Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA - Iringa

Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA - Iringa

Dkt. Slaa yuko jukwaani right now. Anasema wabunge wake hawatatafuna maneno inapofika suala kuiwajibisha na kuiagiza serikali kwa ajili ya maslahi ya Watanzania.

Serikalii hii ni impotent kuanzia yule wa juu hadi walioko chini. Ameagiza; wabunge wa CHADEMA wakaze mwendo kuwa more focused na wakali zaidi kuliko sasa, kama kiti kinaendelea na tabia ya kuminya haki.

Dkt. Slaa yuko jukwaani right now. Anasema wabunge wake hawatatafuna maneno inapofika suala kuiwajibisha na kuiagiza serikali kwa ajili ya maslahi ya Watanzania.


Serikalii hii ni impotent kuanzia yule wa juu hadi walioko chini. Ameagiza; wabunge wa CHADEMA wakaze mwendo kuwa more focused na wakali zaidi kuliko sasa, kama kiti kinaendelea na tabia ya kuminya haki. Ameagiza kuanzia sasa hotuba zote za Kambi ya Upinzani Bungeni zitolewe nakala na kugawiwa hadi ngazi ya kata ya chama, kupeleka taarifa na maarifa kwa wananchi, Watanzania kila mahali nchi nzima.


Wananchi hapa wanafurahia kweli kweli kila Dkt.Slaa anapoeleza na kufafanua namna serikaliilivyo impotent...kwa mifano hai ya local politics hadi national politics.
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1366728421.782224.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1366728421.782224.jpg
    139.5 KB · Views: 77
  • ImageUploadedByJamiiForums1366728448.983600.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1366728448.983600.jpg
    16.7 KB · Views: 67
Pipoooooooooz.,sisi tuna Mungu wao wana Ibilis,walifikir kuwatoa bungen wamewapunguzia hahahaaaaaaa shame upon them,wameamua ku-deal na chadema badala ya maendeleo we'll see.
Viva chadema
 
Hizo kelele zooooote na gharama wanazotumia, kwa mwigulu ni siku moja tu, anagonga kwny bull kwisha kazi
 
Kujaa sio kigezo hata kenye promotion za kondon na pombe watu wanajaa,hata Mrema watu walikuwa wanajaa sana.
 
Nachunguza hapa sijaona wanamuziki wa kizazi kipya na watoto kwa wingi sijawaona kabisa hapa .Hii inaonyesha jinsi Chadema wanavyo tenganisha kutumikisha watoto kama CCM .Hongereni sana kwa kukwepa kusombwa na mafuso na kuachwa njia panda baada ya mikutano .
 
Kujaa sio kigezo hata kenye promotion za kondon na pombe watu wanajaa,hata Mrema watu walikuwa wanajaa sana.
ukiaema hivyo unajidanganya mwenyewe, kwenyemkutano wachadema hatamuziki hakuna, hakuna entertainment na huko kwingine entertainment ni za lazima
 
Jimbo la Isimani William Lukuvi

Ameliongoza Jimbo la Isimaini kupitia Chama cha Mapinduzi kwa zaidi ya vipindi vitatu sasa, bado anakabiliwa na changamoto kubwa ya kuwaletea wananchi wake maendeleo.
Hali ya maisha ya wananchi wa Jimbo hilo, ambalo ndilo linaloongoza kwa ukame pamoja na njaa, ni duni mno kwani kilimo, ambacho ndicho pekee wanakitegemea kiuchumi, kimeishindwa kuwainua.

Lukuvi, ambaye ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Sera, Uratibu na Bunge), pamoja na kuwemo kwenye Baraza la Mawaziri kwa miaka mingi ameishindwa kuinua sekta ya elimu jimboni humo huku shule nyingi zikiwa katika hali mbaya.

Jimbo la Kilolo- Profesa Peter Msolla
Jimbo hilo linakabiliwa na changamoto nyingi hasa upande wa elimu na afya ya msingi

Jimbo la Kalenga- Dk. William Mgimwa

Waziri wa Fedha, anakabiliwa na changamoto nyingi katika Jimbo la Kalenga hususan suala la afya, maji na kilimo.
Vijiji kadhaa jimboni humo vinakabiliwa na matatizo ya ukosefu wa maji pamoja na uhaba wa pembejeo za kilimo hali ambayo inaendelea kudumaza maendeleo ya uchumi jimboni humo.


Jimbo la Mufindi Kaskazini-Mahmoud Hassan Mgimwa

Ana changamoto kubwa jimboni humo kutokana na kutotekeleza kwa kiasi kikubwa ahadi zake hasa katika sekta ya elimu na afya

Jimbo la Mufindi Kusini-Mendrad Lutengano Kigola

Miundombinu mibovu ya barabara ambayo inakwamisha maendeleo.
Aidha, wavunaji wadogo wa miti nao wameendelea kulalamika kuhusu upendelea unaofanywa na serikali katika ugawaji wa vitalu, jambo ambalo wamesema mbunge huyo anapaswa kulishughulikia kama alivyowaahidi.

Jimbo la Iringa Mjini-Rev.Mchungaji Peter Msigwa

Ameweza kutatua kero kadhaa hususan katika sekta ya afya vya thamani ya Sh. 50 milioni, vitanda vya kisasa 30 pamoja na magodoro yake pamoja na baiskeli 19 za walemavu (wheel chairs).
kila kitanda kiligharimu Sh. 1.5 milioni wakati thamani ya baiskeli moja ilikuwa Sh. 700,000 pamoja na vikabati vya kuhifadhiwa vifaa vya wagonjwa katika wodi. BRAVO REV. MSIGWA
 
Jukwaa la kibishi hakuna tamasha la ccm bendi,tunasubiria single ya magamba na diamond.,ccm chama cha mashetani
 
Miaka 52 CCM mmeshindwa hata kutatua tatizo la madawati? mbao na misumari? ..alafu mnataka CDM wasiwaseme? shameless!
 


Molemo sasa huelewi nini? Kwani aliyewaumba wao ni nani zaidi ya mungu yule yule mmoja?

1 Wafalme 8:60
Watu wote wa ulimwengu Wajue ya kuwa BWANA ndiye Mungu; hakuna mwingine.

Anayesingizia Chadema ni chama cha kidini na kikabila huku akijua ni Uongo tumuite jina gani zaidi ya Lucifer Ibilisi mkuu?

Wao na Ibilisi wao Chadema na Mungu wake.
 
Back
Top Bottom