Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,382
- 1,247
Duuuuuu, kweli imetimia
Oktoba 28, amka asubuhi dogo ukmpigie kura Mhe LissuMlevi wenu wa taifa kamsusa Nani wa kumpigia kura huyo Tundu?
Nini mkuu imetimiaDuuuuuu, kweli imetimia
Naomba kujua YouTube channel gani inaonesha mikutano ya Lissu?Wakuu kwa sasa ni suala la muda tu kwa Nchi yetu kupata Rais Mpya kutoka kwenye chama kipya , naandika haya kwa kujiamini kabisa baada ya Tathmini ya uhakika , njia pekee ya kumshinda Lissu kwenye uchaguzi huu ni kuiba kura tu .
Nirudi kwenye mada , Leo Tundu Lissu ataendelea na mikutano kadhaa na hasa kwenye maeneo ambayo hakufanikiwa kuyapitia ya Dodoma na Singida ( anafukia mashimo ) , kama kawaida yetu tutawaletea kila kinachojiri pote atakapopita .
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika .
" TANZANIA MPYA OYEE , RAIS MPYA OYEEEE "
========
Chemba :
View attachment 1611710View attachment 1611711View attachment 1611712
View attachment 1611711View attachment 1611712
Singida Kaskazini
View attachment 1611715View attachment 1611716View attachment 1611713View attachment 1611714
Umaskini ni pamoja na kufikiri kwamba Ku sacrifice maisha kwa ajili wanasiasa basi wewe ni jasiri.Umeandika kimasikini sana !