Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,845
- 5,064
Mbona Tshirts hizo za Idara ya maji Arusha-AUWSA?
mkuu hizo tisheti ni za Taasisi ya Madaktari wahitimu wa vyuo vikuu Tanzania (THPI) ..ndio walioandaa matembezi hayo
Mbona Tshirts hizo za Idara ya maji Arusha-AUWSA?
Tumemsubiri sana JK Arusha baada ya mazishi, mpaka muda huu hatuamini kabisa kama anaweza akawa ameondoka mjini hapa bila hata ya salamu kwa Wana Arusha!
Mbona Morogoro alitembelea sehemu kadha, ikiwa ni pamoja na kuzindua madaraja akijiandaa kwenda kumzika mar.Regia?
mkuu hizo tisheti ni za Taasisi ya Madaktari wahitimu wa vyuo vikuu Tanzania (THPI) ..ndio walioandaa matembezi hayo
Mbona msiba wa huyu marehemu hapa JF haujapewa uzito mkubwa kama misiba ya waheshimiwa wengine?
Mbona nilisikia JK hatakuwepo?
Mbona msiba wa huyu marehemu hapa JF haujapewa uzito mkubwa kama misiba ya waheshimiwa wengine?
ole medei akiwakilisha wabunge wa arusha amempiga kijembe lema kwa kusema eti wabunge vijana wajifunze kutoka kwa marehemu sumari.
Ukiona hivyo ujue ndiyo wameanza kampeni za uchaguzi wa mdogo wa ubunge utafanyika hivi karibuni.waungwana napata sana shida kuamini ghafla kwa yaliyotamkwa na wana siasa na viongozi wa ccm kwenye maziko ya aliyekuwa mbunge wa arumeru (mashariki) jerry s sumari kuwa ahadi zake zitatekelezwa na serikali.
Siamini kama wanamaanisha wanachokiongea hapa kinatoka rohoni mwao na ndiyo utaratibu za kawaida, bali nashawishika kuona ni kampeni za ki aina kuhusu kupewa ridhaa katika jimbo hilo tena kupitia ccm..
Mbona kuna wabunge hai wa ccm ahadi zao hawazitimizi au hadi nao wafe?
Jamani hebu tuwe wakweli na wastaarabu kuhusu kuwadanganya watanzania, wabunge mliopo humu mtusaidie kujua na kuchambua kauli za pinda, lukuvi na mukama katika msiba huu....
Sijui kama Mhe Fredrick Sumaye watakua wamesalimiana na Dr Mary Nagu hapo msibani huko Arumeru? Je, kuna picha yoyote hadi sasa juu ya hilo???
Tumemsubiri sana JK Arusha baada ya mazishi, mpaka muda huu hatuamini kabisa kama anaweza akawa ameondoka mjini hapa bila hata ya salamu kwa Wana Arusha!
Mbona Morogoro alitembelea sehemu kadha, ikiwa ni pamoja na kuzindua madaraja akijiandaa kwenda kumzika mar.Regia?
Naona habari zake hazijavutia jukwaa kama la Rejia!RIP SUMARI