Kuitwa panya mchezo!!!! usishangae makomeo nae akabwaga manyanga akatia timu kwa makamanda.
Inawezekana makomeo akajitoa,furushi la mavi alilobebeshwa na mkwere ni zito sana
Kuitwa panya mchezo!!!! usishangae makomeo nae akabwaga manyanga akatia timu kwa makamanda.
Ester umefanya jambo la muhimu sana katika maisha yako kwa kujitenga na kundi la ngedere!
Wana JF ambao mko Bunda tunaomba kupata updates za mapokezi ya Kiungo Mshambuliaji Ester B pacha wa Halima Mdee huko Bunda kwa wenye taarifa watupatie Pia habari Kangi Lugola.
========
Duhhhh hii shida sasa
Ni balaa...