chitulanghov
Member
- Dec 22, 2011
- 38
- 16
Kijana nasari mbunge wetu wa chadex (chadema) alinyang'anywa matokeo kwasababu ni kijana mdogo tu. wazee watawalao vema na wastahili heshima lakini wasiojiheshimu aibu yao iwafuate waliko!
Tumemsubiri sana JK Arusha baada ya mazishi, mpaka muda huu hatuamini kabisa kama anaweza akawa ameondoka mjini hapa bila hata ya salamu kwa Wana Arusha!
Mbona Morogoro alitembelea sehemu kadha, ikiwa ni pamoja na kuzindua madaraja akijiandaa kwenda kumzika mar.Regia?