DON KILLUMINATI
Senior Member
- Jan 2, 2011
- 193
- 83
mchungaji anaanza kuishiwa kisiasa, ataishia kama mchungaji mwenzake mtikila, wameacha kazi ya mungu na kukimbilia utawala kimabavu
tanzania hatutaki siasa za mabavu na kusababisha maisha kuwa magumu kwa watu wengine, kama mchungaji huna sera kaa pembeni, change zitakuja kwa kutumia ballot paper sio kwa jazba
mijitu kama wewe enzi zetu tuliiita mi zumbukuku, siku hizi sijui wanawaitaje...