Acid ujumbe kama huu use unauandika kwa kiswahili ili Maralia Sugu nae aambulie...
tuombe hii dhahma iishe bila more deaths kwani waliokufa wana familia pia
politics should not divide us like that
naomba sana wanaccm na hasa swahiba kibs wasisahau kwamba when you fight with your son who is at the adolescent age, you are bound to be humiliated....
- arusha is the geneva of africa... They would have chosen the better battle field not arusha
- tourism industry is already damaged... While allowing the matching would have just ended with followers feeling fools of themselves
- eaf's hub is arusha, i cant imagine how kenyans are smiling right now
while you think you are slapping your wife, just remember your neighbours are enjoying your degradation
how wrong did the government go on this? No one knows
sijui wa mwanza, shinyanga, kigoma, mbeya, iringa, manyara na kilimanjaro wanajiandaaje na hii haliWanasema mchuma janga hula na wa kwao. Tuegemee zaidi kwenye majadiliano na suluhu nyingine za kidiplomasia.
Mchungaji anaanza kuishiwa kisiasa, ataishia kama mchungaji mwenzake Mtikila, wameacha kazi ya Mungu na kukimbilia utawala kimabavu
Tanzania hatutaki siasa za mabavu na kusababisha maisha kuwa magumu kwa watu wengine, kama mchungaji huna sera kaa pembeni, change zitakuja kwa kutumia ballot paper sio kwa jazba
I am sure hujasoma history na kama umesoma basi ulikua seluleMchungaji anaanza kuishiwa kisiasa, ataishia kama mchungaji mwenzake Mtikila, wameacha kazi ya Mungu na kukimbilia utawala kimabavu
Tanzania hatutaki siasa za mabavu na kusababisha maisha kuwa magumu kwa watu wengine, kama mchungaji huna sera kaa pembeni, change zitakuja kwa kutumia ballot paper sio kwa jazba
some thing are better left to the wise people, MS attitude is equivalent to junk mailsAcid ujumbe kama huu use unauandika kwa kiswahili ili Maralia Sugu nae aambulie...
tuombe hii dhahma iishe bila more deaths kwani waliokufa wana familia pia
politics should not divide us like that
naomba sana wanaccm na hasa swahiba kibs wasisahau kwamba when you fight with your son who is at the adolescent age, you are bound to be humiliated....
- arusha is the geneva of africa... They would have chosen the better battle field not arusha
- tourism industry is already damaged... While allowing the matching would have just ended with followers feeling fools of themselves
- eaf's hub is arusha, i cant imagine how kenyans are smiling right now
while you think you are slapping your wife, just remember your neighbours are enjoying your degradation
how wrong did the government go on this? No one knows
i gree with u.
Kama umeambiwa fanya mkutano usiandamane nawewe ukaandamana kisha likatokea la kutokea then whom to be blamed for this deaths
Chizi wewe .. kwani nani ana siasa za mabavu na kusababisha maisha kuwa magumu kwa watu wengine zaidi ya hao mabwana zako? Angalia wanaotumia hata kodi yetu kununulia mabomu ya machozi na marungu ya kupiga raia!
Mafia
ww mpumbavu kabisa. kumbuka wote waliokufa ni Watanzania.Walikufa 38 pemba 2001 chini ya jemadari William Mkapa, Nini watu 10?
Hizo mali za watu mlizochoma kwa wivu na uhuni nani atalipa?
Good...