Mpyena
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 904
- 1,083
Wakuu poleni na majukumu ya kulijenga taifa letu pendwa la Tanzania. Pia poleni sana na mfumko wa bei uliopo nchini na dunia ni kwa ujumla.
Ndugu zangu wana JF, mimi ni mtumiaji wa masanga(pombe) japo mara chache chache. Na siku ambayo hutumia kinywaji hiki huwa ni Jumamosi kwa maana ya kwamba ndiyo siku ambayo nakuwa mapumziko.
Na pombe nazokunywa ni hizi hizi bia za kawaida yaani za watu wenye uchumi wa kati (Kilimanjaro, Serengeti, Castle) na wakati mwingine napiga hizi ngumu nyeupe.
Baada ya kunywa balaa huwa ni kesho yake napatwa na:
1. Huzuni
2. Simanzi
3. Wasiwasi
4. Kutojiamini
5. Majuto ( kujiona mkosefu)
6. Majonzi
7. Pia nakuwa mwingi wa huruma.
Kwa wataalam naombeni mawazo yenu yote hayo husababishwa na nini?
Maana kwa kuhofia kupatwa na niliyoyaeleza hapo juu, najikuta naogopa kutumia pombe tena
Ndugu zangu wana JF, mimi ni mtumiaji wa masanga(pombe) japo mara chache chache. Na siku ambayo hutumia kinywaji hiki huwa ni Jumamosi kwa maana ya kwamba ndiyo siku ambayo nakuwa mapumziko.
Na pombe nazokunywa ni hizi hizi bia za kawaida yaani za watu wenye uchumi wa kati (Kilimanjaro, Serengeti, Castle) na wakati mwingine napiga hizi ngumu nyeupe.
Baada ya kunywa balaa huwa ni kesho yake napatwa na:
1. Huzuni
2. Simanzi
3. Wasiwasi
4. Kutojiamini
5. Majuto ( kujiona mkosefu)
6. Majonzi
7. Pia nakuwa mwingi wa huruma.
Kwa wataalam naombeni mawazo yenu yote hayo husababishwa na nini?
Maana kwa kuhofia kupatwa na niliyoyaeleza hapo juu, najikuta naogopa kutumia pombe tena