Yahusu: Majini mahaba...

Yahusu: Majini mahaba...

na wakinogewa wanazaa na binadamu kabisa, kuna mijitu ina akili mpaka unashangaa ni kizazi cha hawa viumbe, kwa anayeamini biblia kabla sijarudi asome kuhusu watu ambao waliitwa mashufeli, hutopata shida tena kujuwa kuhusu hili.

jamani ngoja nitandike suti yangu I will be back.

Mkuu leo kikao cha bunge hakuna.

Yani kwenda kuangalia mpira tu mpaka uvalie suti?
 
Hili jambo lipo na watu wanayo
Kuna ndugu yetu alikuwa nayo siku alipoombwwa yakasema yamezaa nae na watoto wapo baharini
Na yakasema hayapendi kuona anaongia kwenye uhusiano cos hayapend kushare penzi
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu...

habari za jioni mabibi na mabwana, natumai kuwa mu wazima wa afya kabisa!

kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naombeni kupewa knowledge hasa juu ya huyu kiumbe (sijui ni kiumbe ama ni roho? kiukweli sijui).

The so called jini mahaba, ni kiumbe wa aina gani? inakuwaje mpaka anamuingia binadamu na kuwa na mahusiano nae mpaka kuzaa nae na kujenga maisha?

kwanini jini mahaba akishamuingia mwanaume, basi mwanaume inakuwa ni vigumu sana kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanamke yeyote yule ama kutelekeza familia kabisa?

Hawa viumbe wanapendelea kuishi mazingira ya aina gani? wanapenda nini kiujumla na hawapendi nini katika maisha yao?

wakuu, naombeni tuelezane kila kitu kuhusiana na majini mahaba, kiukweli kuna kitu cha msingi sana nataka kufahamu kutoka kwenu, nimepitia maandiko mengi mtandaoni, lakini nimeona si mbaya kama tukijadili na hapa!

Unahisi una tatizo hilo!?Mimi experience yangu ipo sana kupitia watumishi wa Mungu.Mara nyingi huwa naangalia Emmanuel Tv.Wengi wanaoombewa huwa kuna Manifestation ya Evil spirit.Sasa huwa kama akili zao zimewatoka na wanaanza ku confess kuwa ni spiritual husband/ Wife.Na huwa yana confess destruction kwa sababu yana wivu sana.Ukifanya kinyume na yanavotaka yatakuharibia kila kitu kama kuvunjika ndoa , kuharibu biashara , kuleta magonjwa au kuua wenzi.Mara nyingi yanakuingia kupitia maagano ya wazazi wako kama walienda kwa mganga,Yakikupenda tu /kama una nyota fulani ,Kama yanataka kukutumia kuingiza watu katika ufalme wao au wakati mwingine ni mtu anakuendea kwa mganga na kukutupia ili akukomoe au amchukue mumeo/mkeo. Wengi wenye tatizo hili ni WANAWAKE i mean majini mahaba yanawakumba sana wanawake kuliko wanaume.Wachache huwa yanawatokea physically, wengine kwenye ndoto na wengi unashangaa tu vitu haviendi.Permanent solution ni maombi ya delivarance na kuishi katika neno.
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu...

habari za jioni mabibi na mabwana, natumai kuwa mu wazima wa afya kabisa!

kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naombeni kupewa knowledge hasa juu ya huyu kiumbe (sijui ni kiumbe ama ni roho? kiukweli sijui).

The so called jini mahaba, ni kiumbe wa aina gani? inakuwaje mpaka anamuingia binadamu na kuwa na mahusiano nae mpaka kuzaa nae na kujenga maisha?

kwanini jini mahaba akishamuingia mwanaume, basi mwanaume inakuwa ni vigumu sana kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanamke yeyote yule ama kutelekeza familia kabisa?

