Umasikini mbaya na una matokeo haya;
1. Mwanaume kung'ang'ania ke kwa vile hana uwezo kung'oa chuma kipya kikali zaidi.
2. Me kuburuzwa na wanawake wajinga kama huyo.
3. Mwanaume kuwa King'ng'a.
Ujinga huu wakupangiwa kwangu haupo, nakupa kwa hiyari, any amount kwa ridhaa.
NA ke akawa honest kwangu, mwelewa na mnyenyekevu atakula mema ya nchi.
Lkn huyu wa kunipangia hata buku simpi.
Umasikini ni mbaya maana unafubaza akili za wahusika na kudhani matumizi pekee ya pesa ni kuambatana muda wote na wenye K kwenye magari yao na kwenye biashara.
Hata akiotea kibunda atataka aonekane na pisikali muda mwingi mtaani na sehemu za starehe.
Sikiliza ukiwa mwanaume ambae unafahamu kuwa kuna ndoto unazotakiwa kuzipambania utagundua kuwa unatakiwa umtafute mwanamke muda ambao Mashine inasumbua sana kiasi unakuwa kama huelewi.
Fanya hookup kama huna mke.
Nunua malaya moja classic nenda kale siku mbili mfululizo kula na kunywa kisha baada ya hapo kata mazoea.
Mwambie uyamtafuta ukihitaji tena huduma yake.
Nenda kajijenge
Vijana tuna muda mfupi sana wa kufanikisha malengo yetu kuliko ambavyo tunafikiria.
Ila kama ushaoa tayari basi tulia kimya na mkeo pambania ndoto zako bila tamaa ya starehe.
Kumbuka utaendekeza starehe na hawa malaya uchwara wenye njaa watakuvuta pesa mwishowe utafulia na mkeo atakukimbia maana nae ni masikini kama hao halafu wewe tayari umefulia sasa anabaki kwako anasubiri nini?
Si bora akabeti tena mbele ya safari huku akikusikilizia kama utafufuka akurudie na drama za Bongo muvi kuwa eti alijichanganya?
Ukishafikisha miaka 35. Hapa wengi wetu tutakuwa kwenye mahusiano serious na mwanamke either wa pili au wa tatu.
Maana hapo nyuma unakuta tushaachana au kuachwa na wale tulioamini kuwa ni wa kwetu kumbe sio wa kwetu. Ukifulia tu anasepa maana kwanza anaamini yeye bado ana nafasi ya kuolewa na kupewa maisha anayoyataka na wanaume wengi.
Baadae anagundua kuwa kufanikiwa kwake ni kurudi kwako kwa gia yoyote.
Maana hao wenye magari hawana muda nae wanakula kwa fujo hadi jicho na kukausha hawataki hata ikumbukwe kuwa waliwahi kutoka nae.
Anajaribu kujirudisha kwako kama utateleza uwe fara basi lengo lake litakuwa limefanikiwa.
So ukifikisha miaka 35 hapa inabidi vijana wa kiume tuanze kufikiria kuoa katika angle ya mafanikio.
Yaani kama binti anatoka familia yenye ukwasi na koneksheni lukuki
Au familia ya watawala ndipo unatakiwa kuoa seriously.
Ila kama uko 35 halafu unaishi na binti anaetoka hizi familia zetu za majungu badala ya kuinuana yaani mama analazimika akudanganye kuwa ana siku tatu hajala ili ale pesa zako.
Kisha huyo binti anakuletea mitizamo yake anayoiona kwenye sinema
Mara anakulazimisha umpe pesa aende salon na wewe upo tu hapo kama zezeta fulani.
Ujue kuwa unajiandaa kuja kudhalilika hapo baadae maana utaishia kwenye umasikini.
Amka kijana mwenzangu ngono ni asilimia tano ya maisha ya mwanadamu.
Hivyo usipoteze mwelekeo mzima wa maisha yako kisa makalio makubwa.
Hayo kazi yake ni ya muda mfupi kuyaminya minya ili usimamishe, cha ziada sana utakachokifanya labda usisimke sana umle jicho tu hakuna cha zaidi ya hapo
So usiwe mpumbavu kuwa timamu siku zote za maisha yako.
Utatoboa, achana na vitu vya hovyo vyote
Usikimbizane na kila sampuli ya malaya unayoiona hapa mjini wengine wanapoishi wanadaiwa kodi so ukipatwa unakuwa umepatwa kweli.
Wengine wanatokea kwenye vyama vyetu na wana special tasks za kuzivuna hatma zenu na kuzileta kwetu.