Donnah
Member
- Oct 31, 2010
- 37
- 19
Good...
Nosense
Good...
Nimeshindwa kukutukana kwa utashi wangu ila unastaili hilo.Good...
Natamani sana hili hata usiku huu mimi ningeingia mtaani kulaani uonevu huu uliokithiri!Hii inabadilisha historia ya Tanzania sasa! Na hali itaendelea kuwa mbaya zaidi inapaswa kesho Watanzania wote waandamane kwa kulaani mauaji ya Watanzania wasiokuwa na hatia yaliyotokea leo.
Kamanda kama unarefer post yangu hapa, nina maana kuwa ni vizuri kama watapelekwa mahakamani mapema, hii itasaidia kujua wanashtakiwa na nini, na kuweza vile vile kupata dhamana, kuliko kuwekwa rumande bila kufunguliwa mashtaka.Naomba sana wanaCCM na hasa swahiba Kibs wasisahau kwamba when you fight with your son who is at the adolescent age, you are bound to be humiliated..
Unafurahia watanzania wenzako kufa? Huo ni upuuzi!! Kumbuka pia utawala wa mabavu kama huu wa JK na CCM yake ina mwisho hata kama utakuwa na maslahi nao!!Good...
Serikali gani unaizungumzia hapa? Usiendelee kututia hasiraNi vyema serikali ikatoa kauli kuhusu hilo....maana ndio wenye dhamana na watanzania....[/I]
Thanks ila pia uelewe kwambs si mimi peke yangu niliyekuelewa vibayaKamanda kama unarefer post yangu hapa, nina maana kuwa ni vizuri kama watapelekwa mahakamani mapema, hii itasaidia kujua wanashtakiwa na nini, na kuweza vile vile kupata dhamana, kuliko kuwekwa rumande bila kufunguliwa mashtaka.
Hiyo kesho mahakamani sijui watashitakiwa kwa kosa gani. Haya ngoje tuone.
two wrongs wont make it right... and dont tell us kwamba tulifurahia mauaji ya pemba dogoWalikufa 38 pemba 2001 chini ya jemadari William Mkapa, Nini watu 10?
Hizo mali za watu mlizochoma kwa wivu na uhuni nani atalipa?
Naomba sana wanaCCM na hasa swahiba Kibs wasisahau kwamba when you fight with your son who is at the adolescent age, you are bound to be humiliated....
- Arusha is the Geneva of africa... they would have chosen the better battle field not arusha
- tourism industry is already damaged... while allowing the matching would have just ended with followers feeling fools of themselves
- EAF's hub is arusha, i cant imagine how Kenyans are smiling right now
While you think you are slapping your wife, just remember your neighbours are enjoying your degradation
How wrong did the government go on this? no one knows