Mwamba 777
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 1,924
- 3,247
madogo mnaosoma sheria vyuoni, chukueni notes za UE hizo.
Ale na minyweho kabisa.😂😂😂Ahahahah ana hamu na misasati kama sio mifudu au mitoho
Hli suala la mahabusu kukalishwa na njaa kwa siku 10 nayo ni ilani ya chama ama?Nafuatilia kwa karibu hii kesi
Kama vile tuko ndani ya mahalamaTwende kazi......!! Tuko huku vijijini, lakini bado tunafuatilia jambo hili kwa ukaribu wa kipekee, huku tukitambua fika #Mbowe siyo Gaidi#
Huko waliko hata chakula hawali na usingizi hawapati.Kingai na mahita wanasemaje kuhusu linjenje
wee hushangai nchi nzima magaidi watatu tu. upelelezi woote tangu mwaka jana watatu tu tena kwa ufadhili wa laki sita.Kwani Mbowe kakamatwa lini? Na ni nani alisema kuwa Mbowe na wenzake wanatumikia kifungo?
Hupaswi kuwa na hasira na mtu mpaka ukashindwa ku reason kawaida tu. Magufuli hayupo. Waliopo warekebishe ambayo aliyakosea.
Wazee wa escrow na uhamsho wamewabambika wakawaachia.Huko waliko hata chakula hawali na usingizi hawapati.
wee hushangai nchi nzima magaidi watatu tu. upelelezi woote tangu mwaka jana watatu tu tena kwa ufadhili wa laki sita.
Huoni kuwa kimantiki ni maelekezo ya mtu mkubwa? tena lengo kuu likiwa kuangamiza upinzani kuanzia uchaguzi wa serikali za mitaa 2019. Huu ulikuwa mpango mkakakati na hii ni aibu tupu
Hao makada wamegalagazwa hatariHuko waliko hata chakula hawali na usingizi hawapati.
Hakuna mwanaume anaweza kuishi bila kula chakula kwa muda wa siku kumi mfululizo. Kiwango cha mwisho mwanaume kuishi bila chakula ni siku nane tu, kwa mwanamke siku kumi na nne hadi ishirini na moja. Endapo mtu hatapata chakula na maji kwa muda wa siku tatu au nne mfululizo itakuwa ndio chanzo cha kifo chake. Kwa hiyo huyo shaihidi ni mwongo. Inawezekana waliomshikilia mahabusu hawakumpelekea chakula ila mahabusu wenzio waligawana naye kusukuma siku.Siyo siri kuwa watanzania walio wengi tumekwisha kuonjeshwa shubiri na polisi hata pasipokuwa na uhalali wowote.
Hivi viongozi wa akina Kingai au Mahita tokea juu hadi chini kwa hali hizi:
View attachment 1955840
wangali maofisini wakimtumikia nani?
Watuhumiwa hawakupewa chakula kwa siku 10?!
Hivi, yuko wapi Mosses Lijenje?
Yuko wapi Dennis Urio?
Siyo sababu kama hizi kweli zinazopelekea watu kama huyu kuchukua sheria mikononi?
View attachment 1955842
Kamanda Sirro utajificha wapi na aibu hii?
Pongezi za dhati ziwafikie makomandoo wa 92KJ. Kwa hakika ni wazalendo kweri kweri.
Ndiyo maana hawakuona ubaya wa kutoa ulinzi kwa mwenyekiti Mbowe.
Wamekwama.True alikufa yule aliyepigana kufa upinzani ufe sembuse hawa
😏😂😂😂😂😂umepanic bahati nzuri sinaga shobo za kuitwa nipo vizuri upstairs kwa kifupi mie sio NYUMBU
Kama kasingiziwa mahakama itamuachia kwa sasa yupo jela so hajasingiziwa wala hajaonewa
NB:Hao wanajeshi waliotimuliwa jeshini mnawakusanya wa nini?
Wewe ni mwanaume mdebwedo sana. Amekwambia kwenye chumba alichokuwamo kulikuwa na maji.Hakuna mwanaume anaweza kuishi bila kula chakula kwa muda wa siku kumi mfululizo. Kiwango cha mwisho mwanaume kuishi bila chakula ni siku nane tu, kwa mwanamke siku kumi na nne hadi ishirini na moja. Endapo mtu hatapata chakula na maji kwa muda wa siku tatu au nne mfululizo itakuwa ndio chanzo cha kifo chake. Kwa hiyo huyo shaihidi ni mwongo. Inawezekana waliomshikilia mahabusu hawakumpelekea chakula ila mahabusu wenzio waligawana naye kusukuma siku.
Huna akiliWewe ni mwanaume mdebwedo sana. Amekwambia kwenye chumba alichokuwamo kulikuwa na maji.
Mkuu alikufa Jiwe aliyelaaniwa na hizi ndio laana zinamfata. Mbowe pale alopo anafuraha kuona kinachoendelea kinakuwa wazi. Tusingejua😂😂😂😂😂umepanic bahati nzuri sinaga shobo za kuitwa nipo vizuri upstairs kwa kifupi mie sio NYUMBU
Kama kasingiziwa mahakama itamuachia kwa sasa yupo jela so hajasingiziwa wala hajaonewa
NB:Hao wanajeshi waliotimuliwa jeshini mnawakusanya wa nini?
Endelea kujidanganya.Kuna watu wakalia mb hiyo siku polisi wababe sana.Shukuruni Mungu mashujaa wa JWTZ wameamua kuwa watulivu. Wakiamua hivyo vijamaa vyenu vitalamba mchanga kwa kutumia vijambio
Au umesahau Hamza alichowatendea
Huyu jaji anaonekana mselamsela sanaHuyo wakili wa serikali Chavula inaonesha anajua sana kukazwa.
Wenzake wote wamesikia neno "mikazo".
Lakini yeye anaulizwa na jaji, umesikiaje? anajibu nimekazwa.
Jaji anamwambia ukirudia tena nitakutafsiri vibaya.