linguistics
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 4,732
- 4,393
Ukisoma biblia utagundua mtoa mada ni mshamba wa kiroho....... Yesu aliagiza kufufua wafu na ingekua ni usanii tungejua..... Stop cheating us
Wakukurupuka
Ukisoma biblia utagundua mtoa mada ni mshamba wa kiroho....... Yesu aliagiza kufufua wafu na ingekua ni usanii tungejua..... Stop cheating us
Wewe kama hiwaamini mitume na manabii ni uamuzi wako, lakini maandiko ya Biblia yanaonesha watakuepo mpaka Yesu arudi, swala la kufufua wafu na kurudisha misukule unayo haki ya kutoamini lakini biblia inasema kufufua wafu ni moja ya ilani ya Yesu, hivyo anapotokea anayeamini anaitekeleza, hivyo mimi sioni ajabu mtu kufufua wafu si kwa sababu ya miujiza yenyewe bali kwa kuwa ahadi hiyo ilishatolewa miaka 2000 iliyopita
Kila ulimi utawakiri mabwana...maana wako watatu!!!!Asante kwa kusadiki katika Utatu Mtakatifu. Mungu Baba Mungu Mwana Mungu Roho Mtakatifu. Mungu akubariki. Kila ulumi utamkiri Bwana...
Kununua magari. Kazi kwel kweli
Wameamua kumfanya huyu Yesu kama mtaji wao..
Asante kwa kusadiki katika Utatu Mtakatifu. Mungu Baba Mungu Mwana Mungu Roho Mtakatifu. Mungu akubariki. Kila ulumi utamkiri Bwana...[/QUOTE linguistics
'Yeye ndiye wa Mwanzo na wa Mwisho (Alpha na Omega) naye ndiye wa Dhahiri na wa Siri, naye ndiye Mjuzi wa kila kitu !
Qur'an: 57:3.
Kila ulimi utawakiri mabwana...maana wako watatu!!!!