Ya Lwakatare: DPP, Polisi watofautiana

Ya Lwakatare: DPP, Polisi watofautiana

jeshi letu la polisi limekuwa ni jeshi la kihuni na lililokosa weledi katika utendaji wake.
Chadema uvumilivu wa manyanyaso mnayopata umefika mwisho, ebu tumieni people's power ili serikali hii ya kishetani ijue haina ubavu mbele ya nguvu ya uma.
pole sana Lwakatare haya yote yana mwisho.
 
Wewe ndo umeelewa hivyo??? Kweli ni tabia ya MaCCM kulisha watu maneno, mimi nimeandika just two lines, wewe unakuja na maneno Lundo, afu unaniuliza, did I mean....................Hiyo ni meaning yako kiongozi!!!


This is the quality of the great thinker. Chew it and you will find the truth in it!! Upo mkuu???
 
Acha niendelee kufunga nakusali kwa ajiri ya chama changu na kiongozi wangu na nchi yangu plus my family, the rest Namwachia shetwaani
 
Mr SIMU hapo kwenye bold ndo nini? Hivi ni kweli na kaelimu kako ka pale idodomiya umekubali kuajiriwa kazi ya jf? hii shida ndugu yangu

kaelimu kako .umesahihisha masahihisho .sijawahi kusoma huko unapo sema
 
Kama ccm wana mbavu, huyo aliyejitambulisha katika JF kama Bukoba boy ajitokeze mahakamani tuone!!! Kwa nini polisi waifanyie kazi anonymous video? CDM inazidi kupaa kila kukicha!!!!!!
mkuu na mimi hilo ndo swali langu kuu, hasa inapokuja swala la "mlalamikaji ni nani? aliyeetengeze video ama aliyeona?
 
Napenda tu kuwailiza polisi, kuna mtu alikua anaumwa malaria kali akapelekwa afrika kusini kutibiwa. Hivi ni malaria kweli ama ni mungu ameanza kuchapa viboko vyake?

Polisi tafakari na mchukue hatua
 
Hii kesi "fake" ndio kaburi la CCM,labda DPP awanusuru kwa kukataa kumshitaki Lwakatare.Hata hivyo, teyari ni doa kubwa kwa CCM na serikali yake.
 
Ndiyo sababu wamevamia ofisi za CHADEMA Jumapili, ili wapate chochote kwa ajili ya Jumatatu?

Eboo!Si mwanzo wa movie walituhabarisha hii issue haiihusu chadema ni ya Lwakatare imekuwaje sasa?Ngoja tusubirie kesho hiyo changanyachanganya ya movie inaendelea na tunadhani bado ni kipande cha yuleyule kovu.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Hivi Samwel Sitta si alisema kwamba ushahidi wa kwenye mitandao haukubaliki wakati akipiga chini hoja za ufisadi za Dr Slaa? Leo polisi wanataka kutumia ushahidi wa kwenye mitandao? This is double standard.
 
Hivi jamani hawa watu hawana hofu ya Mungu!!? Unambambikizia mtu kesi kwasababu ya mambo ya kidunia tu!!?

Kesi tengenezeni, muhukumuni tu mnavotaka ila kumbukeni "DUNIANI TUNAPITA NA SIKU MOJA MACHUNGU HAYA YA LWAKATARE YATAWAGEUKIA!!"

Braza Mungu haangalii kesi kama hizi,Mungu yuko Iraq,Syria watu wanauana kila siku,mambo madogo madogo ya kipuzi kama haya amekuachieni muyatatue wenyewe
 
Hawa polisi wetu wanajuwa kucheki authenticity ya hiyo tape?
 
Pro-Chadema JF naona mnaamua kujifariji na kujilwaza kwa akili yenu polisi hawana kitengo cha IT kuamtia hatiana Lwakatare.
Polisi wetu wanaweza forensic computer analysis?Ama unadhani ukisema "IT" ndo umemaliza kila kitu?
 
Sidhani kama wana 'proper' forensic lab hawa watu.
Ni kweli....Na wakishindwa kumuunganisha na issue ya Kibanda basi hakuna kesi.

Hiyo tape ilitakiwa itumike kama ushahidi wa uhalifu fulani,kama hakuna uhalifu uliofanyika basi hakuna kesi hapo.Na hata wakitaka kumuunganishia na issue ya Kibanda bado ni ngumu sana.

Sanasana chadema wajiulize polisi walichukuwa vitu gani walipoivamia na kuipekuwa ofisi yao.
 
Labda hiyo subira mnayotaka ivutwe ni hadi lini? Kama kesho asubuhi Lwakatare anatakiwa kufikishwa mahakamani, je atashitakiwa kwa kosa gani kama hadi hivi sasa ushahidi wa kutosha kuweza kumshitaki haujapatikana? Nafikiri ndiyo maana polisi leo walikuwa ofisi za CHADEMA kujaribu kutafuta ushahidi mwingine zaidi ya ule wa video. Na inaonekana pamoja na kukamatwa kwa Ludovick bado hawajaweza kupata sababu za msingi za kuwashitaki hawa bwana.

Kukosekana kwa ushahidi mwingine zaidi ya huo wa video unaweza kuwa ni ushahidi mwingine kwamba video ni ya CCM. Kwanini wasianze uchunguzi wa kimtandao kujua aliyeupload video kwenye youtube ni nani? Naamini wakimpata aliyeupload video kwenye youtube watakuwa na uwezo wa kujua alikoitoa. Lakini hivi sasa naona kama wanatapatapa.


huo ni umbea. nani kati yenu amewasiliana na watendaji wa polisi na kuambiwa kuwa hakuna ushahidi wa kutosha. ngoma ingekuwa ya kitoto hivyo jamaa angerudishwa siku ileile. leo ni siku ya ngapi yupo ndani. ondoeni uzushi wenu na kila kitu kitaWEKWA hadharani leo
 
Kazi ya mwigulu nchemba,hajakamatwa mwigulu nchemba mpaka leo kuonyesha mkanda wa video ambao anadai alikuwa nao viongozi wa cdm wakipanga mauaji!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom