Me mkuu demu kama wa Melancholic unaweza sema hafai kurudiwaKuna vitu vya kuviludia ila sio hawa
Ila Kuna maex wengine unaona kabisa huyu ni mtu aliye smart na hata kuachana kwenu inaweza ikawa ni kununiana tu kwanini nisimrudie
Me mkuu demu kama wa Melancholic unaweza sema hafai kurudiwaKuna vitu vya kuviludia ila sio hawa
Daah😥😥Mrudie tu uendelee kuchukua jukumu la baba yake la kumtunza. Siku akipata mwingine wa kumpa atakuacha tena.
Shukran mkuuKama upendo ulishakufa achana naye kanyonya damu hako
Afafanue Nini mkuu wakati hao ndo wale wa kuforce penziMkuu fafanua
Halafu me nakujua kwenye kubishana hauko vibaya 😂Kwa kweli uniache tu siwezi kuelewa
😆😆😆 leo mmeniandama sana ngoja nikalale tuHalafu me nakujua kwenye kubishana hauko vibaya 😂
Njoo pmKama humtaki nipe mimi namba yake
Umasikini mbaya na una matokeo haya;
Naam kesho unaweza ukaja na msimamo mwengine wa kurudia ex nakusubir 😂😆😆😆 leo mmeniandama sana ngoja nikalale tu
Mkuu vp huyu unaweza mrudia maana ni pisi ya maana sana shape kama bonge la dada vile na ana pussy tamu sio poaBasi tuna mtazamo tofauti ila me ikitokea demu tuliachana kwa vitu vya kawaida na akataka turudiane huku najua yupo smart narudiana naye kiongozi 😂 😂 😂
Hhahahahaha umesema kununiana mmmh wakiume kabisa unamnunia demu mmmh mm siweziMe mkuu demu kama wa Melancholic unaweza sema hafai kurudiwa
Ila Kuna maex wengine unaona kabisa huyu ni mtu aliye smart na hata kuachana kwenu inaweza ikawa ni kununiana tu kwanini nisimrudie
Mkuu Uzi wako wa kwanza kabisa kuhusu huyu demu niliusoma nikaona kabisa hamna demu hapa 😂 😂 yaani sio kurudia hata kuanza naye mahusiano mapya siwezi na sitakiMkuu vp huyu unaweza mrudia maana ni pisi ya maana sana shape kama bonge la dada vile na ana pussy tamu sio poa
Usingizi kwa ni Kama ndotoMfupi
Au unausingizi?
Hilo lako sahau hata mnipige, msimamo ni ule ule Ex harudiwi ni kusonga mbele kama InjiliNaam kesho unaweza ukaja na msimamo mwengine wa kurudia ex nakusubir 😂