ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,062
- 6,197
HEWA tupu.Kwani kesi ya Jamhuri ni ipi?
HEWA tupu.Kwani kesi ya Jamhuri ni ipi?
Sema ingridient za ubambikaji🤔.Kesi imeisha
1. wamekiri kukusanywa na kumfahamu Mbowe
2. wamekiri kwenda Moshi
3. wamekiri kufanya mikutano na Mbowe kwenye maeneo yanayomilikiwa na Mbowe
Hizo ni ingridient za kesi ya Jamhuri
Wakumbuke lkn kuwa aliyewajengea viburi hivyo sasa hivi hatunae tena. Wafuate taratibu za kimahakama na sheria zilizowekwa. Kuna siku atajikuta/watajikuta na Mawakili wa kujitegemea.Mawakili wa SERIKALI wanajifanya nao ni Majaji, kwanza wanaingia muda wanataka, wanasimama wakati wowote ku-intact mahakama bila kutaja kifungu cha sheria.
Kibatara upo sahihi, kanyaga twende. Na ndiyo maana kumbe Mtobesya ashawafikisha Mahakamani na hukumu imetamka wazi.
Mpaka sasa hana kosa bali kuna tuhuma.Mkuu swali langu ni rahisi tu- Mbowe yuko mahakamni kwa kosa gani?
Anatuhumiwa kwa kutenda kosa la kutaka kutenda ugaudiMpaka sasa hana kosa bali kuna tuhuma.
Mwamba wenu yuko segerea- wewe sema hewa tuHEWA tupu.
Kinyeo kinawasha eeeh"Aliyebambikiwa kesi hii ni mtu maarufu sana nchini na mwenye influence kubwa kwenye jamii"
Mkuu jamii ipi au ya wavuta bangi?
Mwamba wenu yuko segerea- jifariji kwa kutoa lugha chafuKinyeo kinawasha eeeh
Ndugu, hiyo ndio njia kuu wapitayo MIAMBA/MASHUJAA, nenda kaangalie historia japo kidogo.Mwamba na umwamba wake yuko segerea- wewe sema hewa tu
Turudi kwenye DR za Dar central na Tazara. Ya Tazara imenyofolewa na kuungwa karatasi, ya Central je?Hii Series itakua na Season nyingi sana.
Nakaa natafakari hivi ni wananchi wangapi wameshapitia mateso na dhuluma kiasi hichi kutoka kwa askari police.
shahidi kafundishwa kuja kusema maneno ya kutia huzuni mahakamani akifikiria yatamuokoa yaani hata aseme alilishwa mavi jela iko palepale hao ni magaidiKati ya Mashahidi wa Jamhuri sijasikia mpaka leo mwenye kitu cha Maana, nachokiona Kibatala na Jopo lake wanawahenyesha tu na maswali
jaribu na weweNdugu, hiyo ndio njia kuu wapitayo MIAMBA/MASHUJAA, nenda kaangalie historia japo kidogo.
Lopokeni muwezavyo Ila iko hivi MUNGU ATAWATUMBUKIZA KWENYE SHIMO MLILOLICHIMBA WENYEWEUtasikia matusi tu na majigambo oh mwamba ni mtu maarufu; oh mbona diamond anao; oh ana hela nyingi hata baba yake alichangia harakati za uhuru wa Tanganyika blah blah
TwasubiriAnatuhumiwa kwa kutenda kosa la kutaka kutenda ugaudi
Hamza alijaribu yake mkabweka kama fisi majijaribu na wewe
Pole yaonekana wahitaji kujituliza kidogo ili kuimarisha uelewa.jaribu na wewe
Mkuu ilo jamaa Ni ZEZETA NA KINACHOMFANYA KUWA ZEZETA DAMU ZA WATU ZINAMLILIA.Kumbe na wewe ni list ya
Boya
Kinuju
Idugunde???
Ignored totally.