Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA - Iringa

Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA - Iringa

Kipimo sio wingi wa watu bali ni kwenye sanduku la kura, hii kule kwetubinaitwa chenga twawala lakini goli watufunga
 
Uweza kuzuia nvua mkuu? ngoja nikua pm number mwema umuulize
 
Anayesingizia Chadema ni chama cha kidini na kikabila huku akijua ni Uongo tumuite jina gani zaidi ya Lucifer Ibilisi mkuu?

Wao na Ibilisi wao Chadema na Mungu wake.
Unabisha nn wakati watu wana akili zao wana macho na wana maskio...kwenye uchaguzi mkuu2010 slaa alipandikiza udini rasmi na hajaacha.
 
Mkuu yanayoengelewa mbona hayana msaada kwetu sisi wananchi hizo ni porojo kama wanazofanya bungeni
 
Nimeboresha siku yangu kwa kuupitia uzi huu!! Kumbe ni wananchi wengi wamedharau propaganda za ugaidi zinazoenezwa na ccm kama nilivyozidharau mimi.
 
Makamanda leo wako Iringa wakimwaga Sumu.

Siyo SUMU please WANAELIMISHA UMMA yapasayo kutenda

hiyo ni lugha ya mjini. Wewe kama wa kijijini hutaelewa. ni sawa na kusema leo chadema WAMEKINUKISHA MBAYA au kusema CCM WAMESANDA. Hiyo sumu wanayo tema ni yakuwaangamiza ccm. mia
 
attachment.php

Hizi sura zote zilizofurika hapa ni sura makini, zilizojaa matumaini na zinazoona pale ambapo Taifa linaelekea kuwepo siku zio nyingi zijazo! Hii ndiyo sura na dira halisi iliyowekwa dhahiri na CDM, na kila mwananchi ameshafikia upeo bora wa kuelewa na ndio maana MAGAMBA wanahaha ili kujitahidi kuondoa mwelekeo huo...bali walishashindwa kabla ya kupiga hata hatua 1!

Hakuna utawala unaoweza kuvunja tena nguvu hii ya Umma huu unaotaza kwa umakini na ujasiri mkubwa na matumaini ya Taifa mpya!! Hata kama utawala huo utatumia nguvu, silaha, ufidhuli au mamluki wa aina yoyote...watashindwa!
 
Dkt. Slaa yuko jukwaani right now. Anasema wabunge wake hawatatafuna maneno inapofika suala kuiwajibisha na kuiagiza serikali kwa ajili ya maslahi ya Watanzania.

Serikalii hii ni impotent kuanzia yule wa juu hadi walioko chini. Ameagiza; wabunge wa CHADEMA wakaze mwendo kuwa more focused na wakali zaidi kuliko sasa, kama kiti kinaendelea na tabia ya kuminya haki.

Dkt. Slaa yuko jukwaani right now. Anasema wabunge wake hawatatafuna maneno inapofika suala kuiwajibisha na kuiagiza serikali kwa ajili ya maslahi ya Watanzania.


Serikalii hii ni impotent kuanzia yule wa juu hadi walioko chini. Ameagiza; wabunge wa CHADEMA wakaze mwendo kuwa more focused na wakali zaidi kuliko sasa, kama kiti kinaendelea na tabia ya kuminya haki. Ameagiza kuanzia sasa hotuba zote za Kambi ya Upinzani Bungeni zitolewe nakala na kugawiwa hadi ngazi ya kata ya chama, kupeleka taarifa na maarifa kwa wananchi, Watanzania kila mahali nchi nzima.


Wananchi hapa wanafurahia kweli kweli kila Dkt.Slaa anapoeleza na kufafanua namna serikaliilivyo impotent...kwa mifano hai ya local politics hadi national politics.


Mkuu fanya proof reading haraka kuna spelling error sehemu kabla hawajaanza kukutukana zile akili ndogo. Hapo kwenye important nadhani ulimaanisha impotent.
 
Wamekazania kuongelea katiba mpya mbona siyo kazi yao ni kazi ya tume ya mabadiliko ya katiba hawa jamaa wanamatatizo walishindwa bungeni wataweza uwanjani.
 
Kujaa sio kigezo hata kenye promotion za kondon na pombe watu wanajaa,hata Mrema watu walikuwa wanajaa sana.
Mrema alikuwa anajaza zaidi ya hapa.
Anyway, suala sio mikutano ya hadhara kila siku na kupiga mayowe majukwaani, suala ni utendaji.
Tusubiri tuone tofauti kati ya maji na mafuta soon.....
 
Back
Top Bottom