Yaliyojiri: Kongamano la Katiba: 15 Januari 2011 Nkrumah UDSM

Kwani atakuwepo?????? mwaache ateue ila siku za kukimbia kama tunisia zaje kama si kuanguka kifafa. Mambo yamebadilika mno
 
Augustine,
Hold your shirt. Shivji is a Marxist. Unlike Kinguge he has not changed his colours.
 
Hii nchi ni yetu mimi na wewe, safari ya kuitemgeneza katiba siyo lelemama tujipange mimi na wewe, hawa watawala hawana jipya ila maadamu nchi ni yetu basi tutaipokonya kwao na ikibidi yale ya Tunisia yanaweza tokea TZ!
 
I agree with you mr johnsecond, kwani kabla nkapa kumuondolea uraia the guy was brilliant, outstanding and plainly flat in his writings. ah, baada ya ile nyundo ya uraia jamaa amekuwa very technical kwenye articles zake kiasi kwamba kwa mtu kama yule anayenukuu biblia kwa faida yake hawezi kumuelewa!
 
Hivi Viki Kamata atachangia nini kuhusu katiba? Vikuku miguuni wapi na wapi
 
Augustine,
Hold your shirt. Shivji is a Marxist. Unlike Kinguge he has not changed his colours.

Did Shivji understand Marxism? He wrote a whole book on Class Struggle in Tanzania while there never was one. Shivji's Marxism was mere intellectual acrobatics.

Kwenye swala la Katiba Mpya, Shivji anakosea sana. Na anaelekea kuwa na visa na Chadema.
 
Prof Shivji ktk mdahalo wa leo ulioandaliwa na UDASA ameuma maneno kuhusu uhalali wa JK kuwa madarakani KIKATIBA kwa kuwa katiba yenyewe haikutokana na matakwa ya wananchi lakini amemshambulia Rais wa kwanza Nyerere kwamba eti hakuwa kihalali KIKATIBA! Lilipokuja suala la uhalali wa JK na marais waliofuata baada ya Nyerere akajifanya amesahau kulijibu na alipokumbushwa akadai unahitajika ufanyike utafiti kwanza! Kwa hili simwelewi Shivji!
 
Kazi kubwa ambayo Profesa Shivji na Jenerali Ulimwengu wameifanya leo imetibuliwa na wao wote wawili kuiunga mkono Tume batili ya JK kwa hali yoyote ile.....................JK hana mamlaka ya klsheria ya kutuundia Tume hivyo wanazuoni hawa walichemsha sana waliposema hawaoni kuwa ina matatizo ila tatizo ni muundo wake, hadidu za rejea na itapeleka wapi taarifa yao...................................

Tatizo la katiba iliyopo ni ushirikishwaji sasa hii Tume ya Raisi itakuwa imechaguliwa kwa vigezo vipi wakati upatikanaji wake haukutoa nafasi na fursa sawa kwa raia wote kushiriki katika kuziomba nafasi hizo?

Itakuwaje Tume ambayo haikupatikana kwa misingi ya kiutu tuitegemee iende kutujengea misingi ya kiutu?

Utaratibu ufaao ni Bunge kutunga sheria ya kuanzisha mchakato wa kuandika katiba mpya...................Tume ya wataalamu ya kuratibu zoezi hilo iwepo lakini ipatikane kwa Bunge kuzitangaza nafasi na sifa zake kwenye magazeti ili kutoa fursa sawa ya raia wote wenye sifa kuziomba...............................na kamati maalumu ya Bunge ichuje na kuteua wastahiki ambao watapigiwa kura Bungeni na wakipitishwa basi Raisi ndiyo awateue.....................................Bila kutoa fursa sawa kwa wote usitegemee hiyo itakuwa ni katiba mpya.....................la hasha.

Mawazo mengine ya namna ya kuuunda Mkutano mkuu ninayauinga mkono kuwa wajumbe wake wachaguliwe moja kwa moja kupitia majimbo ya uchaguzi yaliyopo na wabunge au watumishi serikalini wasishiri kwenye Mkutano huo wa kikatiba.............................

leo nimepata fursa ya kuwasiliza. kimsingi hilo swali alilo uliza issa ukiangalha manake halisi nikuwa kama tume inaundwa na rais na hayo maoni yatakayo kusanywa hiyo 2me atapelekewa nani, rais? hivyo anamaanisha rais hatakiw kuunda 2me. kuhusu jenerali pia hajaunga hoja 2me ya rais,
 
Kazi kubwa ambayo Profesa Shivji na Jenerali Ulimwengu wameifanya leo imetibuliwa na wao wote wawili kuiunga mkono Tume batili ya JK kwa hali yoyote ile.....................JK hana mamlaka ya klsheria ya kutuundia Tume hivyo wanazuoni hawa walichemsha sana waliposema hawaoni kuwa ina matatizo ila tatizo ni muundo wake, hadidu za rejea na itapeleka wapi taarifa yao...................................

