Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye Mikutano ya Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Dodoma na Singida

Wakuu kwa sasa ni suala la muda tu kwa Nchi yetu kupata Rais Mpya kutoka kwenye chama kipya , naandika haya kwa kujiamini kabisa baada ya Tathmini ya uhakika , njia pekee ya kumshinda Lissu kwenye uchaguzi huu ni kuiba kura tu .

Nirudi kwenye mada , Leo Tundu Lissu ataendelea na mikutano kadhaa na hasa kwenye maeneo ambayo hakufanikiwa kuyapitia ya Dodoma na Singida ( anafukia mashimo ) , kama kawaida yetu tutawaletea kila kinachojiri pote atakapopita .

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika .

" TANZANIA MPYA OYEE , RAIS MPYA OYEEEE "



========

Chemba :

View attachment 1611710View attachment 1611711View attachment 1611712



View attachment 1611711View attachment 1611712
Singida Kaskazini

View attachment 1611715View attachment 1611716View attachment 1611713View attachment 1611714
Naomba kujua YouTube channel gani inaonesha mikutano ya Lissu?
 
Back
Top Bottom