Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,543
- 113,710
Wanabodi,
Kumekuwepo kwa thread mbali mbali za kumshutumu, kumbeza hadi kumkebehi Naibu Waziri wa Elimu Mhe. Phillip Mulugo kwa kauli yake ya Tanzania ni muungano wa Zimbabwe na Pemba!.
Naomba kujitokeza kumtetea huyu jamaa "It was only a slip of a tongue!. Yaani aliteleza tuu ulimi kunakosababishwa na adrenalin inayoleta first time panic, hii ndio mara yake ya kwanza katika maisha yake, kuhutubia mkutano mkubwa kana ule
.
Ukiangalia hii video kwenye U-Tube utaona ni PPT Presentation kupitia Over Head Projector kila neno alilotamka pia limeandikwa na kuonyeshwa na ile projector screen.
Japo ni kweli aliitamka neno Zimbabwe lakini screen ya projector ilionyesha neno Zanzibar!. Hivyo hilo neno Zimbabwe, was a slip of a tongue tuu yaani aliteleza ulimi kwa panic tuu ni kosa la kawaida la kibinaadamu!.
Kufuatia kosa hilo dogo tuu, kitendo cha Clouds Redio kumkomalia jana nzima sio cha kistaarabu na sio kumtendea haki!.
Watu sasa wameanza hata kuhoji elimu yake!. Watanzania sasa tumekuwa wagonjwa wa "paper qualifications" na ni kufuatia kosa hilo dogo, watu humu sasa ndio wanamkomalia kuhusu elimu yake!. Kwa watu wanaomfahamu vizuri Mulugo kwa utendaji wake, Kikosa hicho "It doesn't matter" kwa vile jamaa ni jembe kweli!. Nimemshuhudia akipiga mzigo wa kufa mtu!. Akifanya ziara za kikazi popote, hufanya 'surprize visit" kwenye mashule au vyuo na kuibua madudu kibao!.
Tumhukumu mtu kwa utendaji wake na sio kwa "Slip of a tongue"!.
Paskali.
NB. Kitendo cha Mhe. Mulugo kuzungumza na Clouds Radio, na kuzunguzia hili, hakina uhusiano wowote na thread hii, it was a mere coincidence!.
Kumekuwepo kwa thread mbali mbali za kumshutumu, kumbeza hadi kumkebehi Naibu Waziri wa Elimu Mhe. Phillip Mulugo kwa kauli yake ya Tanzania ni muungano wa Zimbabwe na Pemba!.
Naomba kujitokeza kumtetea huyu jamaa "It was only a slip of a tongue!. Yaani aliteleza tuu ulimi kunakosababishwa na adrenalin inayoleta first time panic, hii ndio mara yake ya kwanza katika maisha yake, kuhutubia mkutano mkubwa kana ule
.
Ukiangalia hii video kwenye U-Tube utaona ni PPT Presentation kupitia Over Head Projector kila neno alilotamka pia limeandikwa na kuonyeshwa na ile projector screen.
Japo ni kweli aliitamka neno Zimbabwe lakini screen ya projector ilionyesha neno Zanzibar!. Hivyo hilo neno Zimbabwe, was a slip of a tongue tuu yaani aliteleza ulimi kwa panic tuu ni kosa la kawaida la kibinaadamu!.
Kufuatia kosa hilo dogo tuu, kitendo cha Clouds Redio kumkomalia jana nzima sio cha kistaarabu na sio kumtendea haki!.
Watu sasa wameanza hata kuhoji elimu yake!. Watanzania sasa tumekuwa wagonjwa wa "paper qualifications" na ni kufuatia kosa hilo dogo, watu humu sasa ndio wanamkomalia kuhusu elimu yake!. Kwa watu wanaomfahamu vizuri Mulugo kwa utendaji wake, Kikosa hicho "It doesn't matter" kwa vile jamaa ni jembe kweli!. Nimemshuhudia akipiga mzigo wa kufa mtu!. Akifanya ziara za kikazi popote, hufanya 'surprize visit" kwenye mashule au vyuo na kuibua madudu kibao!.
Tumhukumu mtu kwa utendaji wake na sio kwa "Slip of a tongue"!.
Paskali.
NB. Kitendo cha Mhe. Mulugo kuzungumza na Clouds Radio, na kuzunguzia hili, hakina uhusiano wowote na thread hii, it was a mere coincidence!.