Yahusu wafufuao wafu na misukule

Yahusu wafufuao wafu na misukule

Wewe mtani wangu acha tu,
Wapo watu hata leo hii wanaamini kuwa wakienda
kwa gwajima mfu wao atafufuka.
Hata wasomi wazuri wa Biblia usishangae unapoambiwa
kuwa wakifiwa wanapeleka maiti huko ili ikafufuliwe,
cha ajabu ni kwamba wanarudi na mfu wao.

Hili la mapepo, hawa wahubiri huwa wanatumia mbinu moja
anapokuwekea mikono anakupush nyuma kiasi kama hauna
balance ni lazima utaanguka tu.

Na ndiyo maana akina mama wengi ndio wanaanguka
si hatuna nguvu sana.

Hilo la misukule naunga mkono ila la mapepo hata wewe ukiwa nayo nenda utaanguka bila kusukumwa.
 
Hahaha umejujaje...yani nasikitika wadada wengi marafiki zangu wameacha madhehebu yao yale ya zamani - Lutheran, Catholic, Anglican wanakimbilia kwa " mitume" wakaombewe wapate waume. Its funny ila inasikitisha. Juzi mmoja kaja oficini kachoka anadai alikua kwenye mkesha kwa nabii Bushiri alikua anawaombea wapate waume yani duuu. Na wapo wale manabii wa kuambukiza utajiri...nakuambukiza magari, na kuambukiza majumba. nakuambukiza elimu hahahahahah jamani kuna watu Wajinga sijapata ona. Na yeye akiambukizwa anapokea kwa Imani.... Namshukuru Mungu nina Imani dhabiti isiyo tetereka.
Mkuu inasikitisha sana...
 
Inawezekana wapo ambao ni manabii wa uongo ila hata kwa hali ya kawaida tu na kwa maelezo dhaifu uliyoyatoa yasiyomtia mtu hatiani siwezi kukubaliana nawe kirahisi hivyo.Njoo na ushahidi ambao utafumbua watu lakini sio maneno matupu ambayo mtu yeyote anaweza akatamka au akaandika ili kumfadhaisha mwingine au imani fulani utake watu tukuelewe,Never.Hata kwa hali ya kawaida tu kama huna utafiti huna haki ya kuongea.Endelea lakini utawapata wepesi wa kufikiri lakini watu wenye kufikiria mambo kwa upana wake huwezi kuwapata kirahisi hivyo.Mara ooh fulani alitamka hivi au vile mbona hajafanya inifanye nikubaliane nawe au ifanye nibadili mtazamo na mwelekeo, Kwani wangapi wametamka na hawajafanya?Hiyo tu ifanye tupoteze imani juu ya kile tunachokiamini.Hapo bado kwakweli shusha utafiti wenye evidence za kutosha.****Wasalimie ndugu zangu wa upareni***.
 
TanzaniaLaw naomba nikujibu kwa mara ya tatu kwamba sipingani na kifungu chochote ndani ya Biblia bali napingana na mafundisho yatolewayo na hawa manabii na mitume! Tafadhali jaribu kunielewa katika hilo na vema ukaweka interest zako katika hili
You are. You said those preachers are diabolical, I asked you, how do you know that they are diabolical, you have failed to give me a verse to support your refutation. In contrast, you are accusing them and judging them.
 
ipo ile aya ya tahadhari juu ya manabii wa uwongo, na ile aya ya Yesu anasema litatumika jina lake kudanganya watu. Au m'mezifuta !?
Of course they are false prophets and you can test them through the Word, ndio maana namuomba mshana jr anipe aya ili ipime hawa watu. Bado hajanipa aya.

NI KAMA KWENYE Quran, kuna sehemu inasema kuwa YESU HANA DHAMBI NA HAKUWAI TENDA DHAMBI, umesha ona mimi nimepinga hiyo aya ya Quran? Siwezi pinga, kwasababu ni kweli kuwa Quran imekiri kuhusu kutokuwa na dhambi kwa Yesu.
 
Hapana sijadanganya mtu na sijamlazimisha mtu kuamini lolote haya ni maoni yako! Hii kitu inayoitwa ushamba wa kiroho ndio naisikia kwako lakini hebu nijibu haya maswali machache
1: je Yesu aliruhusu kutoza ujira kwa kumsaidia mtu tatizo lake?
2: Je Yesu baada ya kutenda miujiza alijitangaza na kujisifu?
3: Je Yesu aliishi maisha machafu yaliyojaa starehe ma mambo ya kidunia?
4: Je Yesu alikuwa na kashfa mbali mbali kama walizo nazo manabii na mitume wa leo?
5: Je Yesu alijilimbikizia Mali na kuwaacha maskini wakiteseka?
Nijibu hayo machache tuu! Umejibu bila kutafakari narudia kusema tena SIPINGANI NA Mafundisho ya BIBLIA bali mafundisho ya hawa manabii na mitume wa Leo! Kama huu ndio ushamba wa kiroho basi sipo pekeyangu

Haya maswali yako ni mazuri sana Kiongozi. Bravooo. Kwakifupi ni hapana.

