Yahusu wafufuao wafu na misukule

Yahusu wafufuao wafu na misukule

Halafu Kwa Nin Uombewe Wakat Wew Mwenyew Unauwezo Wa Kufanya Hivyo,
Mi Nakuambia Ndio Mana Siku Hizi Watu Wengi Kila Akifanya Ibada Mungu Hajibu Kwa Sababu Tuu Kuna Hulka Iliyojaa Uongo Ya Kuombewa Vichwan Mwa Watu.
 
Kuna uzi alitoa mtumishi Ishmael hapa jf akishauri kwa mods mada zozote zinazohusu watu wa imani hiyo ya manabii zisiwekwe kwenye jukwaa la dini kwa sababu ya mambo kama haya. Sasa jopo la wataalam mbalimbali kama maalim Billcosby faby na wengine tulishauri mada zao zipelekwe jukwaa la ujasiriamali.
 
Last edited by a moderator:
Mbona sikunyingi tu watu wanapigwa? Enzi hizo kakobe ndio alikuwa habari ya mujini.Aliwaambia waumini wakalete mikufu,dhahabu,almasi na vingine vya thamani ili wagawiwe maskini! Mh! Akawa tajiri yeye mwenyewe. Akatangaza watu wauze Mali zao na kuwapa maskini kwa vile mwaka2000 ndio mwisho wa dunia. Yaani ni vituuuko. Acheni waliwao waendelee kuliwa kwa vile akili wanazo ila kuzitumia hawataki. sikuhizi mtu akiona maisha ni magumu na hana kazi anakuwa Mchungaji utawaona mitaani na maspika au kwenye mabasi. Yaani ni balaa tupu.Kwa wale wasioamini hebu tafuteni movie ya Kanumba devils kingdom huwenda mkajifunza kitu. Makanisani Siku hizi niusanii mtupu.

Acha kuongopa kakobe hajawahi kufanya hivyo
 
Good morning all.....sasa before we proceed naomba msome habari ya Nabii wa Uongo alieitwa Simon the Sorcerer; kwa Umakini kabisa someni Matendo ya Mitume 8 : 9- 25 kwa Biblia za kiingereza Act of Apostles 8:9-25 . Hawa watu wapo tangu enzi za kina Mtume Paulo na ndio maana tunaambiowa tujifunze kuzijaribu Roho "Wapenzi wangu, msimsadiki kila mtu asemaye kwamba ana Roho wa Mungu, bali chunguzeni kwa makini kama huyo mtu anaongozwa na Roho wa Mungu au la, Maana manabii wengi wa uongo wamezuka ulimwenguni (1 Yohana 4: 1). Good day...nitarudi jioni kama bado mtakua na hoja za kueleweka!!!
 
Good morning all.....sasa before we proceed naomba msome habari ya Nabii wa Uongo alieitwa Simon the Sorcerer; kwa Umakini kabisa someni Matendo ya Mitume 8 : 9- 25 kwa Biblia za kiingereza Act of Apostles 8:9-25 . Hawa watu wapo tangu enzi za kina Mtume Paulo na ndio maana tunaambiowa tujifunze kuzijaribu Roho "Wapenzi wangu, msimsadiki kila mtu asemaye kwamba ana Roho wa Mungu, bali chunguzeni kwa makini kama huyo mtu anaongozwa na Roho wa Mungu au la, Maana manabii wengi wa uongo wamezuka ulimwenguni (1 Yohana 4: 1). Good day...nitarudi jioni kama bado mtakua na hoja za kueleweka!!!

Shida ni kwamba sijui watu wana nini badala ya kujikita kwenye hili wamegeukia mambo mengine kabisa kwa sababu wanaozijua wao
 
Umenikumbusha mchungaji mmoja mwaka 2010 alikuja kwa mzee Wangu apate dawa za mvuto na kuwa na nguvu ktk kanisa lake tena alikuja na wanasiasa 2 ni maalufu sana hapa mjini basi mzee wangu akawambia kazi zao zote zinafanyika usiku maeneo ya makabulini kunduchi ilipofika usiku wa saa sita tukaenda wote nikiwemo na Mimi mwenyewe..

Basi kufika makaburini ikanyunyizwa dawa kwenye makaburi 2 ya dini yake yakasemwa maneno flani pale ya lugha maalum. Mara yakafunguka ukatoka moto mkubwa sana ukiambatana na radi nusra jamaa wakimbie, basi tukaona watu wanatoka mle na kuuliza kwa lugha ileile aliyoongea mzee wangu, akawatajia Shida za wale jamaa wote watatu wakaambiwa wavue nguo pale pale wasogee, basi wakafanya kama walivyoelekezwa na wale watu wakaanza na yule mchungaji kwa nguvu alizokuwa anataka akapewa ila kwa makubaliano maalumu, na wale wengine ambao mmoja ni mbunge maarufu wa upinzani na mwingine sasa ni waziri wakafanyiwa vile walivyoomba, kazi ikawa imekwisha.

