Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,431
Wakuu habari za Jumapili , kampeni ndio kwanza zimeshika kasi , na yule Mgombea Urais anayeongoza kwenye kura za maoni Tundu Lissu atakuwa Mkoani Mara kunadi sera za chama chake na kuomba kura za ndio .
Kama kawaida , endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika
=========
UPDATES 1
Akiwa Mwitongo ambapo alilala nyumbani kwa Mwl Nyerere
Hapa chini ni wakazi wa Kata ya Kamugengi wilaya ya Butiama walioomba awasalimie
UPDATES 2
Tarime vijijini
SIRARI - TARIME
Kama kawaida , endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika
=========
UPDATES 1
Akiwa Mwitongo ambapo alilala nyumbani kwa Mwl Nyerere
Hapa chini ni wakazi wa Kata ya Kamugengi wilaya ya Butiama walioomba awasalimie
UPDATES 2
Tarime vijijini
SIRARI - TARIME