Yesu hakusema watu watoze fedha ili wapokee either unabii au kuombewa. Sasa unaanza kuzungumza maneno matamu.

Sasa tuendelee kwa ushahidi wa hao jamaa kudai fedha ili tuwaweke kwenye upande ambao Yesu alisema tusifanye.

You see, it is easier this way. :yo:
 
/////wanahubiri kuhusu pesa sio kitu kingine/ toa ndugu toa,toa ulichonacho kingine////

wabongo wanapenda shortcut kwa kila kitu... kutafuta hawataki wamekalia miujiza na kuombewa atazani wakiomba wenyewe Mungu hatasikia !!??
 
Wana wa Mungu ! Si lazima kujibu maswali ya wana wa shetani;ili msije kuikosa Imani kwa Uongo wao !
{1TIMOTHEO 6:20-21}
 
Kwako mshana jr na wenzako ! Mbona mpo kimya kwa habari ya ndoa za jinsi moja, nk katika makanisa yenu yaliyozeeka ...?
 
Last edited by a moderator:
Unajua ndani ya makanisa kuna vitu vingi vinafanyika watu huwa hawavijui ila nitawapa sili moja mana kila unayemwona anajiita nabii ana maagano ameyafanya mfano kuna mmoja alipewa shariti la waumini wake wavae nguo zenye rangi moja na wengine wanachale kwenye moyo ni mengi tu yanafanyika ikiwemo kuweka hilizi ya simba wanapokuawepo kama kuna mchungaji au mwanasiasa akiliona jina langu hapo juu atakuwa anajua mi ninaengoea ni nani au ni mtoto wa nani lakini ni ulaji wao na sie wenye hizo kazi ila hakuna nabii atakaye kwenda peponi hata mmoja kati ya mnaowaona



hapo pekundu na tb joshua anahusika????
 
You are still supporting not your claims with verses but empty words.

mheshimiwa,kwani lazima ku-quote????unadhani maisha kila sehemu lazima tu-quote kama fani yako?kwanini huna heshima kwa sisi ambao maisha yetu sio lazima ku-quote unalazimisha lazima jamaa a-quote?naomba kuanzia sasa utambue uwepo wa watu wanaoweza kuishi na kujenga hoja zao bila ku-quote!
 
mheshimiwa,kwani lazima ku-quote????unadhani maisha kila sehemu lazima tu-quote kama fani yako?kwanini huna heshima kwa sisi ambao maisha yetu sio lazima ku-quote unalazimisha lazima jamaa a-quote?naomba kuanzia sasa utambue uwepo wa watu wanaoweza kuishi na kujenga hoja zao bila ku-quote!
Yes, it is imperative to quote the infallible verse, unless you are a pagan.
 
Kwako mshana jr na wenzako ! Mbona mpo kimya kwa habari ya ndoa za jinsi moja, nk katika makanisa yenu yaliyozeeka ...?

Anzisha hiyo mada utapata wachangiaji yangu haikulenga huko
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana wapo ambao ni manabii wa uongo ila hata kwa hali ya kawaida tu na kwa maelezo dhaifu uliyoyatoa yasiyomtia mtu hatiani siwezi kukubaliana nawe kirahisi hivyo.Njoo na ushahidi ambao utafumbua watu lakini sio maneno matupu ambayo mtu yeyote anaweza akatamka au akaandika ili kumfadhaisha mwingine au imani fulani utake watu tukuelewe,Never.Hata kwa hali ya kawaida tu kama huna utafiti huna haki ya kuongea.Endelea lakini utawapata wepesi wa kufikiri lakini watu wenye kufikiria mambo kwa upana wake huwezi kuwapata kirahisi hivyo.Mara ooh fulani alitamka hivi au vile mbona hajafanya inifanye nikubaliane nawe au ifanye nibadili mtazamo na mwelekeo, Kwani wangapi wametamka na hawajafanya?Hiyo tu ifanye tupoteze imani juu ya kile tunachokiamini.Hapo bado kwakweli shusha utafiti wenye evidence za kutosha.****Wasalimie ndugu zangu wa upareni***.

Soma uelewe vizuri nilichoandika! Kumbuka hapa ni mtandaoni siandiki kitabu nimeongelea kwa ufupi uongo na uzushi uletwao na mitume na manabii wa kileo nikatoa na mifano michache walionielewa wamenielewa, wengine wamekuja na chagizo za kupinga nilichoandika wengine wamesema hata ambayo hayahusiani na hii post

Simlaumu yeyote kwakuwa tunakutana jukwaani na kila mmoja wetu ana mtazamo wake kwenye lolote, kwahiyo hata hiki ulichoandika ni mtazamo wako, wapo watakaokuunga mkono na wapo watakaokupinga na wapo watakaokupotezea wote wapokee kwakuwa kila mtu anachangia vile ajuavyo yeye
 
Back
Top Bottom