CHADEMA ilitakiwa kufa 2014, wafuatao ni Wasaliti wakuu na Mamluki waliopandikizwa

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,269
Hebu fikiria hawa walikuwa viongozi wakuu wa kitaifa na wajumbe kwenye mabaraza mbalimbali ya Chadema.

Wilbroud Slaa aliyekuwa katibu mkuu, Zitto Kabwe (N/Katibu mkuu), Arif M/Mwenyekiti Taifa, Waild Kabouru, Vincent Mashinji, Mwigamba, Waitara, Katambi, Kafulila, Shonza, Mchage, Lowassa, Sumaye, Kitila Mkumbo, Mwampamba, Halima Mdee, Ester Bulaya, orodha ni ndefu.

Bila kuwa na taasisi imara Chadema ilitakiwa kufa kabla ya uchaguzi wa 2015.
 
Hebu fikiria hawa walikuwa viongozi wakuu wa kitaifa na wajumbe kwenye mabaraza mbalimbali ya Chadema, waliopandikizwa ili kuiua Chadema na wote walishindwa.

Wilbroud Slaa aliyekuwa katibu mkuu, Zitto Kabwe (N/Katibu mkuu), M/Mwenyekiti Taifa, Waild Kabouru, Vincent Mashinji, Mwigamba, Waitara, Katambi, Kafulila, Shonza, Mchage, Lowassa, Sumaye, Kitila Mkumbo, Mwampamba, Halima Mdee, Ester Bulaya, orodha ni ndefu.

Bila kuwa na taasisi imara Chadema ilitakiwa kufa kabla ya uchaguzi wa 2015.
Heshimu heshima uliyojiwekea humu, mbona kila mtu anajua ukweli.
 
Hebu fikiria hawa walikuwa viongozi wakuu wa kitaifa na wajumbe kwenye mabaraza mbalimbali ya Chadema.

Wilbroud Slaa aliyekuwa katibu mkuu, Zitto Kabwe (N/Katibu mkuu), M/Mwenyekiti Taifa, Waild Kabouru, Vincent Mashinji, Mwigamba, Waitara, Katambi, Kafulila, Shonza, Mchage, Lowassa, Sumaye, Kitila Mkumbo, Mwampamba, Halima Mdee, Ester Bulaya, orodha ni ndefu.

Bila kuwa na taasisi imara Chadema ilitakiwa kufa kabla ya uchaguzi wa 2015.
CHADEMA ipo kwenye moyo ya watu
 
Hebu fikiria hawa walikuwa viongozi wakuu wa kitaifa na wajumbe kwenye mabaraza mbalimbali ya Chadema.

Wilbroud Slaa aliyekuwa katibu mkuu, Zitto Kabwe (N/Katibu mkuu), M/Mwenyekiti Taifa, Waild Kabouru, Vincent Mashinji, Mwigamba, Waitara, Katambi, Kafulila, Shonza, Mchage, Lowassa, Sumaye, Kitila Mkumbo, Mwampamba, Halima Mdee, Ester Bulaya, orodha ni ndefu.

Bila kuwa na taasisi imara Chadema ilitakiwa kufa kabla ya uchaguzi wa 2015.
Safi, good analysis
 
kwa hiyo Wameisha wasaliti wote?

au tuwekee wasaliti waliobaki tuwajue
Hebu fikiria hawa walikuwa viongozi wakuu wa kitaifa na wajumbe kwenye mabaraza mbalimbali ya Chadema.

Wilbroud Slaa aliyekuwa katibu mkuu, Zitto Kabwe (N/Katibu mkuu), M/Mwenyekiti Taifa, Waild Kabouru, Vincent Mashinji, Mwigamba, Waitara, Katambi, Kafulila, Shonza, Mchage, Lowassa, Sumaye, Kitila Mkumbo, Mwampamba, Halima Mdee, Ester Bulaya, orodha ni ndefu.

Bila kuwa na taasisi imara Chadema ilitakiwa kufa kabla ya uchaguzi wa 2015.
 
Hebu fikiria hawa walikuwa viongozi wakuu wa kitaifa na wajumbe kwenye mabaraza mbalimbali ya Chadema.

Wilbroud Slaa aliyekuwa katibu mkuu, Zitto Kabwe (N/Katibu mkuu), M/Mwenyekiti Taifa, Waild Kabouru, Vincent Mashinji, Mwigamba, Waitara, Katambi, Kafulila, Shonza, Mchage, Lowassa, Sumaye, Kitila Mkumbo, Mwampamba, Halima Mdee, Ester Bulaya, orodha ni ndefu.

Bila kuwa na taasisi imara Chadema ilitakiwa kufa kabla ya uchaguzi wa 2015.
Kama MCHANGE ni msaliti na wasiwasi pia Boniface Jacob ma a na kila weekend walk wote hapa garden bar jeshini kisukuru wakipanda mipango lukuki
 
Aliyemleta na kumpigania Lowasa ndani ya chadema ni Tundu Lisu, huwezi mtenganisha Tundu Lisu na fate ya chadema!
 
Hebu fikiria hawa walikuwa viongozi wakuu wa kitaifa na wajumbe kwenye mabaraza mbalimbali ya Chadema.

Wilbroud Slaa aliyekuwa katibu mkuu, Zitto Kabwe (N/Katibu mkuu), M/Mwenyekiti Taifa, Waild Kabouru, Vincent Mashinji, Mwigamba, Waitara, Katambi, Kafulila, Shonza, Mchage, Lowassa, Sumaye, Kitila Mkumbo, Mwampamba, Halima Mdee, Ester Bulaya, orodha ni ndefu.

Bila kuwa na taasisi imara Chadema ilitakiwa kufa kabla ya uchaguzi wa 2015.
Halima Mdee et al watoe kwenye list, their case is special
 
Back
Top Bottom