Hawa viumbe wanapendelea kuishi mazingira ya aina gani? wanapenda nini kiujumla na hawapendi nini katika maisha yao?

wakuu, naombeni tuelezane kila kitu kuhusiana na majini mahaba, kiukweli kuna kitu cha msingi sana nataka kufahamu kutoka kwenu, nimepitia maandiko mengi mtandaoni, lakini nimeona si mbaya kama tukijadili na hapa!
Mkuu Excel,
Sisi binadamu tuna sehemu kuu mbili, mwili na roho!. (physical body na spiritual body). Mwili ni hili umbo lililojengwa kwa udongo, na roho ni nafsi, uhai, iliyopuliziwa na Mungu. Mwili ulioumbwa kwa udongo, umetiwa uhai na nafsi, roho hivyo kuwa viumbe hai. Siku roho ikitoka (kufa) nafsi inaacha mwili na kuondoka zake, mwili ambao ni udongo, ni mavumbi, unazikwa unarudi mavumbini, na roho, inakwenda kwenye ulimwengu wa roho.

Dunia au ulimwengu nao unazo sehemu kuu mbili, ulimwengu wa miili, physical world na ulimwengu wa roho, the spiritual world. Ulimwengu wa milli ndio hii dunia tunayoishi yenye vitu viavyoonekana, na ulimwengu wa roho ni vile visivyo onekana, roho, malaika, liroho, shetani, majini, mizimu, wanga, wachawi, majini, mapepo, mbinguni, peponi, motoni, jehanum, toharani, kwenye nguvu na mwanga na nguvu za giza etc!.

Wanaoishi kwenye ulimwengu wa mwili ndio sisi binadamu, wanaoishi kwenye ulimwengu wa roho ndio viumbe hao wengine niliowataja wakiwemo majini!.

Hao majini wako wa aina nyingi, wako majini ya bahati, wanaokuletea bahati, wako majini wa majanga wanaokuletea majanga, na wako majini mahaba wao shida yao ni mapenzi tuu, uwapende, wakupende!. Mambo yoyote yanayohusiana na majini, ni mambo ya "liroho", shetani, ni mambo ya kishetani!.

Jini mahaba ni shetani la mapenzi, likikupenda, litakupa kila kitu isipokuwa mwenza!, litakuwa linafanya mapenzi na wewe ya kijini jini, au ukiwa usingizini kama ndoto. Tatizo la jini mahaba, huwezi kuwa na mahusiano na mpenzi wa kawaida wa kibinaadamu na akitokea mtu akakupenda, yatamkuta ya kumkuta!.

Majini yananunuliwa hadi e-bay.

Kitu kimoja amacho siku zote akisemwi kwenye mahusiano kati ya binadamu na majini, ni kitu kinachoitwa "bondage!", unakuwa ni mtumwa wa hilo jini na chochote litakachohitaji kutoka kwako lazima lipate!, litaanza na kuzitaka roho za wapendwa wako, wazazi, mke, watoto na mwisho wa siku ni roho yako mwenyewe!.

Haya ni mambo ya kishetani na mwisho wake siku zote ni kule kwenye jehenum ya moto wa milele.

Mambo yoyote ya ulimwengu wa giza, ni mambo ya kujiepusha nayo.

Pasco
 
Haya ni mambo ya kishetani na mwisho wake siku zote ni kule kwenye jehenum ya moto wa milele.

Mambo yoyote ya ulimwengu wa giza, ni mambo ya kujiepusha nayo.

Pasco
Mkuu Pasco kuna mdau kule jukwaa la intelijensia ameanzisha topic ya kufundisha watu jinsi ya kuyaita na kuyatawala hayo majini.
naona kuna baadhi ya watu wamevutiwa na somo lake.
What do you think, is it possible hayo majini yawe chini ya mtu tena yatumikishwe kadri mtu anavyotaka na yasimsababishie madhara yeyote?
 
Last edited by a moderator:
Husika na kichwa cha habari hapo juu...

habari za jioni mabibi na mabwana, natumai kuwa mu wazima wa afya kabisa!

kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naombeni kupewa knowledge hasa juu ya huyu kiumbe (sijui ni kiumbe ama ni roho? kiukweli sijui).

The so called jini mahaba, ni kiumbe wa aina gani? inakuwaje mpaka anamuingia binadamu na kuwa na mahusiano nae mpaka kuzaa nae na kujenga maisha?

kwanini jini mahaba akishamuingia mwanaume, basi mwanaume inakuwa ni vigumu sana kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanamke yeyote yule ama kutelekeza familia kabisa?

