Thomas Odera
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 670
- 149
Mungu amrehemu lakini hakuna cha kumkumbuka alichofanya akiwa mbunge na waziri . Ole Medeye amalizie tu muda wake maana na yeye hatarudi bungeni kama mbunge wa kuchaguliwa 2015
Mbona nilisikia JK hatakuwepo?
Mungu amrehemu lakini hakuna cha kumkumbuka alichofanya akiwa mbunge na waziri . Ole Medeye amalizie tu muda wake maana na yeye hatarudi bungeni kama mbunge wa kuchaguliwa 2015
Marry Nagu hakuwepo mkuu.... Mary nagu alikuwa kwenye matembezi yale wanyoita ya hisani ili kusaidia mama mjamzito ajifungue salama...hakuwepo kwenye mazishi...
JE DR SLAA NA KIKWETE WALISALIMIANA AU ALIMPIGA CHENGA KM IFAKARA
Mbona msiba wa huyu marehemu hapa JF haujapewa uzito mkubwa kama misiba ya waheshimiwa wengine?
Mbona msiba wa huyu marehemu hapa JF haujapewa uzito mkubwa kama misiba ya waheshimiwa wengine?
Mbona msiba wa huyu marehemu hapa JF haujapewa uzito mkubwa kama misiba ya waheshimiwa wengine?
Kikongwe wa tume ya uchaguzi aanze kazi yake
Mbona nilisikia JK hatakuwepo?
Kwa sababu yupo upande wa mafisadi