Hebu fikiria hawa walikuwa viongozi wakuu wa kitaifa na wajumbe kwenye mabaraza mbalimbali ya Chadema.
Wilbroud Slaa aliyekuwa katibu mkuu, Zitto Kabwe (N/Katibu mkuu), Arif M/Mwenyekiti Taifa, Waild Kabouru, Vincent Mashinji, Mwigamba, Waitara, Katambi, Kafulila, Shonza, Mchage, Lowassa, Sumaye, Kitila Mkumbo, Mwampamba, Halima Mdee, Ester Bulaya, orodha ni ndefu.
Bila kuwa na taasisi imara Chadema ilitakiwa kufa kabla ya uchaguzi wa 2015.
Wilbroud Slaa aliyekuwa katibu mkuu, Zitto Kabwe (N/Katibu mkuu), Arif M/Mwenyekiti Taifa, Waild Kabouru, Vincent Mashinji, Mwigamba, Waitara, Katambi, Kafulila, Shonza, Mchage, Lowassa, Sumaye, Kitila Mkumbo, Mwampamba, Halima Mdee, Ester Bulaya, orodha ni ndefu.
Bila kuwa na taasisi imara Chadema ilitakiwa kufa kabla ya uchaguzi wa 2015.