Hawa viumbe wanapendelea kuishi mazingira ya aina gani? wanapenda nini kiujumla na hawapendi nini katika maisha yao?

wakuu, naombeni tuelezane kila kitu kuhusiana na majini mahaba, kiukweli kuna kitu cha msingi sana nataka kufahamu kutoka kwenu, nimepitia maandiko mengi mtandaoni, lakini nimeona si mbaya kama tukijadili na hapa!

562406_391824147537162_261686161_n.jpg



Huyu ni JINI MAHABA wa Kike anaitwa SUCCUBI huwajia wanaume na kufanya nao Mapenzi wakati usiku umelala.


578827_428643790521864_1903783179_n.jpg


Huyu ni JINI Subiani Jıni Dume huyo anaye wapenda wanawake,akikupenda huwa anakuja usingizini kwa sura kama hiyo hapo juu ndio amejitahidi hapo kujiweka Bonge la Handsome kwa ajili ya kuwafuata wanawake usiku usingizini.


Ukikubwa na Jini Mahaba ikiwa wewe ni Mwanamke basi utakumbwa na Jini Mahaba wa kiume la kam wewe ni Mwanamme utakumbwa na Jini Mahaba Mwanamke na akisha kukingia kutoka kwake ni kwa kazi ngumu sana mpak umpate mtu anayeweza

kumuondowa tena kwa gharama kubwa sana. Na ukiwa na Jini Mahaba anakutia mikosi ikiwa wewe ni Mwanamke basi hutoolewa au ukiwa ndani ya ndoa hutoweza kupata mtoto au kam unapata watoto watakuwa watoto wengine wanakufa bila ya

sababu muhimu, na ukiwa kwenye siku zako unatowa damu nyingi au siku zako zinakuwa zinabadilika bila ya mpango maalumu.au ukiwa kwenye tendo la ndoa unakuwa hujisikii raha kimapenzi basi ukiwa na hizo dalili ujijuwe kuwa wewe uan Jini Mahaba na

ukiwa nalo hilo Jini Mahaba hata kam ukienda Hospitali hawawezi kumuona kwenye vipimo vya Ma-Hospitali utakuwa unaumwa kila wakati maradhi ya kichwa au homa zisizo kwisha kila wakati utakuwa unaumwa asubuhi jioni uu mzima.au unaumwa kila jioni

asubuhi wewe ni mzima. Kwa Mwanamme akikubwa na Jini Mahaba atakuwa ni mtu asiyependa wanawake kila anapo lal usiku huyo Jini Mahaba humjia huyo Mwanamme atakuwa wakati wmwengine aana upungufu wa nguvu za kiume hasira zisizo kwisha

kila wakati anapo amkaanakuwa yupo mchovu bila ya sababu atakuwa mtu mwenye mikosi anafukuzwa kazi bila ya sababu atakuwa huyo mwanamme anapotezakila wakati pesa na kuchukiwa na marafiki zake hapendi kuw ana watu kwa pamoja hizo ni baadhi ya dalili ya mtu mwenye Jini wa mahaba kwa mwanamme. Kwa ufupi Sio kitu kizuri kuwa na Jini Mahaba kwa sababu anakutia wewe mikosi unakuwa huna pesa wala masiha yako yanaharibika.


Majini ni nini?

Majini ni viumbe ambao wameumbwa kwa Moto na walikuwa wakiishi duniani kabla ya binadamu miaka Milioni nyingi iliyopita.
Viumbe hawa wana tabia kubwa mbili;
Yaani ya kibinadamu kwa maana wanakuwa wanafanya mapenzi, wanazaa na wanakufa.
Tabia nyingine ni ya Kimalaika ambayo ni kwamba wana uwezo wa kujigeuza katika umbo lolote wanalotaka na vile vile wanaruka na kwenda wanakotaka au kupita wanakotaka bila kutumia chombo chochote.
Taifa la Majini limegawanyika katika makabila Milioni Sabini na mbili (72,000,000) na wana uwezo wa kujifunza lugha yeyote wanaoitaka.

