Yahusu: Majini mahaba...

Yahusu: Majini mahaba...

Hahahaaa!! kwani we ndio unaamua mkuu? si kiumbe chenyewe kinakuja na kufungua zipu halafu kinaingiza na kutoa as many times as it wants? we kuja kustuka tu unakuta ushalowa vibaya sana!

Mkuu mm naogopa popobawa
 
Biblia inasema kuwa,majini yote ni malaika wote waliomfuta Shetani na kumwasi Mungu aliyewaumba na kuwatoa mbinguni ...
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu...

habari za jioni mabibi na mabwana, natumai kuwa mu wazima wa afya kabisa!

kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naombeni kupewa knowledge hasa juu ya huyu kiumbe (sijui ni kiumbe ama ni roho? kiukweli sijui).

The so called jini mahaba, ni kiumbe wa aina gani? inakuwaje mpaka anamuingia binadamu na kuwa na mahusiano nae mpaka kuzaa nae na kujenga maisha?

kwanini jini mahaba akishamuingia mwanaume, basi mwanaume inakuwa ni vigumu sana kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanamke yeyote yule ama kutelekeza familia kabisa?

Hawa viumbe wanapendelea kuishi mazingira ya aina gani? wanapenda nini kiujumla na hawapendi nini katika maisha yao?

wakuu, naombeni tuelezane kila kitu kuhusiana na majini mahaba, kiukweli kuna kitu cha msingi sana nataka kufahamu kutoka kwenu, nimepitia maandiko mengi mtandaoni, lakini nimeona si mbaya kama tukijadili na hapa!

ushahidi uambatane na picha
 
ushahidi uambatane na picha

picha ya jini?

sidhani kama kuna photo library ambayo ina real photos za hawa viumbe wasio na mwili, sidhani kama ipo!

otherwise tutadanganywa kwa michoro tu.
 
Kama yupo ambaye imewahi kumkuta basi haikuyafikia masikio yangu.

ahsante dada. ila unajua chochote kuhusu maisha ya hawa viumbe? tubadilishane mawazo kidogo tafadhali.
 
Nina mtoko kidogo leo nitwaeleza kuhusu hili nikirudi, hawa ni wabaya kwa wanawake na wanaume na pia wao wako jinsia hizo wakikuvaa hawapendi uwe na mwingine.

mwanamke ukiwa unaota ndoto za mapenzi mpaka unakojoa ogopa sana, kila mimba utakayopata itakuwa inaharibika hii ndio kazi yao viumbe hawa. nitarudi muda umenibana.
 
ahsante dada. ila unajua chochote kuhusu maisha ya hawa viumbe? tubadilishane mawazo kidogo tafadhali.
Matola ameahidi kuja kutoa elimu hapa,tusubiri!!
 
Last edited by a moderator:
Nina mtoko kidogo leo nitwaeleza kuhusu hili nikirudi, hawa ni wabaya kwa wanawake na wanaume na pia wao wako jinsia hizo wakikuvaa hawapendi uwe na mwingine.

mwanamke ukiwa unaota ndoto za mapenzi mpaka unakojoa ogopa sana, kila mimba utakayopata itakuwa inaharibika hii ndio kazi yao viumbe hawa. nitarudi muda umenibana.
mkuu utakuwa wa msaada sana katika hili, nakutakia kazi njema, tunakungoja sana mkuu!
 
nakwenda kukemea uzee usinizoee kwahiyo sijui nitarudi kama mimi au tutakuwa tuko wengi kichwani.

We only live once,enjoy mkuu.
Mkirudi wengi poa tu maana na kesho pia ni siku.
Tuombe uzima tu.
 
mkuu utakuwa wa msaada sana katika hili, nakutakia kazi njema, tunakungoja sana mkuu!

na wakinogewa wanazaa na binadamu kabisa, kuna mijitu ina akili mpaka unashangaa ni kizazi cha hawa viumbe, kwa anayeamini biblia kabla sijarudi asome kuhusu watu ambao waliitwa mashufeli, hutopata shida tena kujuwa kuhusu hili.

jamani ngoja nitandike suti yangu I will be back.
 
mkuu nimehamasika sana kufahamu kuhusiana na hawa viumbe,

si unajua tena tumeingia maeneo ya PWANI huku ambako ndiko karibu makao ya hawa wadudu?

nina kesi nzito sana na roho yangu, nina imani itajibiwa na wana JF, nimejikuta nakiogopa kitanda...

Mkuu uko pwani ya wapi?

Sidhani kama unatakiwa kuogopa kuhusiana na hili swala.

Cha msingi ni kutafuta ukweli tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom