Acha kumfanya ibilisi kuwa ndio mungu Molemo
1 Wafalme 8:60
Watu wote wa ulimwengu Wajue ya kuwa BWANA ndiye Mungu; hakuna mwingine.
Mimi ni BWANA; ndilo jina langu; na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitawapa sanamu sifa zangu. Isaya 42:8
Kwani wao ndiyo wewe??? Anayesingizia wengine ugaidi wakati siyo kweli tumpe jina gani zaidi ya Lucifer Ibilisi mkuu??
Chadema wana Mungu wao wana Ibilisi.