Idadi ya Majini ni kila Binadamu mmoja kuna Majini 300 na wanaishi katika Majumba yetu, kwenye Miti, Majangwani, Kwenye Mapango na Sehemu zenye Misitu Mikubwa.


Majini wako katika aina Mbili (2); Maruhani na Mashetani.
Maruhani ni Majini wema ambao wanamtii Mwenyezi Mungu na wanawasaidia Binadamu katika mambo mengi.
Mashetani ni Majini Waovu ambao ni wakorofi na wanawaletea Watu madhara na Matatizo mara kwa mara.
Baba wa Majini anaitwa JANN ambaye kimaumbile yeye ana tofauti ndogo na wenzie kwamba yeye ameumbwa kwa ulimi wa Moto.
Pamoja na mambo mengi wanayoyafanya Majini na kujihusisha na binadamu, Majini vilevile wanafanya kazi za Malaika hasa zile za mambo ya kupeleka Habari na kuwalinda Binadamu, mambo ya doria za Angani. Kazi hizi siyo zao lakini kwa vile wanapenda kuiga mambo basi huiga hata kazi ambazo siyo zao.

Majini na Binadamu wana sifa zinazofanana kwani wote wana akili na wote watahesabiwa siku ya Kiama na watazawadiwa kwa mema yao na maovu yao, wote wanakula na kuzaa.

Kama ilivyo, kuna wataalamu wa Kijini wenye fani sawa na Wataalamu wa Kibinadamu wenye kufanya kazi zinazofanana.
Tofauti kubwa iliyopo kati ya Majini na Binadamu ni kwamba; Majini hawana maumbile maalum na wana uwezo wa kujibadilisha katika maumbile mbalimbali ingawa wengi wa Majini wapo katika maumbile ya paka, nyoka na ndege.
Binadamu wao wana umbile maalum ambalo halibadiliki.
Majini wana uwezo wa kuwaingia Binadamu wakati Binadamu hawana uwezo wa kuwaona Majini isipokuwa kwa ufundi maalum.

Namna Majini wanavyowaingia Binadamu iko katika njia tatu:-


  1. Njia ya kwanza (1): ni kama Remote Control; Hii inamfanya yule aliyedhibitiwa kuweza kuelewa au kuwa na fahamu zake lakini anakuwa hawezi yeye mwenyewe kuudhibiti mwili wake na anasema yale anayotaka yule Jini.
  2. Njia ya Pili (2); Jini humwingia Binadamu ndani ya utosi na kuingia katika Mfumo wa Damu. Hii inamfanya yule Binadamu kupoteza fahamu na anakuwa haelewi kabisa kinachoendlea na anafanya yote anayotaka yule Jini.
  3. Njia ya Tatu (3) ni ile ya Jini kukaa nyuma ya Binadamu. Njia hii humfanya yule Binadamu anakuwa hapotezi fahamu ila anakuwa hawezi kufanya lolote na mwili wake.
{mospagebreak}

Majini vilevile wana uwezo wa Kusafiri kwa kasi ya upepo bila kutumia chombo chochote; Binadamu hana uwezo huo isipokuwa kwa msaada wa Majini.

Hiyo ni kusema kwamba mambo yote yanayofanywa na Wachawi na Wanga hayawezekani isipokuwa kwa msaada wa Kijini.
Jambo la muhimu ni kwamba pamoja na uwezo mkubwa walionao Majini, Wanadamu wana uwezo wa Kumtawala na Kumdhibiti Jini na vivyo hivyo Majini nao wanaweza kumtawala na kumdhibiti Binadamu wote kwa kutumia utaalamu maalum.
Wako Majini wa kila Dini na kila Kabila, na kuna watu wanaofuga Majini kwa kujikinga, na kwa kuboresha kazi zao au kujipatia utajiri. Pia kuna watu wanaofunga ndoa na Majini kwa kutumia utaalamu au kwa hiari za Majini hao.
Wabaya wa Majini ni Mashetani ambao wengi hawana Dini na ndio wanaoharibu mimba za Wazazi na kufanya mapenzi na watu usingizini bila hiari zao.
Kuepuka usichafuliwe kimapenzi, kabla ya kulala piga Bismillahi kwa Muislamu au taja jina la Yesu mara tatu kwa Mkristo.

