turashashe jr
Member
- Dec 25, 2014
- 45
- 35
Umenikumbusha mchungaji mmoja mwaka 2010 alikuja kwa mzee Wangu apate dawa za mvuto na kuwa na nguvu ktk kanisa lake tena alikuja na wanasiasa 2 ni maalufu sana hapa mjini
basi mzee wangu akawambia kazi zao zote zinafanyika usiku maeneo ya makabulini kunduchi ilipofika usiku wa saa sita tukaenda wote nikiwemo na Mimi mwenyewe..
Basi kufika makaburini ikanyunyizwa dawa kwenye makaburi 2 ya dini yake yakasemwa maneno flani pale ya lugha maalum. Mara yakafunguka ukatoka moto mkubwa sana ukiambatana na radi nusra jamaa wakimbie, basi tukaona watu wanatoka mle na kuuliza kwa lugha ileile aliyoongea mzee wangu,
akawatajia Shida za wale jamaa wote watatu wakaambiwa wavue nguo pale pale wasogee, basi wakafanya kama walivyoelekezwa na wale watu wakaanza na yule mchungaji kwa nguvu alizokuwa anataka akapewa ila kwa makubaliano maalumu, na wale wengine ambao mmoja ni mbunge maarufu wa upinzani na mwingine sasa ni waziri wakafanyiwa vile walivyoomba, kazi ikawa imekwisha.
Mchungaji ana kanisa bagamoyo road linajaza huwa nawaonea huluma waumini mana wanaabudu wasichokijua na nikikutana nae nikumtania mana najua nguvu sio ya mungu yeye huniambia namshukulu malehemu mzee wako nisingekuwa tajiri kama sio yeye
basi mzee wangu akawambia kazi zao zote zinafanyika usiku maeneo ya makabulini kunduchi ilipofika usiku wa saa sita tukaenda wote nikiwemo na Mimi mwenyewe..
Basi kufika makaburini ikanyunyizwa dawa kwenye makaburi 2 ya dini yake yakasemwa maneno flani pale ya lugha maalum. Mara yakafunguka ukatoka moto mkubwa sana ukiambatana na radi nusra jamaa wakimbie, basi tukaona watu wanatoka mle na kuuliza kwa lugha ileile aliyoongea mzee wangu,
akawatajia Shida za wale jamaa wote watatu wakaambiwa wavue nguo pale pale wasogee, basi wakafanya kama walivyoelekezwa na wale watu wakaanza na yule mchungaji kwa nguvu alizokuwa anataka akapewa ila kwa makubaliano maalumu, na wale wengine ambao mmoja ni mbunge maarufu wa upinzani na mwingine sasa ni waziri wakafanyiwa vile walivyoomba, kazi ikawa imekwisha.
Mchungaji ana kanisa bagamoyo road linajaza huwa nawaonea huluma waumini mana wanaabudu wasichokijua na nikikutana nae nikumtania mana najua nguvu sio ya mungu yeye huniambia namshukulu malehemu mzee wako nisingekuwa tajiri kama sio yeye