KirilOriginal
JF-Expert Member
- Feb 13, 2012
- 2,161
- 1,147
hiyo ni lugha ya mjini. Wewe kama wa kijijini hutaelewa. ni sawa na kusema leo chadema WAMEKINUKISHA MBAYA au kusema CCM WAMESANDA. Hiyo sumu wanayo tema ni yakuwaangamiza ccm. mia
FIGGA naisoma sana hiyo lugha ila masagamba/maccm/mashetani/mangoromiko yasiachiwe upenyo wa kuwarudia wananchi na kuwaambia tumewalisha sumu.
Sisi tunawaelimisha na kuwapa ujasiri wa kudai kilicho haki yao.