Mchungaji ana kanisa bagamoyo road linajaza huwa nawaonea huluma waumini mana wanaabudu wasichokijua na nikikutana nae nikumtania mana najua nguvu sio ya mungu yeye huniambia namshukulu malehemu mzee wako nisingekuwa tajiri kama sio yeye

unataka kutuambia mizimu ya kutengeneza ya babako imewapasua malinda huyo mchungaji na hao wanasiasa...?
 
Umenikumbusha mchungaji mmoja mwaka 2010 alikuja kwa mzee Wangu apate dawa za mvuto na kuwa na nguvu ktk kanisa lake tena alikuja na wanasiasa 2 ni maalufu sana hapa mjini basi mzee wangu akawambia kazi zao zote zinafanyika usiku maeneo ya makabulini kunduchi ilipofika usiku wa saa sita tukaenda wote nikiwemo na Mimi mwenyewe..

Basi kufika makaburini ikanyunyizwa dawa kwenye makaburi 2 ya dini yake yakasemwa maneno flani pale ya lugha maalum. Mara yakafunguka ukatoka moto mkubwa sana ukiambatana na radi nusra jamaa wakimbie, basi tukaona watu wanatoka mle na kuuliza kwa lugha ileile aliyoongea mzee wangu, akawatajia Shida za wale jamaa wote watatu wakaambiwa wavue nguo pale pale wasogee, basi wakafanya kama walivyoelekezwa na wale watu wakaanza na yule mchungaji kwa nguvu alizokuwa anataka akapewa ila kwa makubaliano maalumu, na wale wengine ambao mmoja ni mbunge maarufu wa upinzani na mwingine sasa ni waziri wakafanyiwa vile walivyoomba, kazi ikawa imekwisha.

Mchungaji ana kanisa bagamoyo road linajaza huwa nawaonea huluma waumini mana wanaabudu wasichokijua na nikikutana nae nikumtania mana najua nguvu sio ya mungu yeye huniambia namshukulu malehemu mzee wako nisingekuwa tajiri kama sio yeye

Duh, hii kali kwakweli kama mambo ndio haya basi watu wengi wataangamia mikononi mwa hawa wachungaji, naomba MUNGU aje awaumbue siku moja kwani yeye ana nguvu kuliko chochote
 
Unajua ndani ya makanisa kuna vitu vingi vinafanyika watu huwa hawavijui ila nitawapa sili moja mana kila unayemwona anajiita nabii ana maagano ameyafanya mfano kuna mmoja alipewa shariti la waumini wake wavae nguo zenye rangi moja na wengine wanachale kwenye moyo ni mengi tu yanafanyika ikiwemo kuweka hilizi ya simba wanapokuawepo kama kuna mchungaji au mwanasiasa akiliona jina langu hapo juu atakuwa anajua mi ninaengoea ni nani au ni mtoto wa nani lakini ni ulaji wao na sie wenye hizo kazi ila hakuna nabii atakaye kwenda peponi hata mmoja kati ya mnaowaona

turashashe jr inaelekea unafahamu mengi kuhusu hawa manabii, hebu tusaidie kutuwekea hapa ili tuweze kuokoka nao usije kuta hata wengine humu tuna abudu kwao, tuwekee mkuu hata kwa kutu pm.
 
Wala hakuna kupasuliwa malinda pale ni utaratibu wa hiyo kazi na wengine mbona huingia kabulini kabisa na kisha kukaa humo kwa Massa mawili mfano kuna yule wa arusha alikaa mda Massa mawili na sasa waumini wa kutosha tu wanamafata
 
Ni ngumu sana kuwataja mana nitahalibu ulaji wao na Wang pia kinachotakiwa ni kujua kuna makanisa kwenye sehemu za milango kumewekwa mboo za maiti na kila muumini anayepita hapo lazima apitiwe pasipo kujua
 
Ni ngumu sana kuwataja mana nitahalibu ulaji wao na Wang pia kinachotakiwa ni kujua kuna makanisa kwenye sehemu za milango kumewekwa mboo za maiti na kila muumini anayepita hapo lazima apitiwe pasipo kujua

Hahahahaaaa loh hii kali wallah
 
Kwa hivyo weye wadhani kuwa kwa maneno yako hayo unategemea watu flan waje kwako weye kuwa uliachiwa kibuyu?? Pole sana, si hukumu ila huyo aliyewapa hiyo dawa naamini aliingia humo humo mwenye kaburi lenu na anaungua hadi kieleweke.
Unathubutu kuja humu jf na kujitapa ati ulienda kushuhudia Mchungaji wa Bwana akipewa uchawi. Weye na yeye unajua mwisho wenu ni wapi?? Lile ziwa liwakalo moto na kibiriti milele. Pole sana. Najua utasema nimekuhukumu ila hapana, Neno la Mungu ndo limekuhukumu. Umeshiriki kuwapoteza wengi.

