Kwani Mbowe kakamatwa lini? Na ni nani alisema kuwa Mbowe na wenzake wanatumikia kifungo?

Hupaswi kuwa na hasira na mtu mpaka ukashindwa ku reason kawaida tu. Magufuli hayupo. Waliopo warekebishe ambayo aliyakosea.
wee hushangai nchi nzima magaidi watatu tu. upelelezi woote tangu mwaka jana watatu tu tena kwa ufadhili wa laki sita.
Huoni kuwa kimantiki ni maelekezo ya mtu mkubwa? tena lengo kuu likiwa kuangamiza upinzani kuanzia uchaguzi wa serikali za mitaa 2019. Huu ulikuwa mpango mkakakati na hii ni aibu tupu
 
Huko waliko hata chakula hawali na usingizi hawapati.
Wazee wa escrow na uhamsho wamewabambika wakawaachia.
Ukiona kesi yeyeto imekaa miaka bila ushahidi na mtu yupo ndani Hakuna kesi hapo ni mbambiko wa kukomolewa utoe kitu ununue UHURU wako.
Walipoona wazee wa escrow wataambulia patupu baada ya wazee kukaza wakawatema.
 
True alikufa yule aliyepigana kufa upinzani ufe sembuse hawa
wee hushangai nchi nzima magaidi watatu tu. upelelezi woote tangu mwaka jana watatu tu tena kwa ufadhili wa laki sita.
Huoni kuwa kimantiki ni maelekezo ya mtu mkubwa? tena lengo kuu likiwa kuangamiza upinzani kuanzia uchaguzi wa serikali za mitaa 2019. Huu ulikuwa mpango mkakakati na hii ni aibu tupu
 
Siyo siri kuwa watanzania walio wengi tumekwisha kuonjeshwa shubiri na polisi hata pasipokuwa na uhalali wowote.

Hivi viongozi wa akina Kingai au Mahita tokea juu hadi chini kwa hali hizi:

View attachment 1955840

wangali maofisini wakimtumikia nani?

Watuhumiwa hawakupewa chakula kwa siku 10?!

Hivi, yuko wapi Mosses Lijenje?
Yuko wapi Dennis Urio?

Siyo sababu kama hizi kweli zinazopelekea watu kama huyu kuchukua sheria mikononi?

View attachment 1955842

Kamanda Sirro utajificha wapi na aibu hii?

Pongezi za dhati ziwafikie makomandoo wa 92KJ. Kwa hakika ni wazalendo kweri kweri.

Ndiyo maana hawakuona ubaya wa kutoa ulinzi kwa mwenyekiti Mbowe.
Hakuna mwanaume anaweza kuishi bila kula chakula kwa muda wa siku kumi mfululizo. Kiwango cha mwisho mwanaume kuishi bila chakula ni siku nane tu, kwa mwanamke siku kumi na nne hadi ishirini na moja. Endapo mtu hatapata chakula na maji kwa muda wa siku tatu au nne mfululizo itakuwa ndio chanzo cha kifo chake. Kwa hiyo huyo shaihidi ni mwongo. Inawezekana waliomshikilia mahabusu hawakumpelekea chakula ila mahabusu wenzio waligawana naye kusukuma siku.
 
😂😂😂😂😂umepanic bahati nzuri sinaga shobo za kuitwa nipo vizuri upstairs kwa kifupi mie sio NYUMBU

Kama kasingiziwa mahakama itamuachia kwa sasa yupo jela so hajasingiziwa wala hajaonewa

NB:Hao wanajeshi waliotimuliwa jeshini mnawakusanya wa nini?
😏
 
Hakuna mwanaume anaweza kuishi bila kula chakula kwa muda wa siku kumi mfululizo. Kiwango cha mwisho mwanaume kuishi bila chakula ni siku nane tu, kwa mwanamke siku kumi na nne hadi ishirini na moja. Endapo mtu hatapata chakula na maji kwa muda wa siku tatu au nne mfululizo itakuwa ndio chanzo cha kifo chake. Kwa hiyo huyo shaihidi ni mwongo. Inawezekana waliomshikilia mahabusu hawakumpelekea chakula ila mahabusu wenzio waligawana naye kusukuma siku.
Wewe ni mwanaume mdebwedo sana. Amekwambia kwenye chumba alichokuwamo kulikuwa na maji.
 
😂😂😂😂😂umepanic bahati nzuri sinaga shobo za kuitwa nipo vizuri upstairs kwa kifupi mie sio NYUMBU

Kama kasingiziwa mahakama itamuachia kwa sasa yupo jela so hajasingiziwa wala hajaonewa

NB:Hao wanajeshi waliotimuliwa jeshini mnawakusanya wa nini?
Mkuu alikufa Jiwe aliyelaaniwa na hizi ndio laana zinamfata. Mbowe pale alopo anafuraha kuona kinachoendelea kinakuwa wazi. Tusingejua
 
Shukuruni Mungu mashujaa wa JWTZ wameamua kuwa watulivu. Wakiamua hivyo vijamaa vyenu vitalamba mchanga kwa kutumia vijambio

Au umesahau Hamza alichowatendea
Endelea kujidanganya.Kuna watu wakalia mb hiyo siku polisi wababe sana.
 
Huyo wakili wa serikali Chavula inaonesha anajua sana kukazwa.
Wenzake wote wamesikia neno "mikazo".
Lakini yeye anaulizwa na jaji, umesikiaje? anajibu nimekazwa.

Jaji anamwambia ukirudia tena nitakutafsiri vibaya.
Huyu jaji anaonekana mselamsela sana
Jaji yupo vzr,anaendesha kesi vzr sana
 
Back
Top Bottom