Majina ya Wabunge feki wa Bunge la Tanzania wanaojiita CHADEMA. Watunga sheria hewa

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,890
Kuna Wangu wanajiita ni Wabunge wa Chadema ambao chadema haiwatambui.

Wabunge hao wanaotakiwa kutimuliwa bungeni ni Halima Mdee, Esther Matiko, Grace Tendega, Cecilia Pareso, Ester Bulaya, Agnes Lambart, Nusrat Hanje, Jesca Kishoa na Hawa Mwaifunga.

Wengine ni Tunza Malapo, Asia Mohammed, Felister Njau, Naghenjwa Kaboyoka, Sophia Mwakagenda, Kunti Majala, Stella Flao, Anatropia Theonest, Salome Makamba na Conchesta Rwamlaza.

Tarehe 12 Mei 2022 Baraza Kuu la Chadema liliunga mkono uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho wa kuwafukuza uanachama wabunge 19 wa viti maalum akiwamo aliyekuwa mwenyekiti wa baraza la wanawake (BAWACHA), Halima Mdee.

Hii iwe kumbukumbu ya Siasa za Tanzania kwa wajukuu wetu. Bado Tanzania haijajikomboa kifikra. Sisi ni watumwa tu.

Spika haoni aibu kukaa na Mbunge feki. Na anashiriki maamuzi kwa niaba ya watu ambao hawajamtuma.

Historia ya Tanzania umeandikwa.
 
Kuna Wangu wanajiita ni Wabunge wa Chadema ambao chadema haiwatambui.

Wabunge hao wanaotakiwa kutimuliwa bungeni ni Halima Mdee, Esther Matiko, Grace Tendega, Cecilia Pareso, Ester Bulaya, Agnes Lambart, Nusrat Hanje, Jesca Kishoa na Hawa Mwaifunga.

Wengine ni Tunza Malapo, Asia Mohammed, Felister Njau, Naghenjwa Kaboyoka, Sophia Mwakagenda, Kunti Majala, Stella Flao, Anatropia Theonest, Salome Makamba na Conchesta Rwamlaza.

Tarehe 12 Mei 2022 Baraza Kuu la Chadema liliunga mkono uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho wa kuwafukuza uanachama wabunge 19 wa viti maalum akiwamo aliyekuwa mwenyekiti wa baraza la wanawake (BAWACHA), Halima Mdee.

Hii iwe kumbukumbu ya Siasa za Tanzania kwa wajukuu wetu. Bado Tanzania haijajikomboa kifikra. Sisi ni watumwa tu.

Spika haoni aibu kukaa na Mbunge feki. Na anashiriki maamuzi kwa niaba ya watu ambao hawajamtuma.

Historia ya Tanzania umeandikwa.
Uchaguzi 2020 kila kitu ilikuwa ni wizi tu na ubabe.
 
Kuna Wangu wanajiita ni Wabunge wa Chadema ambao chadema haiwatambui.

Wabunge hao wanaotakiwa kutimuliwa bungeni ni Halima Mdee, Esther Matiko, Grace Tendega, Cecilia Pareso, Ester Bulaya, Agnes Lambart, Nusrat Hanje, Jesca Kishoa na Hawa Mwaifunga.

Wengine ni Tunza Malapo, Asia Mohammed, Felister Njau, Naghenjwa Kaboyoka, Sophia Mwakagenda, Kunti Majala, Stella Flao, Anatropia Theonest, Salome Makamba na Conchesta Rwamlaza.

Tarehe 12 Mei 2022 Baraza Kuu la Chadema liliunga mkono uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho wa kuwafukuza uanachama wabunge 19 wa viti maalum akiwamo aliyekuwa mwenyekiti wa baraza la wanawake (BAWACHA), Halima Mdee.

Hii iwe kumbukumbu ya Siasa za Tanzania kwa wajukuu wetu. Bado Tanzania haijajikomboa kifikra. Sisi ni watumwa tu.

Spika haoni aibu kukaa na Mbunge feki. Na anashiriki maamuzi kwa niaba ya watu ambao hawajamtuma.

Historia ya Tanzania umeandikwa.
Wabunge sio wa chadomo, wabunge ni wa Bunge la Taifa.
 
Kuna Wangu wanajiita ni Wabunge wa Chadema ambao chadema haiwatambui.

Wabunge hao wanaotakiwa kutimuliwa bungeni ni Halima Mdee, Esther Matiko, Grace Tendega, Cecilia Pareso, Ester Bulaya, Agnes Lambart, Nusrat Hanje, Jesca Kishoa na Hawa Mwaifunga.

Wengine ni Tunza Malapo, Asia Mohammed, Felister Njau, Naghenjwa Kaboyoka, Sophia Mwakagenda, Kunti Majala, Stella Flao, Anatropia Theonest, Salome Makamba na Conchesta Rwamlaza.

Tarehe 12 Mei 2022 Baraza Kuu la Chadema liliunga mkono uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho wa kuwafukuza uanachama wabunge 19 wa viti maalum akiwamo aliyekuwa mwenyekiti wa baraza la wanawake (BAWACHA), Halima Mdee.

Hii iwe kumbukumbu ya Siasa za Tanzania kwa wajukuu wetu. Bado Tanzania haijajikomboa kifikra. Sisi ni watumwa tu.

Spika haoni aibu kukaa na Mbunge feki. Na anashiriki maamuzi kwa niaba ya watu ambao hawajamtuma.

Historia ya Tanzania umeandikwa.
WALIOAPA KWA KITABU KITAKATIFU NA KUMTAJA MUNGU kuwa Watailinda na Kuitetea KATIBA ndio hao hao WANAOIVUNJA KATIBA
NCHI hii inapitishwa kubaya na VIONGOZI wetu.
 
Kuna Wangu wanajiita ni Wabunge wa Chadema ambao chadema haiwatambui.

Wabunge hao wanaotakiwa kutimuliwa bungeni ni Halima Mdee, Esther Matiko, Grace Tendega, Cecilia Pareso, Ester Bulaya, Agnes Lambart, Nusrat Hanje, Jesca Kishoa na Hawa Mwaifunga.

Wengine ni Tunza Malapo, Asia Mohammed, Felister Njau, Naghenjwa Kaboyoka, Sophia Mwakagenda, Kunti Majala, Stella Flao, Anatropia Theonest, Salome Makamba na Conchesta Rwamlaza.

Tarehe 12 Mei 2022 Baraza Kuu la Chadema liliunga mkono uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho wa kuwafukuza uanachama wabunge 19 wa viti maalum akiwamo aliyekuwa mwenyekiti wa baraza la wanawake (BAWACHA), Halima Mdee.

Hii iwe kumbukumbu ya Siasa za Tanzania kwa wajukuu wetu. Bado Tanzania haijajikomboa kifikra. Sisi ni watumwa tu.

Spika haoni aibu kukaa na Mbunge feki. Na anashiriki maamuzi kwa niaba ya watu ambao hawajamtuma.

Historia ya Tanzania umeandikwa.

Tafuta ela Acha kudeal na wanawake
 
Vipi na serikali inayoruhusu hali kama hii kutokea?

Vipi Mahakama inayosita kutolea maamuzi hali kama hii?

Vipi taasisi za kidini zinazonyamazia dhambi kama hii?

Vipi wananchi wanaoruhusu hali kama hii kutokea?

Watanzania ni viumbe vya ajabu kuwahi kutokea duniani!
 
Back
Top Bottom