Dah!...siasa hizi.Hio picha ipo mtandaoni kwa muda mrefu mkuu... labda kama ulikua hujaiona, ma CCM yanataka ku paint a picture kuwa Lissu hana lolote kwenye kampeni zake zaidi ya kuongelea majeraha yake, ni trick tu hio mkuu watu wahamishe upepo....je umemuona mwenyewe LIssu akitembea na hio picha kuwaonyesha majeraha watu kwenye kampeni zake.??.. sijui kwa nini hayo MaCCM hayako sympathetic, especially knowing aliyetenda yote ni mwanachama wao
LEO NIMEKUELEWASidhani kama hii itakuwa sahihi kwani itaonekana ni kutafuta huruma jambo ambalo sio zuri.
Picha kama hii wakati wa kampeni sio sahihi sana, na uzuri ni kuwa,kila mtu sasa anaelewa yaliyomkuta Lissu na hata tembea yake ya leo inatosha kuwakumbusha watu aliyopitia, hivyo hakuna haja sana ya kutumia picha hizi kipindi hiki cha kampeni.
Unaweza kufa wewe kabla yake! Mungu ni wa ajabu sana!Bora hata angekufa wakala wa accacia kwa kupitia miga
Watanzania siyo walemavu ni watu wa kazi.Pamoja na mambo mengine, sisi Watanzania tunataka kusikia ni kwa jinsi gani Ndg Tundu lisu atatutoa hapa tulipo kutupeleka mbele zaidi hasa kiuchumi.
Tunataka wagombea wetu waeleze kinaga ubaga ni kwa jinsi gani wataweza kuifikisha nchi yetu kwenye peek ya uchumi wa kati na jumuishi wa pato la kila mtanzania kufikia wastani wa dola 3000 hapo kufikia mwaka 2025,huku uchumi huo ukichagizwa na maendeleo ya viwanda.
Binafsi picha hizi hazisaidii, watu hawapigi kura kwa huruma bali kwa yule atakayewaletea maendeleo.
Pamoja na mambo mengine, sisi Watanzania tunataka kusikia ni kwa jinsi gani Ndg Tundu lisu atatutoa hapa tulipo kutupeleka mbele zaidi hasa kiuchumi.
Tunataka wagombea wetu waeleze kinaga ubaga ni kwa jinsi gani wataweza kuifikisha nchi yetu kwenye peek ya uchumi wa kati na jumuishi wa pato la kila mtanzania kufikia wastani wa dola 3000 hapo kufikia mwaka 2025,huku uchumi huo ukichagizwa na maendeleo ya viwanda.
Binafsi picha hizi hazisaidii, watu hawapigi kura kwa huruma bali kwa yule atakayewaletea maendeleo.
Muhusika ameruhusu zitumike namna hiiHakika mkono Mungu umeonekana.. Na Mungu Anakusudio kubwa sana na kiumbe wake huyu kwa watanzania.
- Sambaza picha kadiri uwezavyo kwenye mitandao ya kijamii kushuhudia ukuu wa Mola.View attachment 1530346
Huwezi jua labda kairuhusu yeye itolewe. Maana anajijua mwenyewe anavyowaza na kuwafikiria watanzania.Hi picha ifutwe, inakiuka maadili ya kitabibu, tunza Siri za mgonjwa/client, niukiukwaji wa human rights, mods, iondoeni haina mlengo mzuri Kama tunavyodhani, uzi ufute
Mmmmh... Demi hujafa hujaumbika rafiki....tukianza kuzungumzia afya za watu hapa kimwili na kiakili.....!!!naomba tuhifadhi manenoMnazidi kumdhalilisha mgombea wenu. Dunia nzima inaifahamu hii picha, mnaitumia kupata huruma...hatudanganyikiii. Mungu atamtia nguvu na kumponya majeraha yake.
** Amiri jeshi mkuu anapaswa kuwa physically and mentally fit. Hana sifa hizo... ubunge ungemtosha.
Kumbe na wewe demi kichwani kweupee hivi??? Sasa jf Great thinkers kabaki mshana au[emoji23]Mnazidi kumdhalilisha mgombea wenu. Dunia nzima inaifahamu hii picha, mnaitumia kupata huruma...hatudanganyikiii. Mungu atamtia nguvu na kumponya majeraha yake.
** Amiri jeshi mkuu anapaswa kuwa physically and mentally fit. Hana sifa hizo... ubunge ungemtosha.
Hujafa hujaumbika kuwa na akiba ya maneno.Mnazidi kumdhalilisha mgombea wenu. Dunia nzima inaifahamu hii picha, mnaitumia kupata huruma...hatudanganyikiii. Mungu atamtia nguvu na kumponya majeraha yake.
** Amiri jeshi mkuu anapaswa kuwa physically and mentally fit. Hana sifa hizo... ubunge ungemtosha.
Kuna taarifa kuwa katika tukio la shambulizi dhidi ya mwanasiasa makini na mkosoaji sana wa Serikali, Ndugu Tundu Lissu risasi nyingi zilimpata miguuni.
Sasa katika picha zinazozunguka mitandaoni nimezipitia kwa ukaribu sioni makovu/kovu lolote la risasi.
View attachment 665763
Hii imekaaje?
Haya hapaKuna taarifa kuwa katika tukio la shambulizi dhidi ya mwanasiasa makini na mkosoaji sana wa Serikali, Ndugu Tundu Lissu risasi nyingi zilimpata miguuni.
Sasa katika picha zinazozunguka mitandaoni nimezipitia kwa ukaribu sioni makovu/kovu lolote la risasi.
View attachment 665763
Hii imekaaje?
Haya si madogo shehemakovu ya risasi ni madogo sana ndugu na unaweza usiyaone kabisa
Wewe kweli ni shetwain, makovu yatakusaidia nini?Kuna taarifa kuwa katika tukio la shambulizi dhidi ya mwanasiasa makini na mkosoaji sana wa Serikali, Ndugu Tundu Lissu risasi nyingi zilimpata miguuni.
Sasa katika picha zinazozunguka mitandaoni nimezipitia kwa ukaribu sioni makovu/kovu lolote la risasi.
View attachment 665763
Hii imekaaje?
Na ndio mguu anaochechemeakwa maekezo yake ni kwamba eneo alilo pigwa sana ni kutoka kwenye nyonga hadi kwenye goti .
ingawa inaoneha una huzuni sana kuona lisu yu hai lakin uzuri maisha ya mwanadam ni marefu sana katika mauti kuliko uzima.hivyo tujifunze kuweka hazina ya mema katika uhai wetu.
WanasikitishaTOMASO.