bushman
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,411
- 743
[h=5]"IGP SAID MWEMA ni mwanafunzi wangu wa mwaka wa kwanza katika shule kuu ya sheria pale Chuo Kikuu cha Dar-es-salaam hata yeye anajua hajanitendea haki katika hili.Kuteua kikosi cha askari wafanye upelelezi juu ya usalama wangu uliopo hatarini ambao miongoni mwao wanatuhumiwa na wameshatuhumiwa kwa majina na mwenyekiti mtendaji wa makampuni ya IPP Ndug,Reginald Mengi kumtengenezea mwanae kesi bandia kwa kumuwekea madawa ya kulevya akiwa anasafiri pale uwanja wa ndege hivyo basi sina imani nao na sihitaji kuhojiwa na askari hao" maneno kama haya yalitamkwa na Dr,Harrison Mwakyembe alipotakiwa kutoa ushirikiano kwa kikosi cha askari upelelezi kilichoundwa na IGP SAID MWEMA kwaajiri ya kuchunguza usalama wake .
[/h]
[/h]