Jumanne Mkota
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,917
- 1,660
Mkuu naona unayafumbua macho hayo majinga ya police na dpp na maccm. Uneuchuna tu ili yatiwe dicpline na kina tundu lissu.
Ccm chama cha machuma ulete
Ccm chama cha machuma ulete
polisi imeng'ang'ana na 3(c) bila kuangalia msingi wa tendo kufanyika(3) An act shall also constitute terrorism within the scope of this Act if it is an act or threat of action which;
(c) endangers a person's life;
Kwa DPP na IGP Mwema Denis Msacky ndio national na international figure ambaye amekuwa terrorised ha ha ha wanasheria endeleeni kuwaumbua mchana kweupe,sheria ya nchi haina tafsiri ya gaidi vipi Lwakatare anaitwa gaidi na jeshi la Polisi,Habarileo,Jambo leo,Uhuru na Ikulu duh hii team kweli imeharibu nchi yetu, so sad
Its good wenye weledi mmeanza kufunguka, siyo akina Pasco
Wasalamu wana JF,
(2) A person commits terrorist act if, with terrorist intention, does an act or omission which;
(b) is intended or can reasonably be regarded as having been intended to;
(i) seriously intimidate a population;
"(2) A person commits terrorist act if, with terrorist intention, does an act or omission which;
(c) involves or causes, as the case may be
(i) attacks upon a person's life which may cause death;
(ii) attacks upon the physical integrity of a person;
(iii) kidnapping of a person,
(3) An act shall also constitute terrorism within the scope of this Act if it is an act or threat of action which;
(a) involves serious bodily harm to a person;
(c) endangers a person's life;
(e) involves the use of firearms or explosives;
polisi imeng'ang'ana na 3(c) bila kuangalia msingi wa tendo kufanyika
Tunashukuru kwa ufafanuzi mzuri umetusaidia,ngoja tuwasubiri wanasheria wa JF akina
pasco,watasemaje juu ya hii sheria ya ugaidi wa kuambiwa'
Hivyo vifungu hapo juu ndivyo vinavyowaingiza Ludo na Lwakatare katika makosa ya ugaidi.
Act ndio ule mpango waliokuwa wanafanya na malengo yao ilikuwa ni kuteka na kuhatarisha maisha.
Sio mwanasheria, lakini ili video ikiwa ni ya kweli, these are terrorsists. Bottomline ni kuwa walikuwa na malengo ya kufanya terror.
Mkuu nimecheka sana kwa hiyo avatar yako teh teh chuma uleteMkuu naona unayafumbua macho hayo majinga ya police na dpp na maccm. Uneuchuna tu ili yatiwe dicpline na kina tundu lissu.
Ccm chama cha machuma ulete
video ingeonyesha na zana za kuteka na mipango yote kimatendo na mimi ningesema tofauti.
"(2) A person commits terrorist act if, with terrorist intention, does an act or omission which;kwa kuwa kupitia video ya you tube hakukuwa na tendo lolote la kuteka ni dhahiri upelelezi wa polisi umefanywa vibaya na DPP alikurupuka kuandika mashitaka, kwa sababu angeweza kumshitaki lwakatare kwa sheria ya kanuni za adhabu kwa kosa la kula njama ya kuteka mtu. hata hivyo ugumu upo kwa sababu maelezo ya aliyewarekodi ni muhimu , kifaa halisi kilichorekodi ni muhimu na yeye ndio atakuwa shahidi muhimu ambaye bila yeye kesi hakuna kwani yeyote atakayetoa ushaidi atakuwa anatoa habari za kuambiwa.
This is a narrow interpretation ya sheria. Angalia hiki kipengele:
(3) An act shall also constitute terrorism within the scope of this Act if it is an act or threat of action.
If it is a threat of action: Pale walikuwa wanapanga kuteka na kudhuru kwa hiyo hicho kitendo falls kwenye threat of action.
"(2) A person commits terrorist act if, with terrorist intention, does an act or omission which;
(a) N/A
(b) is intended or can reasonably be regarded as having been intended to;
(i) seriously intimidate a population;"(2) A person commits terrorist act if, with terrorist intention, does an act or omission which;
(a) N/A
(b) is intended or can reasonably be regarded as having been intended to;
najua tafsiri ya sheria ni ngumu. Je video ili imeonyesha tendo gani? na je ilidhamiria nini au kwa uelewa wa kawaida unaweza kusema ilidhamiria nini?
Wasalamu wana JF,
UTANGULIZI:
Makosa ya jinai hupelelezwa na polisi, na uandaaji wa mashitaka hufanywa na DPP baada ya kusoma jalada la polisi na kwa kutumia taaluma ya sheria huandaa mashitaka yanayoendana na yaliyomo kwenye jalada la polisi. Katika mchakato huu DPP asiporidhika na yaliyomo kwenye jalada la polisi kiasi cha kuandaa mashitaka, kwa malaka aliyonayo anaweza kurudisha Jalada polisi kwa upelelezi zaidi kabla ya kuandaa mashitaka.
MASHITAKA YA LWAKATARE NA MWENZAKE:
Kwa ujumla Lwakatare na mwenzake wameshitakiwa kwa kosa la ugaidi ambalo kimsingi lazima mshitakiwa awe ametenda moja ama zaidi ya matendo ya kigaidi kama yanavyoainishwa kwenye sheria ya kuzuia ugaidi ya mwaka 2002. hivyo basi ili kumtuhumu au kumshitaki mtu, au taaasisi, au kampuni n.k ni busara kuainisha au kudadavua maana ya ugaidi kama ilivyoelezewa katika sheria husika. kwa bahati mbaya sheria yetu haijaelezea ugaidi ni nini bali imeeleza tendo la kigaidi ni nini("terrorist Act).
Kifungu cha tatu cha sheria tajwa kimeeleza tendo la kigaidi ni kutenda au kutotenda kwa yanayoelezwa kwenye kifungu cha nne cha sheria ya kuzuia ugaidi ya mwaka 2002. kifungu cha nne kifungu kidogo cha pili ndio kimeainisha matendo yote hayo. ili kutopoteza maana naweka nakala ya kifungu ambacho kipo katika lugha ya kizungu:-
"(2) A person commits terrorist act if, with terrorist intention, does an act or omission which;
(a) may seriously damage a country or an international organization; or
(b) is intended or can reasonably be regarded as having been intended to;
(i) seriously intimidate a population;
(ii) unduly compel a Government or perform or abstain from performing any act;
(iii) seriously destabilise or destroy the fundamental political, constitutional, economic orsocial structures of country or an international organization; or
(iv) otherwise influence such Government, or international organization; or
(c) involves or causes, as the case may be
(i) attacks upon a person's life which may cause death;
(ii) attacks upon the physical integrity of a person;
(iii) kidnapping of a person,
(3) An act shall also constitute terrorism within the scope of this Act if it is an act or threat of action which;
(a) involves serious bodily harm to a person;
(b) involves serious damage to property;
(c) endangers a person's life;
(d) creates a serious risk to the health or safety of the public or a section of the public;
(e) involves the use of firearms or explosives;
.....................................................................
................................................................................."
MAKOSA YALIYOFANYIKA:
Katika kifungu cha pili maneno " does an act or omission" nimeyapigia mstari kwa madhumuni ya kuonyesha kuwa hapo ndipo kosa la upelelezi lilipo na makosa ya DDP yalipofanyika. kwa busara kabisa ugaidi lazima uwe na kitendo na katika ile video ya "you tube" ni wazi kuwa Lwakatare hakuwa amefanya kitendo chochote ambacho kwa akili za mtu wa kawaida angesema kinaelekea kuwa ni ugaidi na hili linathibitika kwa michango ya wana JF ambao wengi walioamini picha ile walisema ni video ya Kupanga utekaji. kwa sheria ya kanuni ya adhabu, hiyo ingekuwa ni kosa la kula njama ya kuteka mtu.
HITIMISHO:
kwa kuwa kupitia video ya you tube hakukuwa na tendo lolote la kuteka ni dhahiri upelelezi wa polisi umefanywa vibaya na DPP alikurupuka kuandika mashitaka, kwa sababu angeweza kumshitaki lwakatare kwa sheria ya kanuni za adhabu kwa kosa la kula njama ya kuteka mtu. hata hivyo ugumu upo kwa sababu maelezo ya aliyewarekodi ni muhimu , kifaa halisi kilichorekodi ni muhimu na yeye ndio atakuwa shahidi muhimu ambaye bila yeye kesi hakuna kwani yeyote atakayetoa ushaidi atakuwa anatoa habari za kuambiwa.
This is a narrow interpretation ya sheria. Angalia hiki kipengele:
(3) An act shall also constitute terrorism within the scope of this Act if it is an act or threat of action.
If it is a threat of action: Pale walikuwa wanapanga kuteka na kudhuru kwa hiyo hicho kitendo falls kwenye threat of action.