CT SCan Mchina
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 1,311
- 289
safi Makamanda.
DR Slaa sio rais wa maskini bhana. Umeshasahau anavyokamua ruzuku ya chama kama opportunity cost ya kukosa ubunge?
Ha ha ha! Dont panic please.
Magamba tumbo joto
View attachment 91133
Chadema wana Mungu wao wana Ibilisi.
polesana bocho mmeshamaliza mgogoro wenu na nape.............leo mtajibeba amewapa buku saba ya kula usiku???? Poleni sana
tukichukua nchi 2015 nyinyi mnaosababisha watz wazidi kuwa maskini tutawapiga risasi hadharani ili liwe fundisho kwa wengine kama wewe na maruhani yenu ya ndimi saba..
Usimjaribu mungu, akiamua kutenda anatenda tu... Naskia hapo iringa, ni kata ya mkoa wa kilimanjaro, umemuona john komba hapo, umemuona mzee wa ndomo (diamond), umemuona lina hapo, au umeona malori hapo na kofia.., take care, mabadiliko huwezi kuyazuia kwa buku sanba yako mkuuu.... Peolpleeeeeeeeeee
Leo mtajampa mapovu maana buku 7 nepi kaondoka nazo....mlidhani Allah atatuacha mtuuwe na monsanto wenu...
Chadema wana Mungu wao wana Ibilisi.