Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA - Iringa

Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA - Iringa

watanzania ni waelewa sasa,wanajua haki zao,wajibu na stahiki zao,masuala ya propaganda za CCM wameyachoka,xafi xana makamanda wa CHADEMA.RESPECT TO YOU!!!!!
 
Madawati ndo uwezo wao watuachie nchi tuifikishe kwenye hadhi ya mpakato kwa kila mtoto wa chekechea tumpige gap na Kenyatta
 
Mnyika anasema fedha za DECI zirudishwe. Wabunge wanazuiwa kujadili suala la Deci eti liko mahakamani, mbona Magufuli aliamua kuongelea suala la samaki wake kwani aliwagawa hao samaki wakati kesi ikiendelea.
 
Mnyika anasema fedha za DECI zirudishwe. Wabunge wanazuiwa kujadili suala la Deci eti liko mahakamani, mbona Magufuli aliamua kuongelea suala la samaki wake kwani aliwagawa hao samaki wakati kesi ikiendelea.

kama kesi ipo Mahakamani Mwendelezo wake mbona Hatuhusikii... Great Facts. Viva CHADEMA.
 
Mnyika anaendelea kuongelea hoja ya katiba kwa kumshukuru Kinana kuendelea kueneza falsafa ya nguvu ya uma japo alipotosho. Asili ya nguvu ya umma sio kwenye sanduku la kura ila ni Mwenyezi Mungu. Anaishukuru CCM kwa kueneza sera za CDM kwa sasa.
 
Wacha wapayuke tu 2015 ndo watajua kama CCM ndio vidume
 
Mnyika anatuma salamu kwa Kamhanda kuwa alisababisha mauaji ya Mwangosi. Anasema kitendo hiki hakivumiliki na hawataliacha suala hili bila ha2a kuchukuliwa

Umenisononesha kwa hili.... Mtuhumiwa wa kesi hii yaani bado anakula BATA URAIANI.
 
Mnyika akiwa jukwaani tayari...
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1366722934.178117.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1366722934.178117.jpg
    126.3 KB · Views: 666
Mnyika anasema fedha za DECI zirudishwe. Wabunge wanazuiwa kujadili suala la Deci eti liko mahakamani, mbona Magufuli aliamua kuongelea suala la samaki wake kwani aliwagawa hao samaki wakati kesi ikiendelea.

Mnyika anatuma salamu kwa Kamhanda kuwa alisababisha mauaji ya Mwangosi. Anasema kitendo hiki hakivumiliki na hawataliacha suala hili bila ha2a kuchukuliwa

Mkuu Ben Saanane, daima huwa sijutii kukesha na kulinda kura za JJ,
Go on JJ
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom