Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA - Iringa

Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA - Iringa

Weka tutigite! By peeeeoooopleeeeees:..........wenye wivu malizieni basi
 
Ndio kamanda Mohamed Mtoi Mbunge mtarajiwa wa Jimbo la Lushoto Tanga kaka ahsante sana kwa kutupia picha za nyomi hili Lol kamanda Chadema ni mwisho wa matatizo yaani watu wote hawa walikuja mkutanoni wenyewe wenyewe bila ya kusombwa na Mafusso kama wafanyavyo Maccm hivi kweli Magamba hawaoni hata picha kama wameshindwa kusoma alama za nyakati,yule Mzee mkimbizi wa zamani Abdarahaman Kinana hana hoja kama vipi si aende kwao akagombea Urais maake kule ndio kutamfaa akawadanganye wale watu wake wanaoshi kwenye vichaka.
 
naamini siku zote mkamia maji hayanywi ndicho kitakachotokea wakati ukifika watanzania wanajua mbichi na mbivu.

takwimu zinaonesha kuwa shule mloasisi za kata pekee zitazalisha wapiga kura milioni 8 ifikapo mwaka 2015 na wote hao wana hasira na magamba,chungeni kizazi chetu hiki magamba HATUWATAKI hata mkileta fuko la fweza.
 
Kesho kwa madam supika............the kwa Nduai............harafu kwa Nchemba. Ladba watuombe msamaha haraka ili tubadili nia :israel::israel::israel::israel::israel::israel::israel::israel:
 
Naona yule mwenye magonjwa ya akili yupo...Ila kakaa kimya utafikiri kajiharishia...
Hahahaaaaaaa kakalia desktop la lumumba katisha kujamba maweeeeeee kaharisha hahahaaaaaa kaharisha rangi ya chama..chezea chadema wewe
 
Kesho kwa madam supika............the kwa Ndugai............harafu kwa Nchemba. Ladba watuombe msamaha haraka ili tubadili nia :israel::israel::israel::israel::israel::israel::israel::israel:
 
Kamilisha swali lako acha kuishia njiani unagopa nini uliza lote au katiba ya chama chako huijui,nasikia na mnyika yupo hivi na yeye alifukuzwa make huu ni mkutano wa wafungwa
unataka kutafuniwa kila kitu? Pia tuthibitishie kwamba huu ni mkutano wa wafungwa na si chadema!
 
Anayesingizia Chadema ni chama cha kidini na kikabila huku akijua ni Uongo tumuite jina gani zaidi ya Lucifer Ibilisi mkuu?

Wao na Ibilisi wao Chadema na Mungu wake.

Kwani anayesema CHADEMA kina dini si wewe? TZ is a secular state, sasa chama kinawezaje kuwa na mungu ilhali wafuasi wa chama hicho wanatoka kwenye itikadi nyingine zisizoamini uwepo wake?
 
Kwa nini cdm wasipeleke hoja binafsi bungeni waongezewe adhabu ili watalii majimbo yote ya uchaguzi.
 
Maandamano makubwa sana kuondoka Mwembetogwa, watu wanaimba 'rais rais rais rais...rais rais...'

Watu wana ari kubwa hasa baada ya maneno ya mwisho kwenye hotuba ya Dkt. Slaa
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1366731424.358481.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1366731424.358481.jpg
    78 KB · Views: 60
  • ImageUploadedByJamiiForums1366731454.708551.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1366731454.708551.jpg
    98.2 KB · Views: 61
Huu ni mkusanyiko wa Arusha si Iringa!hakuna Wahehe mabwege kwenda kusikiliza chama cha kigaidi na wakabila kama Chadema...jaman Wahehe hao ni kampuni wa Wachaga na watu wa Kaskazini!hapo kuna Kiwia,Mnyika na Slaa!wote Ka'zin
 
Kwani anayesema CHADEMA kina dini si wewe? TZ is a secular state, sasa chama kinawezaje kuwa na mungu ilhali wafuasi wa chama hicho wanatoka kwenye itikadi nyingine zisizoamini uwepo wake?

Hivi kuna DINI au IMANI au kabila lisilo amini kuwepo kwa MUNGU au miungu?
 
Huu ni mkusanyiko wa Arusha si Iringa!hakuna Wahehe mabwege kwenda kusikiliza chama cha kigaidi na wakabila kama Chadema...jaman Wahehe hao ni kampuni wa Wachaga na watu wa Kaskazini!hapo kuna Kiwia,Mnyika na Slaa!wote Ka'zin

Naona umejaribu kujitoa akili lakin nafsi inakusuta.
 
Kwani anayesema CHADEMA kina dini si wewe? TZ is a secular state, sasa chama kinawezaje kuwa na mungu ilhali wafuasi wa chama hicho wanatoka kwenye itikadi nyingine zisizoamini uwepo wake?
mkuu wewe ndo huamini mungu? Chama ni watu! Ina maana ccm inaamini mashetani?
 
Back
Top Bottom