Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA - Iringa

Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA - Iringa

mkuu mtoi nisaidie hapo kwenye mkutano wapo wasanii gani? Naomba unijibu mkuu nipo mbali sana huku kanyamsenga sikonge tbr. Kama hawapo basi nitaamini msemo wa wahenga chema chajiuza na kibaya

sugu mwenyewe... Chadema si ccm kila kitu waige
 
Wawaeleze wananchi kwann wanapokea posho zinazotokana na kodi za wananchi halafu wanazitumia kufanya vurugu na kutaka kupigana bungeni
 
Watanzania wa leo hawadanganyiki kuntu....hizi picha zimechukuliwa archives aka makumbusho ili kuwahadaa watu
 
2015 MUNGU WETU ATUPE UHAI!! NITASHANGILIA SANA KUONA ccm INAZIKWA! VIVA CDM!
 
Tena uwanja wa nyumbani? mbeba mabox Chris Lukosi naona anachanganyikiwa tu... presure inapanda, presure inashuka..
Mkuu niko hapa nafuatilia,
Unapopambana unatakiwa ujue mbinu za adui wako.
Wao kwa sasa wanapambana na kivuli hawajui nina mipango gani ndio maana wamefurika wote huko
 
Leo mtajampa mapovu maana buku 7 nepi kaondoka nazo....mlidhani Allah atatuacha mtuuwe na monsanto wenu...

Kipindi cha nyuma ilikuwaga buku Tano kumbe siku hizi ni buku Saba...

Hivi unawezaje jiandikisha kupata hizo shekeli(Nataka utaratibu) ...Maana nataka kuwa na ID mpya kwa ajili ya kuzikwapua hizo njuru...

Si unajua kula na kunywa ccm Kulala CDM...
 
Makamanda leo wako Iringa wakimwaga Sumu. Picha kwa hisani ya MH: Msigwa facebook.

Wamekuja kwa usafiri wao bila vitisho wala hongo, hii sawa na kuitii CHADEMA bila shuluti.
 
WAPI LUKOSI, A.K.A CHILISOSI AKA MZEE WA MAJUNGU, AA MZEE WA MAGONJWA SUGU, AKA MZEE WA MARUAHNI KAMA JK


LEO WOTE WAKO PHARMACY WANATAFUTA DAWA ZA KUHARA,

ZOMBA, MSALIMIE BUNGENI NA RITZ. wapi REJAO......

HAHAH NAONA WAKO LUMUMBA WANAPANGA MASHAMBULIZI, YAANI HATA KABLA HAWAJAANZA KUSOMA AJENDA TAYARI ZIMESHA SOMWA NA CDMView attachment 91128

ANGALIA AKILI ZAOView attachment 91130

Lukosi yupo anatibiwa yale magonjwa Dr. Paurine aliyo m-diagnose......Ulikuwa hujui..
 
kuwafukuza wabunge sita wa chadema ni sawa na kumpiga teke chura.
 
Back
Top Bottom