Diwani wake chama gani tuanze na hapoWe jidanganye tu
Diwani wake chama gani tuanze na hapoWe jidanganye tu
Jiwe hafai hata kuwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa, mana watatekwa watu si mchezo
Kama hawamtaki tusubiri mapokezi ya nyomi ya Lissu, mgombea Urais, anayeota kuwa Rais kwa kumdharilisha huyo asiyependwa na watu wa jimbo lake.Huyu bwana ata huko alikozaliwa hawamtaki, hawataki hata kumsikia, acheni propaganda uchwara.
Chadema muache kutekana halafu mnasingizia serikali. Yaani mnatakiwa mchunguzwe kabisa nyie ni mashetani na wauaji wakubwa ChademaJiwe hafai hata kuwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa, mana watatekwa watu si mchezo
Chaguo Bora kwa watanzaniaAnawafokea watu wa Chato
Huyu ndie kipenzi cha watanzaniaKama hawamtaki tusubiri mapokezi ya nyomi ya Lissu, mgombea Urais, anayeota kuwa Rais kwa kumdharilisha huyo asiyependwa na watu wa jimbo lake.
Na ndio rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, Saitakuaje?Jiwe hafai hata kuwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa, mana watatekwa watu si mchezo
Chato imesimamaChato nzima wenye uwezo wa kumudu kupanda ndege awafiki hata 5 je ipi kwao tija kuwa na uwanja wa ndege utumikao maramoja kwa mwaka
Magufuli tunamhitaji sana zaidi ya mwanzoNa ndio rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, Saitakuaje?
Ati anajipunguzia kura hebu angalia matukio ya picha yanayoendelea kwenye mikutano yake ndio ujue kuwa Magufuli ni level nyingine. Lissu ni level yangu huyo kwanza sera zenyewe hana mpaka waberigiji wamemsaidia kumwandaliMi nachoweza kumwambia JPM ni kwamba anapozidi kuwafanyia figisu wapinzani ili yeye apewe coverage peke yake hapo ndipo anapozidi kujipunguzia kura. Hiwezi kuhubiri usawa na amani jukwaani wakati watu wanaona kabisa unadanganya!
Ni CCM ndio ilimtengeneza Magufuli na pia Magufuli hailaumu CCM may be mtu mmoja mmoja lakini sio Chama. CCM hainaga sera yeyote kandamizi au inayoelekea kuharibu maliasili za taifa Kama Chadema wanvyosema kwenye ilani yao kuweka rehani madini yetu na kuchungia kwenye hifadhi zetuNinachoshangaa kampeni za Magufuli .... mara anailaumu CCM kwa jinsi gani wakati anaingia hakukuwa na hiki wala kile. Au kuonyesha kuwa kulikuwa na mambo mabaya yanaendelea. Halafu at th same time anasema mafanikio aliyoyapata ni mipango mizuri ya CCM ... sasa kabla yake CCM walikuwa wapi? Kama anataka kujitenga na CCM afanye hivyo tu ... Wananchi watamuelewa!!
Mbona wote wamevaa kijaniChato imesimamaView attachment 1569477
Public speaking zeroKwa nini Magufuli madala ya kupiga kampeni Chato ameonekana kama vile anawafokea ....!? Kaongea kimamlaka zaidi kama Rais badala ya kuongea kama muomba kura na mgombea Urais ..... Naona anawachukulia watu wake for granted!!
Mbunge wa eneo hili ni Joseph musukuma Hana la ziada kazi yake ni kusema yeye ni STD 7.kura eneo hili zitapelekwa upande wa pili bila aibu. Hakuna maji hakuna umeme kwani musukuma akichaguliwa Jana kuwa mbunge ?Wabunge wa CCM wakishafika Bungeni watalishughulikia