Yahusu wafufuao wafu na misukule

Yahusu wafufuao wafu na misukule

Umenikumbusha mchungaji mmoja mwaka 2010 alikuja kwa mzee Wangu apate dawa za mvuto na kuwa na nguvu ktk kanisa lake tena alikuja na wanasiasa 2 ni maalufu sana hapa mjini

basi mzee wangu akawambia kazi zao zote zinafanyika usiku maeneo ya makabulini kunduchi ilipofika usiku wa saa sita tukaenda wote nikiwemo na Mimi mwenyewe..

Basi kufika makaburini ikanyunyizwa dawa kwenye makaburi 2 ya dini yake yakasemwa maneno flani pale ya lugha maalum. Mara yakafunguka ukatoka moto mkubwa sana ukiambatana na radi nusra jamaa wakimbie, basi tukaona watu wanatoka mle na kuuliza kwa lugha ileile aliyoongea mzee wangu,

akawatajia Shida za wale jamaa wote watatu wakaambiwa wavue nguo pale pale wasogee, basi wakafanya kama walivyoelekezwa na wale watu wakaanza na yule mchungaji kwa nguvu alizokuwa anataka akapewa ila kwa makubaliano maalumu, na wale wengine ambao mmoja ni mbunge maarufu wa upinzani na mwingine sasa ni waziri wakafanyiwa vile walivyoomba, kazi ikawa imekwisha.

Mchungaji ana kanisa bagamoyo road linajaza huwa nawaonea huluma waumini mana wanaabudu wasichokijua na nikikutana nae nikumtania mana najua nguvu sio ya mungu yeye huniambia namshukulu malehemu mzee wako nisingekuwa tajiri kama sio yeye
 
Siku hizi kuna maji ya upako vitambaa vya baraka nk nk imani imehamia kwenye vitu vya kidunia kuliko uchaji wa rohoni
Siku hizi mtu akihubiri vizuri madhabahuni anatunzwa na kwakweli mahubiri yenyewe si lolote bali mipasho
Siku hizi huna haja hata ya kwenda kanisani unafungulia TV halafu unamwangalia kidume anavyomwaga mbwembwe kishapo anaweka namba za simu halafu unatuma sadaka/ mchango wako naye anakuombea

Hiyo yakutuma sadaka niliona Kenya, nilikwenda kumuona rafiki yangu Nairobi akanambia wao wanatuma hela kwa njia ya simu halafu wanaambiwa kutakua na maombi saa kadha ukamate TV ufungemacho uombewe,nilishangaaa sana lakini sikutaka kumkera sababu alikua serious na wanamuamini sana huyu mchungaji,nikaishia kujiuliza maswali mwenyewe nikajijibu mwenyewe..
 
Hawa manabii wengi wao wana kashfa nyingi na kubwa za ngono, uasherati wizi utapeli biashara haramu fitina na hata ulozi lakini cha ajabu waumini wao badala ya kugutuka na kuzinduka ndio kwanza wanasugua goti kuwaombea kwa kisingizio cha shetani kuwaandama
 
turashashe jr

God forbid...!!! Na ndio maana hata mauaji ya ndugu zetu walemavu wa ngozi hayatakaa yakome
 
Last edited by a moderator:
Unajua ndani ya makanisa kuna vitu vingi vinafanyika watu huwa hawavijui ila nitawapa sili moja mana kila unayemwona anajiita nabii ana maagano ameyafanya mfano kuna mmoja alipewa shariti la waumini wake wavae nguo zenye rangi moja na wengine wanachale kwenye moyo ni mengi tu yanafanyika ikiwemo kuweka hilizi ya simba wanapokuawepo kama kuna mchungaji au mwanasiasa akiliona jina langu hapo juu atakuwa anajua mi ninaengoea ni nani au ni mtoto wa nani lakini ni ulaji wao na sie wenye hizo kazi ila hakuna nabii atakaye kwenda peponi hata mmoja kati ya mnaowaona
 
Au kama kuna mtu atabisha aje na maelezo hao manabii wake wanapata nguvu wapi nami nitampa maelelezo nguvu zinavyopatikana na mpaka mtu anakuwa vile mana ninajiamini
 
Au kama kuna mtu atabisha aje na maelezo hao manabii wake wanapata nguvu wapi nami nitampa maelelezo nguvu zinavyopatikana na mpaka mtu anakuwa vile mana ninajiamini

Sidhani kama kuna atakayejitokeza
 
Umenikumbusha mchungaji mmoja mwaka 2010 alikuja kwa mzee Wangu apate dawa za mvuto na kuwa na nguvu ktk kanisa lake tena alikuja na wanasiasa 2 ni maalufu sana hapa mjini basi mzee wangu akawambia kazi zao zote zinafanyika usiku maeneo ya makabulini kunduchi ilipofika usiku wa saa sita tukaenda wote nikiwemo na Mimi mwenyewe basi kufika makabulini ikanyunyizwa dawa kwenye makabuli 2 ya dini yake yakasemwa maneno flani pale ya lugha maalum Mara yakafunguka ukatoka moto mkubwa sana ukiambatana na radi nusra jamaa wakimbie basi tukaona watu wanatoka mle na kuuliza kwa lugha ileile aliyoongea mzee wangu akawatajia Shida za wale jamaa wote watatu wakaambiwa wavue nguo pale pale wasogee basi wakafanya kama walivyoelekezwa na wale watu wakaanza na yule mchungaji kwa nguvu alizokuwa anataka akapewa ila kwa makubaliano maalumu na wale wengine ambao mmoja ni mbunge maarufu wa upinzani na mwingine sasa ni wazili wakafanyiwa vile walivyoomba kazi ikawa imekwisha mchungaji ana kanisa bagamoyo road linajaza huwa nawaonea huluma waumini mana wana abudu wasichokijua na nikikutana nae nikumtania mana najua nguvu sio ya mungu yeye huniambia namshukulu malehemu mzee wako nisingekuwa tajiri kama sio yeye

mzee wako alikuwaga kalumanzila?
 
Siku hizi kuna maji ya upako vitambaa vya baraka nk nk imani imehamia kwenye vitu vya kidunia kuliko uchaji wa rohoni
Siku hizi mtu akihubiri vizuri madhabahuni anatunzwa na kwakweli mahubiri yenyewe si lolote bali mipasho
Siku hizi huna haja hata ya kwenda kanisani unafungulia TV halafu unamwangalia kidume anavyomwaga mbwembwe kishapo anaweka namba za simu halafu unatuma sadaka/ mchango wako naye anakuombea

Hahaha yep mzee wa upako hana tafauti na kina papaa mukulukulu
 
Nabii wa Mungu kampa mimba mke wa mtu,,, heheheeee....!!! Mbasha giv up broo
 
Back
Top Bottom