Hapana mkuu, mi nafikiri hapa kweli unamuhukumu, maana ni afadhali amesema hili ili watu wajue kuwa kuna wachungaji wanaenda kutafuta nguvu za giza na wala mimi sioni kosa lake hapa ni nini? ungemweleza tu kwa upole kama unaona amekosea, sitetei uganga wala uchawi maana ni mbaya sana lakini kwa jinsi alivoeleza turashashe jr mi nafikiri imesaidia kuwafungua watu kuwa hata hao manabii na mitume wanatumia nguvu za giza na ametoa mfano live wa jinsi alivyoshihudia.
 
Wewe mtani wangu acha tu,
Wapo watu hata leo hii wanaamini kuwa wakienda
kwa gwajima mfu wao atafufuka.
Hata wasomi wazuri wa Biblia usishangae unapoambiwa
kuwa wakifiwa wanapeleka maiti huko ili ikafufuliwe,
cha ajabu ni kwamba wanarudi na mfu wao.

Hili la mapepo, hawa wahubiri huwa wanatumia mbinu moja
anapokuwekea mikono anakupush nyuma kiasi kama hauna
balance ni lazima utaanguka tu.

Na ndiyo maana akina mama wengi ndio wanaanguka
si hatuna nguvu sana.

Kwa wafu kufufuliwa nina mashaka kiasi Fulani japo Mungu anaweza tumia mtumishi wake kufufua. ila mapepo ni kweli kabisa tena ususani kwa wamama kwani kuna uadui mkubwa kati ya uzao wa mwanamke na shetani hivyo wanawake wengi hufungwa uzazi na mapepo ila wakiombewa uzaa
 
Ni ngumu sana kuwataja mana nitahalibu ulaji wao na Wang pia kinachotakiwa ni kujua kuna makanisa kwenye sehemu za milango kumewekwa mboo za maiti na kila muumini anayepita hapo lazima apitiwe pasipo kujua

Eeh MUNGU wa mbinguni tusaidie na utuepushe na haya makanisa. mkuu mi naomba uni pm tu kunieleza zaidi wala hata usipotaja majina ila maelezo tu, tafadhali mkuu.
 
Dah bora umenisaidia simakoku mana kuna mwingine kaja pm kunishambulia na kunitisha ila mi nachomwambia mi siogopi kufa mana nishapptea ndani ya mto mgandazi pale kasulu zaidi ya mwezi hivyo mtu Mjinga hawezi nitisha Maisha yangu kama anaona yeye ana nguvu za kushindana na mimi mwezi wa sita nitakuwa dar aje na mchungaji yeyote anayeona anamiujiza kwangu halafu tushindane ndio atajua watu wake wanatumia nguvu ya mungu au shetani na pili mi sina dhiki nimewasaidia watu wengi wanaendesha ma range unafikili mi nikoje
 
Last edited by a moderator:
Dah bora umenisaidia simakoku mana kuna mwingine kaja pm kunishambulia na kunitisha ila mi nachomwambia mi siogopi kufa mana nishapptea ndani ya mto mgandazi pale kasulu zaidi ya mwezi hivyo mtu Mjinga hawezi nitisha Maisha yangu kama anaona yeye ana nguvu za kushindana na mimi mwezi wa sita nitakuwa dar aje na mchungaji yeyote anayeona anamiujiza kwangu halafu tushindane ndio atajua watu wake wanatumia nguvu ya mungu au shetani na pili mi sina dhiki nimewasaidia watu wengi wanaendesha ma range unafikili mi nikoje

Hao wanaokushambulia watakuwa ndio haohao wanaojiita watumishi wa Mungu lakini kumbe wanatumia nguvu za giza, kama ingekuwa haijawagusa wangekaa kimya.
 
Hao wanaokushambulia watakuwa ndio haohao wanaojiita watumishi wa Mungu lakini kumbe wanatumia nguvu za giza, kama ingekuwa haijawagusa wangekaa kimya.

Ni kweli kabisa ukiona mtu povu linamtoka sana ujue kuna shida mahali au ana maslahi na hilo jambo
 
Back
Top Bottom