turashashe jr
Member
- Dec 25, 2014
- 45
- 35
Kwanza mi simwiti mtu aje kwangu mana kazi yao unaweza kupoteza Maisha lakini kwa kuwa wao wanahitaji Maisha bora na kujulikana kuwa watumishi wa mungu huwa naifanya na wote bahati nzuri wamefata masharti na Maisha yanakwenda na hata mwaka huu kuna kanisa linafunguliwa na litabeba waumini wengi tu wilaya kinondoni subili maajabu ya huyo mchungaji wao sasa