Yafuatayo hunitokea mara baada ya kunywa pombe

Haya mambo huwa yanaenda kiukoo kama kwenye ukoo hakuna historia ya mtu yeyote kunywa pombe au kuvuta bangi utakapotumia jiandae kudhalilika kwa sababu umetumia vitu ambavyo kwenye ukoo wenu havipo. Mimi ile Konyagi kubwa napiga nusu na bado natembea vizuri na siyumbi. Zile ambiance nagonga vichupa vitatu ndio kidoogo naweza kuzima wakati kuna wengine akinywa nusu tu anaanza kuongea pumba tu.
Jaribu kunywa double kick vile vichupa vitatu
 
Haya mambo huwa yanaenda kiukoo kama kwenye ukoo hakuna historia ya mtu yeyote kunywa pombe au kuvuta bangi utakapotumia jiandae kudhalilika kwa sababu umetumia vitu ambavyo kwenye ukoo wenu havipo. Mimi ile Konyagi kubwa napiga nusu na bado natembea vizuri na siyumbi. Zile ambiance nagonga vichupa vitatu ndio kidoogo naweza kuzima wakati kuna wengine akinywa nusu tu anaanza kuongea pumba tu.
Naona unaongea pumba umeshalewa
 
Usikilize moyo wako,inaonekana kuna sauti inakwambia acha pombe ila wewe unajifanya kuipotezea,sasa ukiona hivyo maana yake kuna jambo baya mbele ya safari yako ya unywaji pombe...
 
Jambo la kushukuru umetambua tatizo mapema.

Hakuna madhara utakayopata kwa kuchukua uamuzi wa kuachana na Pombe.

Ni wakati sasa Acha pombe
Mwanangu shikiria Mungu huyo akunusuru nayo,mimi nimepambana nayo nimeshindwa mpk nakutaman bure kwa nini roho hiyo yako isije kwangu nikaachana na huyu shetwani,kila nikitaka kuacha naanza kupambana mwenyewe na kujijibu kma mwehu,mwisho wa maongezi yangu mwenyewe najijibu mwenyewe kuwa niendelee nitaacha kesho,mara kesho,keshokutwa........yaaaan
 
Mkuu kama ukilewa hujiangushi vichakani,
basi bado huna sababu ya msingi ya kuacha pombe..

Pombe ni mbaya kama Una tabia ya kujiangusha .
 
Back
Top Bottom