kuna watu wanajiona wao ni bora Kuliko Wengine, Kesi Ya Mtobesya Vs DPP hawa waendesha Mashtaka Walishapewa Agizo kuwa sisi wote ni Mawakili hakuna aliye Juu Mahakamani..
Kibatala: Mahakama hapa Imeshatoa Rulling ndiyo Maana Hapa Mtobesya ameacha Kufanya Submission kwa Maelekezo Yako, halafu anasimama Mtu Mbele yako akijua Kuna Amri ya Mahakama na Kuanza Kuku' challenge wewe wakati Mahakama Yako ipo Funtus Officio..
ha ha ha, yamewakuta nao kuhusu Content.Wakili FREDRICK kihwelo: Mheshimiwa Jaji tutapinga anachokifanya
WS: Mheshimiwa Jaji naongelea Kuhusu Competence ya Barua, Wanaogopa nini na wao Walikuwa wanafanya
Jaji: Nilisema Nini Kuhusu Content,
Mtobesya: Mahakama Ilisema Kwamba tunaweza Kuangalia Jina na Force Namba,
Mtobesya: Lakini Siyo Kwenda Kwenye Content
Kwaio hizo ingridients ndo zinaleta nia ya kufanya ugaidi? Intent to commit terrorism mdogo wangu umesoma chuo gani?Kesi imeisha
1. wamekiri kukusanywa na kumfahamu Mbowe
2. wamekiri kwenda Moshi
3. wamekiri kufanya mikutano na Mbowe kwenye maeneo yanayomilikiwa na Mbowe
Hizo ni ingridient za kesi ya Jamhuri
Hiyo ni lugha ambayo imekuwa ikitumiwa sana na watesi/madhalimu na HASA mawakala wao, ILI kutisha wapigania haki.shahidi kafundishwa kuja kusema maneno ya kutia huzuni mahakamani akifikiria yatamuokoa yaani hata aseme alilishwa mavi jela iko palepale hao ni magaidi
Kuna vidharau Fulani wanafanyiani,Kidando na Kibatala kuna battle...
hahahahhhhhhha ha ha, yamewakuta nao kuhusu Content.
Acha utoto ,pimbiSi chadema walisema mahakama ya mafisadi na majizi haipo?
Inakuweja tena Mungu wao anahudhuria hapo.
Yamewakuta leo, walikuwa wanaona raha kubebana leo zamu yao, maamuzi waliyoyafanya hapo nyuma watayajutia leoha ha ha, yamewakuta nao kuhusu Content.
Inasikitisha Judge anavyoonyesha waziwazi kuwagandamiza kina Mbowe! Inasikitisha kwamba kumbe askari wa JWTZ, tena makomandoo wanaweza kusingiziwa, kunyanyaswa, kuonewa na hata kudhulumiwa na polisi wenye rekodi chafu ya utumishi kama Mahita baba na sasa kwa bahati mbaya sana, Mahita mtoto, kina Jumanne na wengine bila consequence? Hivi polisi wanaoweza kutenda uovu huu kwa wanajeshi kwa raia wa kawaida itakuwaje? Kuna lutakalofuata stay tuned.Jaji ni Mpumbavu toka siku ya kwanza ona anasimama Kama shahidi wa mashitaka. Alioni aibu anasema mtuhumiwa AMEFUNDISHA kujibu Kisa atetemeki kujibu au? Anajibu kwa ufasaha sababu yeye ndiyo aliyepigwa anaeleza kitu halisi. Siyo mashahidi wake wa kufundishwa.
Huwa hutumii akili.Unapenda kubishana kwa kutunisha misuli ya kiuno.Kwa hoja yako..nikiashiria yakwamba haunatofauti na toilet paper ya chooni..ila bora ile toilet paper kuliko wewe kwasababu inarangi nyeupe.
Inasikitisha Judge anavyoonyesha waziwazi kuwagandamiza kina Mbowe! Inasikitisha kwamba kumbe askari wa JWTZ, tena makomandoo wanaweza kusingiziwa, kunyanyaswa, kuonewa na hata kudhulumiwa na polisi wenye rekodi chafu ya utumishi kama Mahita baba na sasa kwa bahati mbaya sana, Mahita mtoto, kina Jumanne na wengine bila consequence? Hivi polisi wanaoweza kutenda uovu huu kwa wanajeshi kwa raia wa kawaida itakuwaje? Kuna lutakalofuata stay tune.
Mkuu kila anayependa haki na kulitakia taifa mema anajiuliza Hilo swala ulilojiuliza hapo. Ni Mambo ya Aibu na kusikitisha sana. Alafu wanajiona wanaweza kufanya chochote wanachotaka. Na kwamba wanaweza kujitawala pasipo MUNGU. Ndiyo maana wanapanga Maovu. Kutesa .kuteka na kuuwa watu.Inasikitisha Judge anavyoonyesha waziwazi kuwagandamiza kina Mbowe! Inasikitisha kwamba kumbe askari wa JWTZ, tena makomandoo wanaweza kusingiziwa, kunyanyaswa, kuonewa na hata kudhulumiwa na polisi wenye rekodi chafu ya utumishi kama Mahita baba na sasa kwa bahati mbaya sana, Mahita mtoto, kina Jumanne na wengine bila consequence? Hivi polisi wanaoweza kutenda uovu huu kwa wanajeshi kwa raia wa kawaida itakuwaje? Kuna lutakalofuata stay tuned.
Haswaaaa,kesi imeisha kabisa,ni mvua za kutosha tu!Kesi imeisha
1. wamekiri kukusanywa na kumfahamu Mbowe
2. wamekiri kwenda Moshi
3. wamekiri kufanya mikutano na Mbowe kwenye maeneo yanayomilikiwa na Mbowe
Hizo ni ingridient za kesi ya Jamhuri
Kesi imeisha
1. wamekiri kukusanywa na kumfahamu Mbowe
2. wamekiri kwenda Moshi
3. wamekiri kufanya mikutano na Mbowe kwenye maeneo yanayomilikiwa na Mbowe
Hizo ni ingridient za kesi ya Jamhuri
Penye wabaya na wema pia wapoHuyu.askari aliekua.anampa beskuti mahabusu.mwenyez mungu amulinde sana kwenye kazi yake.
Hapa kwa shekh wa mkoa wa Manyara kutajwa,Bakwata nao waje watuambie ukweli kuhusu uyo shekheShahidi unatakiwa kuwa kama Jamaa, Kataja Hadi Sheikh Mkuu wa Mkoa kuwa yuko ndani, Kataja Wote.