JUST
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 552
- 236
Mkuu Just,
Labda ni lugha inachanganya hapo ila kwa uelewo wangu mimi hivyo vifungu vinatosha kabisa kuwatia hatiani wahusika kwa kutumia ile video.
Kwa taarifa tu, pia sheria zetu zinaruhusu mifano kutoka nchi mbalimbali za Commonwealth katika kuchambua maana ya neno. Uamuzi uliotolewa na judge kwenye nchi moja huchukuliwa kama mwongozo.
UK kulishatokea case ambayo hata ilikuwa na utata kuliko hii. Waliotaka kufanya ugaidi hawakufanya tendo lenyewe wala hata hawakuchagua target. Wakati hapa target ni mhariri wa Mwananchi; case ya hao wala hata target walikuwa bado hawajaamua. Judges waliona hilo ni tendo tosha la kigaidi hata kama hakuna mtu aliyekuwa targeted.
Hivyo vifungu kama kweli ile video ni genuine nafikiri vinajitosheleza mno.
Ni kweli kabisa tatizo ni lugha na hasa tafsiri ya lugha hiyo.