Kuweka rehani ni sawa tu bora pesa inalipwa. Kuweka rehani ni kuwa unalipwa pesa in advance halafu wao ndiyo wanajijua cha kufanya mbele. Uganda wamekalia mafuta yao kwa miaka 14 wakipigania wasidhulumiwe sasa leo wanakubali wakati hata bei ya mafuta ishaanguka. Faida wailipoteza hiyo miaka 14 leo wangekuwa wapi .... Kupanga ni kuchagua.Ni CCM ndio ilimtengeneza Magufuli na pia Magufuli hailaumu CCM may be mtu mmoja mmoja lakini sio Chama. CCM hainaga sera yeyote kandamizi au inayoelekea kuharibu maliasili za taifa Kama Chadema wanvyosema kwenye ilani yao kuweka rehani madini yetu na kuchungia kwenye hifadhi zetu
Hoja hiyo ni HOJA au KIOJA maana zaidi ya 90% ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii umiliki wake ni watu binafsi vikiendeshwa kibiashara. Ili upate "coverage" lazima ulipie. Je, hao wamelipia wakakataliwa?Mi nachoweza kumwambia JPM ni kwamba anapozidi kuwafanyia figisu wapinzani ili yeye apewe coverage peke yake hapo ndipo anapozidi kujipunguzia kura. Hiwezi kuhubiri usawa na amani jukwaani wakati watu wanaona kabisa unadanganya!
Just muongo balaa et anawadanganya alichaguliwa uenyekiti wa SADC kwa kua ana mahusiano mazuri wakati uenyekiti huo ni wa kupokezana hata Kama hupendwi lazma upewe
Unadhani Kampeni zitaishia Kanda ya Ziwa pekee, tunaenda kwa utaratibu..Mbona abadilishi Kanda amengangania Kanda ya ziwa tu
Hakuwa mgombea Urais.Mbona 2015 hakuongelea mashamba, au kwakua mmoja wa hao aliunga mkono M4C
Acha kuposha wewe,Mbali na kupokezana lazima wajiridhishe na utendaji kazi,Uwajibikaji na mahusiano na mataifa Mengine.
Sasa unachokisema sijui umekitolea wap ndugu yangu?
Tume inasemaje mbona huko mmekaa mda mrefu,Kanda zingine linUnadhani Kampeni zitaishia Kanda ya Ziwa pekee, tunaenda kwa utaratibu..
Mabadiliko yana maumivu yake ile ukiwa unajua faida ya mbeleni utayavumilia. Magufuli amewafikia watanzania wengi tena maskini na bado tunamuhitaji mnooMagufuli tunamhitaji sana zaidi ya mwanzoView attachment 1569479
Tafuta Ratiba ya kampeni za wagombea Urais kwenye mtandao wa NEC. Usiwe mvivu na kuanza kulaumu. Mazoea mabayaTume inasemaje mbona huko mmekaa mda mrefu,Kanda zingine lin
Ratiba imepitishwa na tume, leo tunaanza Kagera siku mbili, ccm ni ya watanzania lazima watanzania waongee na rais wao, mwendo ni mdundo.Lissu yeye kihoro cha kutaka aonekane kila mahali lakini output ni zero. Hana cha kupoteza, lakini Magu lazima apite kila wilaya kutoa shukrani na pia kusherekea mafanikio na wananchi.Tafuta Ratiba ya kampeni za wagombea Urais kwenye mtandao wa NEC. Usiwe mvivu na kuanza kulaumu. Mazoea mabaya
Huyu bwana ata huko alikozaliwa hawamtaki, hawataki hata kumsikia, acheni propaganda uchwara.
😂😂😂😂Hali ilivyo uchaguzi huuView attachment 1569388
MKUTANO WA MGOMBEA URAIS JOHN POMBE MAGUFULI KUTOKEA CHATO, GEITA UKO LIVE
Tumia hizi Links Chini Kufuatilia Kila kitu kutokea Chato, Geita
===
MAGUFULI: MZEE MKAPA NDIYE ALIYENIOKOTA HUKO ‘JALALANI’
Mgombea Urais kupitia CCM, Dkt. Magufuli amesema akimfikiria Hayati Rais Mkapa huwa anaumia kwenye nafsi yake
Amesema Rais Mkapa ndiye aliyemuokota ‘Jalalani’ amesema hayo kwa kuwa kuna watu wanadai siku hizi mtu akipata kazi anasemwa amokotwa jalalani na Magufuli
Dkt Magufuli amesema hayo alipokuwa kwenye mkutano wa Kampeni uliofanyika Chato mkoani Geita. Aidha amewataka wananchi kuendelea kumuamini
Katika Kampeni hizo Magufuli amesema walisimama imara kukomesha uhalifu, kama maeneo ya Kibiti na Biharamulo. Amewapongeza sana vyombo vya ulinzi na usalama
Hekta elfu 60 ni sawa na mikoa mitatu, inawezekana mtu mmoja akamiliki?Naiomba Serikali itolee ufafanuzi hii kauli, ili kuondoa sintofahamu kwa wananchi,hususani wafanyakazi
Serikali imekopa mifuko ya hifadhi za jamii PSSSF na NSSF na haijaweza kurudisha. MBAYA zaidi, mwaka huu kuanzia April hivi, Mifuko imeshindwa kulipa mafao. Jana Mh. Lisu akasema kuwa CCM imechukua pesa Za KAMPENI huko kwenye mifuko ya PSSSF na NSSF. Je wafanyakazi mnalipwa mafao yenu ya uzee na fao la kukosa ajira kwa wakati?
Mimi sijui, kamuulizeni aliyesema ..ni Mh. Lisu. Sikilizeni clip za Mwananchi Youtube.
Na akiwa Morogoro, akasema Vigogo wa CCM wamepora mashamba makubwa mvomero, Morogoro. Mkapa elfu 60, Familia ya Mwinyi elfu 60, Sumaye 2000 etc. Sehemu mbali mbali za nchi na zile ranch. Wananchi wanakosa maeneo ya kulima na kulishia mifugo...
Ni Mh. Lisu alisema...Youtube.
Sasa hizi ndio hoja za kujibu kwa Serikali..na Sio kusema kuna mtu anatukanwa..