Tatizo la katiba iliyopo ni ushirikishwaji sasa hii Tume ya Raisi itakuwa imechaguliwa kwa vigezo vipi wakati upatikanaji wake haukutoa nafasi na fursa sawa kwa raia wote kushiriki katika kuziomba nafasi hizo?

Itakuwaje Tume ambayo haikupatikana kwa misingi ya kiutu tuitegemee iende kutujengea misingi ya kiutu?

Utaratibu ufaao ni Bunge kutunga sheria ya kuanzisha mchakato wa kuandika katiba mpya...................Tume ya wataalamu ya kuratibu zoezi hilo iwepo lakini ipatikane kwa Bunge kuzitangaza nafasi na sifa zake kwenye magazeti ili kutoa fursa sawa ya raia wote wenye sifa kuziomba...............................na kamati maalumu ya Bunge ichuje na kuteua wastahiki ambao watapigiwa kura Bungeni na wakipitishwa basi Raisi ndiyo awateue.....................................Bila kutoa fursa sawa kwa wote usitegemee hiyo itakuwa ni katiba mpya.....................la hasha.

Mawazo mengine ya namna ya kuuunda Mkutano mkuu ninayauinga mkono kuwa wajumbe wake wachaguliwe moja kwa moja kupitia majimbo ya uchaguzi yaliyopo na wabunge au watumishi serikalini wasishiri kwenye Mkutano huo wa kikatiba.............................

sioni la ajabu kwani hata huko bungeni itakuwa kama ya uchaguzi wa spika, kwa ccm bado ina uwakilishi mkubwa bungeni! Na aunde hiyo tume tuone uelekeo wake si ajabu akina rostam na wenzie wakawemo! Yetu macho
 
he, kumbe naye anabadilikaga kama kinyonga! anamwogopa JK wasije waksema mhaini. but, sasa wasomi wetu mbona mnatuangusha. kuweni majasiri bwana
 
Mzee Kaduma katoa challenge kwa vijana kusoma sana ili tuwe na uelewa mkubwa na hiyo itaturahisishia katika uandishi wa katiba mpya!!

Hili ni la muhimu sana! Mimi binafsi ninaanza kuifanyia kazi hii changamoto leo.
Heko mzee Kaduma!
 
bunge la ccm na kamati zake ni kupoteza muda!tume ya wataalamu si wanasiasa, iratibu maoni ya wananchi na kutoka na kitu cha kueleweka
 
Katiba ipo,serikali ipo sababu tuna mwongozo,katiba. Tunayo. Hapa tutakesha ndugu. Tukubaliane kuwa katiba ya sasa ni mbovu. Hatuwezi kudai nonexisting substance!frow which ground then? Sisi tuendelee kudai katiba mpya. Hata kama haikuwepo,sasa kumbe tukidai katiba mpya tuko sahihi. Kama haikuwepo,tutakayokuwa nayo ndo ya kwanza,kitu cha kwanza ndo kipya!kwa iyo wanazuoni tunadai katiba mpya tukielewa kuwa kama tz haikuwa na katiba,basi itakuwa katiba mpya. Na kama ilikuwepo tunataka ibadilishwe tupate mpya. So all the ways,tuko sahihi! Usiku mwema ndugu!
 
Ni kweli taifa hili halina dini-kila dini ina haki sawa-hata dini ya waabudu mizimu nao wamo; tusikubali katiba iliyo na dini moja au mbili wakati zingine hazimo-itakuwa ubaguzi wa dini!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
JF ikibidi elimisha maana ya taifa kuwa bila dini-tofauti ya taifa kuwa na dini na isiyokuwa na dini!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Tuendelee kuenzi amani ambayo viongozi wetu akina Yusufu wameanza kuchakachua kwa ubabe na mitutu ya bunduki zenye risasi za moto!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kuacha kupeleka hoja ya mchakato wa kuandika katiba mpya bungeni ni woga usio na tija!!!!!!!!!!!! Finally bunge ndicho chombo cha mwisho kujadili na kupitisha kuwa sheria mama katiba hii!!!!!!!!!!
Tukumbuke mchakato huu usipopata ridhaa ya bunge kuufanya kuwa sheria ndogo ya kulinda mchakato kuna hatari ya wenye hila na nia mbaya kuhujumu machakato-tutawakamatia wapi kama hakuna sheria ?????????????? Bunge halikwepeki-Mnyika GO AHEAD!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mpuuzeni huyuShivji-ameishi na utawala wa Hayati Nyerere miaka mingapi? iweje leo aseme maneno yenye mantiki ya kutuyumbisha????????
Huyu ni ndumila kuwili!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom