Yahusu wafufuao wafu na misukule

Yahusu wafufuao wafu na misukule

Haya maswali yako ni mazuri sana Kiongozi. Bravooo. Kwakifupi ni hapana.

Yesu hakusema watu watoze fedha ili wapokee either unabii au kuombewa. Sasa unaanza kuzungumza maneno matamu.

Sasa tuendelee kwa ushahidi wa hao jamaa kudai fedha ili tuwaweke kwenye upande ambao Yesu alisema tusifanye.

You see, it is easier this way. :yo:

Kwahiyo ulikuwa unanichallange ili iweje sasa! Naamini ni muumini mzuri wa kufuatilia vipindi vya dini redioni vya hawa manabii na mitume yale wayafanyayo ndio Yesu aliyafanya? Kuomba sadaka/michango/ misaada kupitia nambari binafsi na akaunti binafsi? Kuwapiga vijembe wenzao? Kuongea mipasho?
Labda kama hufuatilii nafikiri ungepata picha tofauti inawezekana kabisa unapinga usichokijua, nimekwambia zaidi ya mara tatu kwamba sipingani na Neno la Mungu bali mafundisho na matendo ya hawa jamaa

Tuna madhehebu ya Kikatoliki Kilutheri Kipentekoste nk tuna wahubiri wazuri tu wanaotenda miujiza na kuponya watu nk hawajitangazi kwenye vyombo vya habari

Sadaka zetu zina utaratibu, zinatangazwa na kila senti tunaambiwa inaenda wapi na kufanya nini, jamii inahudumiwa kwa kiasi kikubwa mno na makanisa haya na bado watumishi wake hawajikwezi hawaweki mabango makubwamakubwa yenye picha zao kujitangaza
Nimekuuliza habari za mitume na manabii waliotabiriwa kwenye Bible umekaa kimya! Hata wao kwenye mahubiri yao huwa wanapotezea hivi vifungu
 
I always stand on the Bible, that is my Philosophy, If you don't say what the Bible says, then you are not following the true God.

Kwani Biblia ni Kitabu cha Nabii/Mtume nani !?
Maana Injil ni ya Yesu, Tourat ya Musa, Zaburi ya Daudi, Suufi cha Ibrahim, Wimbo bora cha Suleiman, na Qur'an cha Muhammad
 
Vile vile nemulo unabii hujipi mwenyewe bali hutokea kwa uweza wake Mungu! Hawa wetu hawa wa siku hizi ni changa la macho na mawakala wakubwa wa ibilisi kuanzia ibada zao mpaka matendo yao! Neno linasema hivi 'BALI MTAWATAMBUA KWA MATENDO YAO'

Waislam hatuna mashaka na Manabii......maana wametajwa wote, na tukaambiwa nani ni wa mwisho ! 90% ni 'Bani Israel'
 
Last edited by a moderator:
Does the Bible says "YE SHALL RAISE THE DEAD"? Yes, it does.

Here is the proof from the infallible word of God. Matthew 10:8 Heal the sick, cleanse the lepers, raise the dead, cast out devils: freely ye have received, freely give.

Subiri na wewe ukifa utafufuliwa
Acheni mambo ya ajabu bhana
Cha msingi hapa ni kujiandaa maana hatujui siku wala saa tutakapotoka hapa duniani
Mambo ya kufufuka not in this life time jombaa
Halafu pia tatizo lingine watu wanaitafsiiri biblia kama uwazi nipashe kiu ya jibu ndo mana tunachanganyikiwa biblia inahitaji utulivu
 
Waislam hatuna mashaka na Manabii......maana wametajwa wote, na tukaambiwa nani ni wa mwisho ! 90% ni 'Bani Israel'
Ally Kombo naomba unielewe tena sijazungumzia imani za dini nyingine! Hii yako ni topic nyingine tofauti kabisa na na kile nilichopost nakushauri anzisha mada yako kuhusiana na hiyo server ya JF bado ina nafasi kubwa sana
 
Last edited by a moderator:
Ally Kombo huyu si Ishmael na hakuna mwenye watu wake hapa jamvini wote sisi ni wanachama wa jamii forums! Na hata kama akiwa Ishmael haina maana kuwa akubaliane na kila kitu nitakachopost au mwingine yeyote

Kwa mfano huyo wewe unayemuita Ishmael kitu ambacho naamini sie nilimwomba kwenye reply yake ya kwanza kuwa asihusishe imani nyingine nje ya ukristo kwakuwa si lengo la post hii

Kama ana hekima atakuwa amenielewa na ndio maana baada ya hapo chagizo zote kazilenga kwangu, mkuu BAK na wachangiaji wengine wote wenye mtazamo kama wangu
Natumai nawe tutaenda sawa kwa muktadha huu

Cha muhimu hapa ni malumbano ya hoja yenye mwelekeo wa kujenga na kuelimishana na so umahiri wa kukariri vitu bila ufafanuzi wa kujenga na bila kuzingatia uhalisia

Wagalatia wote ni wajinga tu ! kama mpaka karne hii ambayo ina viwango vya juu vya elimu na hamuwezi kutanabahi Unabii/Utume !?.....
Manabii/Mitume gani hao wasio na Vitabu !?
Mtafute Nabii Mkuu Victor Kanyari Mwangi katika 'you tube' uone ujinga wenu.
 
Last edited by a moderator:
Ally Kombo naomba unielewe tena sijazungumzia imani za dini nyingine! Hii yako ni topic nyingine tofauti kabisa na na kile nilichopost nakushauri anzisha mada yako kuhusiana na hiyo server ya JF bado ina nafasi kubwa sana

Natoa solution juu ya tatizo lako/lenu ! kunywa dawa hata kama ni chungu.
 
Last edited by a moderator:
Let me put it in another way: there are several biblical accounts that are the basis for the modern practice of using a prayer cloth to assist the pray-er to receive positive answers to prayer. Matthew 9:20–22 tells the story of a woman who had suffered severe bleeding for twelve years. She managed to touch the hem of Jesus’ cloak, believing this simple contact would heal her. Jesus countered in verse 22, telling her, “Your faith has made you well.”

In
Matthew 14:34–36, the people of Gennesaret had a similar thought. All the sick from the area desired to touch only the hem of Jesus’ garment. All who did were healed.

Acts 19:11–12 relates how handkerchiefs that Paul had merely touched were carried to the sick, in hopes that people would be healed of diseases and evil spirits.



Why are you against the Bible? mshana jr


usipate taabu na huyu fallen angel nenda jamii intelligence tazama uzi wa astral projection getting out of the body halaf soma posts zake zote unganisha dots........
 
Wagalatia wote ni wajinga tu ! kama mpaka karne hii ambayo ina viwango vya juu vya elimu na hamuwezi kutanabahi Unabii/Utume !?.....
Manabii/Mitume gani hao wasio na Vitabu !?
Mtafute Nabii Mkuu Victor Kanyari Mwangi katika 'you tube' uone ujinga wenu.

Natoa solution juu ya tatizo lako/lenu ! kunywa dawa hata kama ni chungu.

Mtu yeyote anayekimbilia kutoa kejeli, matusi na kashfa kwenye chochote huyo mwisho wake wa kufikiri ndio unakuwa umefikia hapo! Nimekushauri jambo moja la busara kabisa anzisha mada zako uongelee yote utakayo yakiwemo haya ya ujinga wa wagalatia huku umepotea njia Ally Kombo am better than you a hundred times ndio maana siwezi kujibu kama unavyojibu wewe! Chagiza kwa hoja utaeleweka ndugu
 
Last edited by a moderator:
Mtu yeyote anayekimbilia kutoa kejeli, matusi na kashfa kwenye chochote huyo mwisho wake wa kufikiri ndio unakuwa umefikia hapo! Nimekushauri jambo moja la busara kabisa anzisha mada zako uongelee yote utakayo yakiwemo haya ya ujinga wa wagalatia huku umepotea njia Ally Kombo am better than you a hundred times ndio maana siwezi kujibu kama unavyojibu wewe! Chagiza kwa hoja utaeleweka ndugu

Kama mtu una danganywa na potassium permanganate na kuambiwa kuwa maji yameombewa mpaka yamegeuka damu wewe ni mjinga tu ! kama unakunywa Dodoma wine Altareni na kuambiwa ni damu ya Yesu wewe ni mjinga tu ! kama unapigia magoti sanamu ya Bikira Maria wewe ni mjinga tu ! kama ulikunywa kikombe cha Babu wa Loliondo/Samunge your a total fool!
Silim, Nyenyekea !
 
Last edited by a moderator:
Kama mtu una danganywa na potassium permanganate na kuambiwa kuwa maji yameombewa mpaka yamegeuka damu wewe ni mjinga tu ! kama unakunywa Dodoma wine Altareni na kuambiwa ni damu ya Yesu wewe ni mjinga tu ! kama unapigia magoti sanamu ya Bikira Maria wewe ni mjinga tu ! kama ulikunywa kikombe cha Babu wa Loliondo/Samunge your a total fool!
Silim, Nyenyekea !

Huu ni mtazamo wako na uelewa wako kuhusu haya mambo siwezi kubishana nawe kwakuwa ndani ya ufahamu wako haya ndio yaliyojaa na ndio unayoyafahamu na ndio unayoyashikia bango kuonyesha kuwa we we unajua zaidi kuhusu Mimi na imani yangu

Hili kwangu sioni kwamba ni jambo jipya wala la ajabu kusikia maneno kama hayo kutoka kwako! Kwakuwa haukuwa wa kwanza kuyatamka na hautakuwa wa mwisho
 
Kwani unajua kwa nini masheh wako huwa wanatumia Quran kurogea watu na unajua kwa nini kuna sura ukichanganya na damu ya wanyama saba inakuwa hilizi ya chumaulete na mtume amekataza isifukiwe alidhini unajua sababu ndio mana nakwambia usikashifu wenzako hadi kwenu ni hivyo hivyo@Ally kombo
 
Kwani unajua kwa nini masheh wako huwa wanatumia Quran kurogea watu na unajua kwa nini kuna sura ukichanganya na damu ya wanyama saba inakuwa hilizi ya chumaulete na mtume amekataza isifukiwe alidhini unajua sababu ndio mana nakwambia usikashifu wenzako hadi kwenu ni hivyo hivyo@Ally kombo

Uislamu aupo kitapeli kama ulivyodanganywa sasa naomba unitajie sura gani au haya gani katika qur an inatumika kurogea alafu na mimi nikitafutie kwenye biblia. Nakusubir hapahapa
 
Hili jambo miaka mitatu nyuma lilikuwa maarufu sana, yaliibuka makanisa ya mitume na manabii kwa kasi ya ajabu yaliyokuwa kila wakati yakituonyesha picha za wafu waliokufa kimazingara na baadae kufufuliwa nao.

Karata hii isiyo na chembe ya haya wala soni ya udanganyifu ikawapatia waumini wengi na umaarufu mkubwa.

Gwajima bingwa wa haya mazingaombwe kwa kujiamini kabisa aliutangazia uma wa waumini wake kuwa angemfufua Marehemu Amina Chifupa RIP, watu wakausubiri kwa hamu muujiza huu, Chifupa mpaka leo hajafufuka.

Maumivu yalibaki kwa mtoto wake na ndugu zake ambao jina la ndugu yao lilitumika kwa malengo binafsi huku magazeti ya udaku yakiwa kichocheo kikuu

Watu wote tuliowaona wakifufuliwa hatujawahi kuonyeshwa ndugu zao na historia zao, sijawahi kuona mtu wa Dar akifufuliwa au mtu ninayemfahamu, bali mtu wa dar alifufukia Arusha, wa mwanza alifufukia dar nk.

Upofu wa imani ukawafanya wengi wakimbilie kwenye haya makanisa, lakini sasa mambo yamebadilika na uongo wao umejulikana! Siku hizi kufufua misukule sio dili tena, kilichopo ambacho nacho kinakufa ni kutoa mapepo! Hivi mapepo yanakaa kwa akina mama tuuu!?

Imani ni kitu kizuri pale tu unapojitambua kuwa unaamini nini na kwa nini! Hawa manabii na mitume wa uongo wamechuma Mali nyingi kwa waumini wapumbavu! Serikali iliangalie hili kwa makini yasije kutokea yaliyotokea Uganda, Kenya na ulaya kule watu waliojiuwa kwa maelfu kwa maagizo ya viongozi wao wakiamini kwa kufanya hivyo watakwenda peponi.

ukweli wa haya mambo ufe huko utakako kwenda ndio utaelewa kwamba huyu ni nabii au mwanamazingaombwe
 
Kwahiyo ulikuwa unanichallange ili iweje sasa! Naamini ni muumini mzuri wa kufuatilia vipindi vya dini redioni vya hawa manabii na mitume yale wayafanyayo ndio Yesu aliyafanya? Kuomba sadaka/michango/ misaada kupitia nambari binafsi na akaunti binafsi? Kuwapiga vijembe wenzao? Kuongea mipasho?
Labda kama hufuatilii nafikiri ungepata picha tofauti inawezekana kabisa unapinga usichokijua, nimekwambia zaidi ya mara tatu kwamba sipingani na Neno la Mungu bali mafundisho na matendo ya hawa jamaa

Tuna madhehebu ya Kikatoliki Kilutheri Kipentekoste nk tuna wahubiri wazuri tu wanaotenda miujiza na kuponya watu nk hawajitangazi kwenye vyombo vya habari

Sadaka zetu zina utaratibu, zinatangazwa na kila senti tunaambiwa inaenda wapi na kufanya nini, jamii inahudumiwa kwa kiasi kikubwa mno na makanisa haya na bado watumishi wake hawajikwezi hawaweki mabango makubwamakubwa yenye picha zao kujitangaza
Nimekuuliza habari za mitume na manabii waliotabiriwa kwenye Bible umekaa kimya! Hata wao kwenye mahubiri yao huwa wanapotezea hivi vifungu

umesahau hata biblia ilisema yakuwa watu watafanya miujiza mikubwa zaidi ya yale yaliyofanywa na yesu mwenyewe.
 
Back
Top Bottom