Yaliyojiri kwenye mazishi ya Sumari

hii nayo ilipatikana nyumbani kwa marehemu sumari.....muone wasira anavyowaangalia


RIP Sumari.

Hii picha kuna saa ilikuja humu jamvini halafu ikapotea, sijui iliondolewa kwa muda!!?

Embu tuifanyie tathmini kidogo,

1. Cheki huo mkono wa Lowasa alivyoutoa. Amempa Sitta vidole badala ya mkono. Inaonyesha ameutoa kwa shingo upande tu
2. Uso wa Lowasa sidhani kama anamwangalia Sitta usoni kama Sitta anavyomwangalia. Inaonyesha Lowasa anatamani huo mkono uachiwe aendelee na mishe zako.
3. Cheki pembeni kuna mzee wa udaku anajaribu kufuatilia tukio. Anajua kabisa kuna tension kati ya hawa wawili na macho yake ameyaelekeza jinsi mkono unavyotoka.

Duh, kuna kazi kwenye magamba mpaka ifike 2015...
 
Huyo marehemu alishawahi kumwambia Dr Slaa kama hana hoja nyingine zaidi ya ufisadi wa EPA, hakae kimya.

Yeye ndio kakaa kimya sasa.

Hata Mh. Dr. Slaa naye iko siku atakaa kimya. Hata wewe na mimi pia iko siku. It is just a matter of time!!! Subiri na jiandae kwa kuwa hujui siku wala saa.
 
Duh Kama Watendaji wote wa serekali wanaenda Kuzika Nani amebaki kuwatumikia Waliobaki Hai?
 
Huyo marehemu alishawahi kumwambia Dr Slaa kama hana hoja nyingine zaidi ya ufisadi wa EPA, hakae kimya.

Yeye ndio kakaa kimya sasa.


Kama alisema hivyo ndio maana nae amepisha na posho......alifikiri ufisadi atakwenda nao? kila kitu kitabaki ila binadamu hata baki.............
 
Tangulia Sumari, ukikutana na mwl mwambie Zenj pana serikali ya umoja wa kitaifa, na serikali ilikata rufaa juu ya mgombea binafsi. Haki ya mtz kuchagua na kuchaguliwa imebakwa kwa sehumu.
Msalimie Prof Haroub, mwambie msamiati wa tume huru ya uchaguzi zahaujaeleweka kwa watawala wetu.
Kampumzike kwa amani.

Acha kupoteza muda wako bure, Mwalimu hawezi kumsikiz huyo kibaraka wa mafisadi, hakuwa msafi kiasi cha kuweza kuthubutu kuongea na Mwalimu. Salam zako zitafikishwa na Mh. Regia.
 
Katika matukio kule msibani mbunge wa Arusha mjini bwana Peoples Peoples Power! kidogo alete tafrani baada ya viongozi woote wakitaifa kuwasili akiwepo handsome boy JK, ndipo kati ya waheshimiwa wa mwisho kuingia ndipo bwana Lema alivyoingia tu eeeh bwana walijitokeza vijana wa Chadema na kuanza kwakupiga mayowe Peoplesssss na wakaitikia kwakupokezana Powersssss! lakini bwana Lema alionyesha kukomaa kwake kisiasa na hakuzungumza wala kuwajibu chochote zaidi ya kupokelewa na kwenda kuketi. Souce Matukio kwenye msiba.
 
Hivi vibinti vya wakubwa vinapatikana wapi nimsakizie kijana wangu? Naona marehemu Sumari aliukwaa Ubunge na Unaibu waziri kwa kijana wake kumpata binti wa Lowasa.
 
Ukitaka kujua umuhimu wa mtu ni siku anapofariki.....So huyu marehemu SUMARI hakua na mchango wa maaaaaaana kwa watanzania ndo maana ata CCM wenyewe wanamzika basi tu....So u cant compare kifo cha REGIA na huyu GAMBA hakua wa maana sana kwa wa TANZANIA.........by the way kufa kufaana may b tuna weza pata vichwa vya maana vitakavyo tutoa ktk hili lindi la umaskini.....mungu akulaze mahala panapo kustahili SUMARI na mungu akulaze mahali pema peponi ndugu yetu REGIA
 
Sijui kila mtu alikuwa anawaza nini hapo, picha maneno zaidi ya 1,000,000
Sitta anamwambia Lowasa kuwa fanya ubaya wote duniani, lakini sote mwisho wetu ni kifo. Hivyo jiaandae siku yako utamueleza nini muumba wako.
 
Back
Top Bottom