JAKOBO
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 934
- 194
Hii inatupa somo kubwa hasa kwa hao vilaza wa ccm wavivu wa kufikiri nawanaodhani watatawala milele bila kujua siku ikigeuka kwao itakuwaje?.Kama hii inafanyika kwa mti mbichi watu kama lwakatare ambaye anawatu wanampigia kelele je kwa wanyonge sisi niwangapi wameuliwa na ccm na kutupwa au kufungwa bila kujari? Nauliza niwangapi? Ccm kwanini tuwavumilie kama vile inchi hii niyenu pekeyenu? Au nyie mna hati miliki nyie mbwa?