MAUMBILE YAO YAKOJE?


  • Majini wana maumbile makuu manne (4);
  • Wanakuwa katika maumbile ya Nyoka.
  • Wanakuwa katika maumbile ya Nge.
  • Wanakuwa katika maumbile ya Mbwa.
  • Wanakuwa katika maumbile ya Paka (Mweusi).
  • Kuna Majini wengine hawana maumbile yeyote na hawa shughuli yao ni kuruka hewani kuzunguka huku na kule na husafiri mbali kwa mara moja yaani kufumba na kufumbua.

SURA ZA MAJINI NA MASHETANI:

Majini sura zao ni za kutisha na mfano wake ni kama Matunda ya Mti wa Zaqum ambao unatoa matunda yenye sura mbaya na yanayofanana na mawe.
Majini wanakuwa na mkutano kila siku nyakati za kuchomoza na kuzama Jua na nyakati hizo ndizo ambazo wanafanya maasi yao.
Fitna na Maasi yao mengi wanafanyia upande wa Mashariki.
Majini vilevile wanaweza kujigeuza kama mbwa mweusi au paka mweusi kwa sababu Majini wanapenda Rangi Nyeusi kwa sababu ya kiza.

WANAKULA NINI?

Majini wao wanakula mifupa na mavi ya farasi. Hivyo ni vyaluka vyao vikuu pamoja na kwamba wengine wanakula Moshi (Ubani) na wengine wanapenda kunywa damu.
Wanapokula au kunywa, wao hutumia mkono wa kushoto na Majini wazuri ndio ambao wanakula mifupa mizuri na kuwaachia mifupa mibaya na uchafu Majini wabaya au Mashetani.

JE MAJINI WANAZAA?

Majini wanaoa na kuongezeka kama tulivyo Binadamu na huzaana kwa wingi sana.
Katika wao kuna wale wanaokula na kuoana na kuna wale ambao hawafanyi hayo.
Binadamu Mwanamume ana uwezo wa kumuoa Jini Mwanamke na Jini wa Kiume ana uwezo wa kumuoa Binadamu Mwanamke pamoja na kwamba ndoa inayotambulika na Mwenyezi Mungu ni ya kiumbe kwa kiumbe yaani Binadamu kwa Binadamu na Jini kwa Jini.
Haya ni baadhi ya maelezo kuhusu Majini, zidi kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwani hii ni mwanzo tu na tutazidi kuwaletea habari za ndani kuhusu majini na tabia zao, jinsi ya kujikinga nao au kushirikiana nao.

Uktaka Tiba ya kuyaondowa Majini Mwilini Mwako unaweza kuniandikia Baruwa ya Pepep Email yangu hii fewgoodman@hotmail.com au pia waweza kunitembelea blog yangu bonyeza hapa.
JITIBU MAGONJWA MBALIMBALI KWA KUNYWA MAJI YA UVUGUVUGU

















 
Nina mtoko kidogo leo nitwaeleza kuhusu hili nikirudi, hawa ni wabaya kwa wanawake na wanaume na pia wao wako jinsia hizo wakikuvaa hawapendi uwe na mwingine.

mwanamke ukiwa unaota ndoto za mapenzi mpaka unakojoa ogopa sana, kila mimba utakayopata itakuwa inaharibika hii ndio kazi yao viumbe hawa. nitarudi muda umenibana.
Kumbe matola professionally ni mganga lol
 
Kuna jamaa ananiambia hapa eti umwendee Gwajima atakufafanulia ila inabidi uende na mkeo kwake ili amuone. Au la ukushindwa mwambie Flora Mbasha akuimbie ili huyo mwanajini akujie na umuulize.
 
memgine ni mauza uza ya hofu tu.

Utaingiliwaje na kitu hakina mwili?

mkuu unakumbuka ile kesi ya Kasinde?

hivi inakuwaje mpaka mtu anaingiliwa kimapenzi na kitu kisichokuwa na mwili?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom