Shirikisha kwanza akili kabla ya kutype. Anayepanga ratiba ni tume.Mbona kila siku Singida ?
Hawaamini ndungu zake wa singida ? Anajua watamfyekelea mbali
Hapa vijana tuna la kujifunza, Usaliti ni laana kwa Taifa
Shirikisha kwanza akili kabla ya kutype. Anayepanga ratiba ni tume.Mbona kila siku Singida ?
Hawaamini ndungu zake wa singida ? Anajua watamfyekelea mbali
Hapa vijana tuna la kujifunza, Usaliti ni laana kwa Taifa
Dearesalaam iko tayari kwa mapokezi makubwa ya Tundu Lissu Askofu Mwamakula na Shekh Ponda
Siyo wale walo achishwa masomo na kuswaga kwenda kusikiliza campani za lile fisadi lenu.
Mjinga ni yule ambaye hatasonga mbele. Kila mmoja ameubwa kwa hulka yake. Wenye hulka ya ujasiri tutasonga, wewe kaa nyumbani! Wachache ndio huleta mageuzi!Binafsi naweza pata ujasiri iwapo tu, watakaotuambia tuingie barabarani waje wao, wake zao na watoto wao tuungane pamoja kudai haki ya kuibiwa kura.
Kinyume cha hapo wajinga waache waende
Anafwata ratiba ya NECMbona kila siku Singida ?
Hawaamini ndungu zake wa singida ? Anajua watamfyekelea mbali
Hapa vijana tuna la kujifunza, Usaliti ni laana kwa Taifa
Umeandika kimasikini sana !Binafsi naweza pata ujasiri iwapo tu, watakaotuambia tuingie barabarani waje wao, wake zao na watoto wao tuungane pamoja kudai haki ya kuibiwa kura.
Kinyume cha hapo wajinga waache waende
Zanzibar kumeshakucha tunamsubiri na Tundu Lissu aingie Dar tuweke mambo sawaDearesalaam iko tayari kwa mapokezi 0makubwa ya Tundu Lissu Askofu Mwamakula na Shekh Ponda
Hapana , video zipo isipokuwa timu yangu ya live ilikuwa bize kidogoErythrocyte - Nini kimetokea leo? Mbona hakuna kabisa video za TL za kampeni za leo? Wamepiga pini hadi mtandaoni?
Hapana , video zipo isipokuwa timu yangu ya live ilikuwa bize kidogo
Zanzibar kumeshakucha tunamsubiri na Tundu Lissu aingie Dar tuweke mambo sawa
Hata kupiga mtu risasi 16 ni laana.vijana jifunzeni upendoMbona kila siku Singida ?
Hawaamini ndungu zake wa singida ? Anajua watamfyekelea mbali
Hapa vijana tuna la kujifunza, Usaliti ni laana kwa Taifa
Mnataka aige kila analofanya Magufuli?Abarikiwe TL. Tujitokeze kwa wingi Jumatano 28 Okt 2020 tumpigie TL kura zetu.
Sijasikia TL akieleza watu jinsi ya watu kumpigia kura 28 Okt 2020. Hajaeleza wapi picha na jina lake vimewekwa kwenye karatasi ya kupiga kura.
Mnataka aige kila analofanya Magufuli?
Mlevi wenu wa taifa kamsusa Nani wa kumpigia kura huyo Tundu?we mlevi hakikisha jumatano unampigia kura Mheshimiwa Rais Tundu A. Lissu
Askari Watanzania sasa wauona ukweli, tusubirie ya Kawe kwa GWAJIBOY alikoshirikiana na NEC kumzuia Halima Mdee asifanye Kampeni siku 7 za lala salamaKampeni zimeisha, tunasubiria sherehe za kumuapisha Rais Magufuli tu
Wiki ijayo
YeahWewe ni binti ?
Mbona nimehudhuria mafunzo leo kipengere cha mawakala kuondoka na matokeo kipo?Haiwezekani kwenda majimbo yote ya Tanzania. Aliyeweka miezi 2 ya kampeni ameweka muda huo kwa manufaa ya CCM. CCM imehodhi vyombo vya habari. Hawa wengine haruhusiwi kutangazwa. Huu siyo mfumo wa uchaguzi. Ni mfumo wa kuhalalisha udhalimu wa CCM tu. Hakuna kingine. Uchaguzi huu, mawakala hawaruhusiwi kutoka na nakala ya matokeo ya uchaguzi! Jiulize, wakitoka na matokeo itamuumiza nani?
Mbona nimehudhuria mafunzo leo kipengere cha mawakala kuondoka na matokeo kipo?
Yaani nakala moja itabandikwa,kila wakala atapewa nakala yake,moja anapewa msimamizi wa uchagauzi na nyingine inabaki.
mambo ya kishamba, sasa kwanini unaingia kwenye siasaUsinirudie kunitukana