Mbona msiba wa huyu marehemu hapa JF haujapewa uzito mkubwa kama misiba ya waheshimiwa wengine?
CCM wafanya kampeni msibani,Lema ashangiliwa baada ya mazishi,Katibu CCM wilaya nusura achapwe makonde alipojaribu kumzuia watu wasimsalimie mbunge Lema, wana CCM wenzake washangaa.
CCM wafanya kampeni msibani,Lema ashangiliwa baada ya mazishi,Katibu CCM wilaya nusura achapwe makonde alipojaribu kumzuia watu wasimsalimie mbunge Lema, wana CCM wenzake washangaa.
Mbona msiba wa huyu marehemu hapa JF haujapewa uzito mkubwa kama misiba ya waheshimiwa wengine?
Huyo marehemu alishawahi kumwambia Dr Slaa kama hana hoja nyingine zaidi ya ufisadi wa EPA, hakae kimya.
Yeye ndio kakaa kimya sasa.
Naona habari zake hazijavutia jukwaa kama la Rejia!RIP SUMARI
Mbona msiba wa huyu marehemu hapa JF haujapewa uzito mkubwa kama misiba ya waheshimiwa wengine?
Kumbe muheshimiwa marehemu sumari alikua MBUNGE KIJANA?ole medei akiwakilisha wabunge wa arusha amempiga kijembe lema kwa kusema eti wabunge vijana wajifunze kutoka kwa marehemu sumari.
Naona habari zake hazijavutia jukwaa kama la Rejia!RIP SUMARI
Mbunge sumari na Mbunge lowassa watoto wao wameoana hapo kweli ufisadi utajificha?ili nini? Huyo amepumzika kwa kuwa alikuwa anaumwa, regia amepata ajali alikuwa mzima
amezikwa na sasa watu wancheza karata tu.....yule jamaa maarufu kwa kupanda juu makaburi na kupiga picha sijui yuko wapi!!!!
Marry Nagu hakuwepo mkuu.... Mary nagu alikuwa kwenye matembezi yale wanayoita ya hisani ili kusaidia mama mjamzito ajifungue salama...hakuwepo kwenye mazishi...ngoja nikupe ka-evidence hakaSijui kama Mhe Fredrick Sumaye watakua wamesalimiana na Dr Mary Nagu hapo msibani huko Arumeru? Je, kuna picha yoyote hadi sasa juu ya hilo???
ni kwlei kulikukwa na kama kitu kama tafrani fulani.....Toeni habari kwa kina hapa JF wale mliopata nafasi ya kuhudhuria mazishi ya Mh Sumari,maana sijajua kulikuwa na nini hasa,nimesikia muhutasari wa yaliyotokea kupitia WAPO redio wanasema kulitokea vurugu inasadikiwa ilisababishwa na vijana wanaosadikiwa kuwa ni wafuasi wa CDM.sasa niki-compare na uzi huu naona kama kulikuwa na kitu.
Tupasheni vizuri mliohudhuria mazishi hayo